Na mwandishi wetu, Gazetini
MSANII wa muziki nchini Rwanda, Bruce Melodie ametoa kibao kikali kinachokwenda kwa jina la POM POM.
Katika wimbo huo, Bruce Melodie amepiga...
LAGOS, Nigeria
POLISI wanamshikilia mtu mmoja, huku wakiendelea na uchunguzi juu ya kifo cha mwanamuzi wa Nigeria, Destiny Boy.
Destiny Boy, ambaye jina lake halisi ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WASANII wa muziki wa Nigeria wamezibeba kwa wingi tuzo za Afrima, ambazo hafla yake ilifanyika Januari 11, 2026.
Wakati huo huo, usiku...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MWAKA 2025 tayari umemalizika, huku ukiacha kumbukumhu nzuri katika tasnia ya burudani duniani kote.
Kwa upande mwingine, kumbukumhu hizo ni pamoja na...
JOHANNESBURG, Afrika Kusini
DJ maarufu wa Afrika Kusini, Warrick Stock, akifahamika zaidi kwa jina 'DJ Warras', ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Johannesburg.
Polisi wamesema Dj Warras...
LOS ANGELES, Marekani
MWANAMUZIKI ambaye pia ni mshindi mara tano wa tuzo za Grammy, Mariah Carey, atakuwa miongoni mwa watumbuizaji wakati wa hafla ya ufunguzi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MSANII wa Bongo Fleva anayefanya kazi zake nchini Afrika Kusini, Mau Music, ameendelea kutamba mitandaoni na kwenye majukwaa ya muziki baada...
LAGOS, NigeriaZIPO taarifa zinazodai kuwa kwa sasa mama mzazi hataendelea kuwa meneja wa staa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy.Minong'ono ya Burna Boy kumsitishia...
Na Mwandishi Wetu
Mexico imeibuka mshindi wa taji la Miss Universe 2025 kupitia mrembo wake Fatima Bosch, mwenye umri wa miaka 24.Fatima, anafahamika kwa uthubutu wake...
Na Mwandishi Wetu
Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias 'MC Pilipili' amefariki dunia leo, Novemba 16, 2025.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma,...
LAGOS, Nigeria
KAMA ilivyo duniani kote, tasnia ya burudani, likiwamo soko la muziki, imeendelea kuwa chanzo kikubwa cha utajiri kwa mastaa nchini Nigeria. Kwa wanamuziki,...
Na MWANDISHI WETU
MWIMBAJI anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili nchini Kongo, Nana Miriam ameachia kionjo cha wimbo mpya, C'est Jésus, alioshirikiana na Sylvain...