LAGOS, Nigeria
SUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, David Adeleke, maarufu Davido, amekiri kuwa wasanii, akiwamo yeye, hawajafanya vya kutosha kusimama na wananchi katika changamoto zinazowakabili.
Wakati...
LOS ANGELES, Marekani
ANAITWA Marshall Bruce Mathers III lakini mashabiki wake wanamfahamu kwa jina la Eminem, ambaye ni mmoja ya mastaa wakubwa na wa muda...
Na Christopher Msekena, Gazetini
MSANII wa muziki wa Injili anayeishi Ireland, Sela Mulonda, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa wimbo wake mpya ya Búlamu.
Sela Mulonda mwenye...
LOS ANGELES, Marekani
NI miaka 17 imepita tangu staa wa muziki wa Pop, Michael Jackson, alipofariki Juni 25, 2009, lakini sasa ni kama amezaliwa upya...
LOS ANGELES, Marekani
SIO jambo geni kwamba mastaa wa Hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson '50 Cent' na Sean Combs 'Diddy', wamekuwa kwenye uhusiano mbaya...
LAGOS, Nigeria
MWANAMUZIKI wa Afrobeats nchini Nigeria, Ice Prince Zamani, amedai kuwa alitumia Naira milioni 340 (zaidi ya Sh mil. 630 za Tanzania) kununua bangi.
Akihojiwa...
DETROIT, Marekani
NI miaka zaidi ya 30 tangu Tupac Shakur alipofariki. Ni miaka zaidi ya hiyo tangu Eminem alipoanza kuwika katika soko la muziki wa...
LOS ANGELES, Marekani
RAPA asiyeishiwa matukio, Kanye West, anaendelea na ziara yake ya muziki katika maeneo mbalimbali duniani na sasa amepanga kuibukia Israel.
Kanye anaendeleza ziara...
Na Mwandishi Wetu
Heavenly Voice Gospel ambayo ni bendi ya muziki wa injili yenye maskani yake Marekani, imesema imeandaa nyimbo nyingi za kuwabariki mashabiki duniani...
WASHINGTON DC, Marekani
KIPENZI cha Rais Donald Trump, Nicki Minaj ni miongoni mwa mastaa wa muziki watakaohudhuria halfa ya chakula cha jioni itakayofanyika kesho Aprili...
LAGOS, Nigeria
MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye.
Okoye ametangaza rasmi...