29.2 C
Dar es Salaam

Burudani

Jonathan Budju kuachia ‘Ebenezer’ Julai 25

Na Christopher Msekena Mwimbaji  nyota wa Injili kutoka nchini Canada, Jonathan Budju, amefanya hafla ya kusikiliza albamu yake fupi (EP),  Ebenezer itakayotoka mapema wiki ijayo...

Usiyoyajua kuhusu penzi la Rotimi, Vanessa

LOS ANGELES, MarekaniILIKUWA ni mwaka 2019, ndipo walipokutana kwa mara ya kwanza na hapo ukafunguliwa ukurasa mpya wa mapenzi kati yao.Rotimi, ambaye ni mwanamuziki...

Diddy aanza masomo akiwa gerezani

LOS ANGELES, MarekaniRAPA mwenye jina kubwa, P. Diddy, ameanza kuhudhuria darasa maalumu akiwa anaendelea kusota gerezani kwa tuhuma za udhalilishaji wa kingono.Ripoti zinaeleza kuwa...

Watatu jela kifo cha rapa

GONTHENBURG, SwedenWANAUME watatu wamehukumiwa kifungo cha muda mrefu gerezani baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya kumuua kwa kumpiga risasi mwanamuziki wa Hip...

Staa Hip hop ajiua

LOS ANGELES, MarekaniRAPA mkongwe wa Marekani ambaye ni memba wa Kundi wa Outlawz, Young Noble, amejiua, akiwa na umri wa miaka 47.Aliyefichua kifo cha...

Wizkid, Tems watikisa Afrika

LAGOS, NigeriaWANAMUZIKI wa Afrobeat, Wizkid na Tems, ni wasanii pekee wa Afrika walioingia kwenye 'Top 500' ya Apple Music kwa upande wa nyimbo zilizosikilizwa...

Timaya: Sijaacha muziki, nimepumzika

LAGOS, NigeriaSTAA wa muziki wa Afrobeat, Timaya, ameweka wazi kuwa ukimya wake kwenye 'gemu' haumaanishi kuwa amestaafu.Timaya alianza kuchomoza kwenye soko la muziki mwaka...

P. Diddy akwaa kisiki, arudishwa gerezani

NEW YORK, MarekaniSTAA wa muziki wa Hip hop, Sean Combs 'P. Diddy', amekwaa kisiki katika kesi zinazomkabili baada ya juzi kunyimwa dhamana.P. Diddy anasota...

Selena amtaja Eminem

LOS ANGELES, MarekaniSTAA wa muziki wa Pop, Selena Gomez, amemtaja Eminem kuwa ndiye rapa aliyekuwa akivutiwa naye alipokuwa mdogo.Selena (32), ameyasema hayo hivi karibuni...

Mama Yoyo ya Dully Sykes yazidi kumpaisha YJ Kiboko

Na Mwandishi Wetu BAADA ya kimya cha muda mrefu, staa wa Bongo Fleva Yakuti Joseph a.k.a YJ Kiboko ameibuliwa upya na kolabo yake na mkongwe...

Harmonize ajisalimisha Basata

Na Mwandishi Wetu Msanii  Harmonize  leo Mei 19,2025 amefika Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) na kufanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Basata, Dk. Kedmon Mapana,  kuhusu maendeleo...

Dj Davizo awashtua mashabiki

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Staa wa Bongo Fleva kutoka Bunduki Music, Dj Davizo, amewashtua mashabiki punde baada ya kuachia wimbo wenye vionjo vya gospo, Prayer. Davizo,...

Recent articles

spot_img