Ads: info@gazetini.co.tz |
21.7 C
Dar es Salaam

Burudani

Usiyoyajua kuhusu rapa aliyehukumiwa jela miaka 20

TEXAS, Marekani WIKI hii imekuwa mbaya kwa mashabiki wa rapa Michael Lawrence Tyler maarufu kama Mystikal baada ya staa huyo kuhukumiwa kifungo cha miaka 20...

Rihanna alivyozama mazima penzi la A$AP Rocky

LOS ANGELES, Marekani MIAKA mitano iliyopita, ndipo wanamuziki wawili maarufu, Rihanna na A$AP Rocky, walipoianza safari yao ya mapenzi iliyozalisha familia ya baba, mama na...

Shakira na mkasa wa kudaiwa na ‘ex’ wake bil. 263/-

BOGOTA, Colombia JINA la Shakira si geni kwa wapenzi wa muziki duniani. Ni mrembo mzaliwa wa Colombia, ambaye hivi karibuni alitumbuiza katika hafla ya ufunguzi...

Kumbe wanamuziki hawalipwi kutumbuiza Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico KUTUMBUIZA katika ufunguzi wa Kombe la Dunia, kama walivyofanya Shakira na Burna Boy, kunaweza kutafsiriwa kuwa ni dili linalowapa pesa nyingi wanamuziki...

Peter wa P-Square ageuka mbogo kuhusu kaka yake

LAGOS, Nigeria PACHA wa Kundi la P-Square ambalo limeshavunjika, Peter Okoye, amesema hapendi kuona akifananishwa na kaka yake, Paul. Wawili hao amekuwa maadui wakubwa kwa siku...

Kwa mastaa hawa, pesa siyo shida zao kabisa

NAIROBI, Kenya KWA miaka mingi, wanamuziki wa Kenya wamekuwa wakifanya vizuri kwa Ukanda huu wa Afrika Mashariki, licha ya upinzani mkali kutoka kwa wenzao wa...

Chris Brown: Bishoo, tajiri asiyekauka mikononi mwa polisi

LOS ANGELES, Marekani PESA siyo tatizo. Kwa miaka aliyofanya kazi ya muziki, Chris Brown ameweza kujikusanyia utajiri wa Dola za Marekani milioni 50, huku vyanzo...

Dunia haijasahau urafiki, uadui wa Dr. Dre, Eazy E

LOS ANGELES, Marekani MOJA ya makundi yaliyoacha katika mapinduzi ya muziki wa Hip hop nchini Marekani na duniani kwa ujumla ni N.W.A lililoasisiwa mwishoni mwa...

Siku 365 tangu Singeli ilipopewa ‘ushujaa’

Na mwandishi wetu, Gazetini FEBRUARI 19, 2025, aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakati huo, Palamaganda Kabudi, alisema Serikali imeamua kuutambua rasmi muziki...

Watatu wakamatwa mauaji ya mwanamuziki

LONDON, Uingereza POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi. Orabiyi aliyeuawa akiwa...

Akataa Michael Jackson kuitwa Mfalme wa Pop

ACCRA, Ghana WAKATI dunia ikitambua kuwa Michael Jackson (sasa marehemu) ndiye 'King of Pop', ameibuka msanii mwingine mwenye mtazamo tofauti. Ndiyo, nyota wa muziki nchini Marekani,...

Mel B kuirudisha Spice Girls miaka 30 ya ngoma yao

LOS ANGELES, Marekani MEMBA wa Kundi la Spice Girls, Mel B, amesema watafanya jambo kwa ajili ya kumbukizi ya miaka 30 ya wimbo wao uliowahi...

Recent articles