Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

Burudani

Bruce Melodie agonga kolabo na Diamond Platnumz

Na mwandishi wetu, Gazetini MSANII wa muziki nchini Rwanda, Bruce Melodie ametoa kibao kikali kinachokwenda kwa jina la POM POM. Katika wimbo huo, Bruce Melodie amepiga...

Polisi wachunguza kilichomuua Destiny Boy

LAGOS, Nigeria POLISI wanamshikilia mtu mmoja, huku wakiendelea na uchunguzi juu ya kifo cha mwanamuzi wa Nigeria, Destiny Boy. Destiny Boy, ambaye jina lake halisi ni...

Mastaa Nigeria wang’ara Afrima, Jux aibeba Bongo Fleva

Na mwandishi wetu, Gazetini WASANII wa muziki wa Nigeria wamezibeba kwa wingi tuzo za Afrima, ambazo hafla yake ilifanyika Januari 11, 2026. Wakati huo huo, usiku...

Ndoa za mastaa zilizobamba 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini MWAKA 2025 tayari umemalizika, huku ukiacha kumbukumhu nzuri katika tasnia ya burudani duniani kote. Kwa upande mwingine, kumbukumhu hizo ni pamoja na...

Dj auawa kwa kupigwa risasi

JOHANNESBURG, Afrika Kusini DJ maarufu wa Afrika Kusini, Warrick Stock, akifahamika zaidi kwa jina 'DJ Warras', ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Johannesburg. Polisi wamesema Dj Warras...

Maria Carey kutumbuiza Olimpiki

LOS ANGELES, Marekani MWANAMUZIKI ambaye pia ni mshindi mara tano wa tuzo za Grammy, Mariah Carey, atakuwa miongoni mwa watumbuizaji wakati wa hafla ya ufunguzi...

‘Still Mshua EP’ ya Mau Music yazidi kupenya

Na mwandishi wetu, Gazetini MSANII wa Bongo Fleva anayefanya kazi zake nchini Afrika Kusini, Mau Music, ameendelea kutamba mitandaoni na kwenye majukwaa ya muziki baada...

Burna Boy amemfuta kazi mama yake?

LAGOS, NigeriaZIPO taarifa zinazodai kuwa kwa sasa mama mzazi hataendelea kuwa meneja wa staa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy.Minong'ono ya Burna Boy kumsitishia...

Mexico yatwaa taji la Miss Universe 2025, Ivory Coast namba tano

Na Mwandishi Wetu Mexico imeibuka mshindi wa taji la Miss Universe 2025 kupitia mrembo wake Fatima Bosch, mwenye umri wa miaka 24.Fatima, anafahamika kwa uthubutu wake...

MC Pilipili afariki dunia

Na Mwandishi Wetu Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias 'MC Pilipili' amefariki dunia leo, Novemba 16, 2025. Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya  Mkoa wa Dodoma,...

Mastaa wa muziki Nigeria tishio pesa za shoo

LAGOS, Nigeria KAMA ilivyo duniani kote, tasnia ya burudani, likiwamo soko la muziki, imeendelea kuwa chanzo kikubwa cha utajiri kwa mastaa nchini Nigeria. Kwa wanamuziki,...

Nana Miriam awaonjesha mashabiki ‘C’est Jesus’

Na MWANDISHI WETU MWIMBAJI anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili nchini Kongo, Nana Miriam ameachia kionjo cha wimbo mpya, C'est Jésus, alioshirikiana na Sylvain...

Recent articles