25.2 C
Dar es Salaam

DATA

Lebo zilivyogeuka ‘jeneza’ la Bongo Fleva

Na mwandishi wetu, Gazetini MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao. Mfano wa hivi karibuni ni...

Jay Z; Kutoka ‘uswazi’, kukimbizana na polisi hadi bilionea wa Hip hop

Na mwandishi wetu, Gazetini NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia...

Yanga, Simba zafikisha sare ya 44 ‘derby’ ya Kariakoo

Na mwandishi wetu, Gazetini ACHANA na tambo za mashabiki, sare ya kutokufungana ndiyo iliyohitimisha dakika 90 za mchezo wa 'derby' ya Kariakoo kati ya wenyeji...

Sekta ya anga Tanzania yavutia mashirika mapya ya ndege, abiria waongezeka

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imeendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika sekta ya usafiri wa anga kwa kuimarisha miundombinu ya viwanja vya ndege, hatua iliyochangia...

Mataifa yanayoongoza watu wake kwenda ughaibuni

Na mwandishi wetu, Gazetini NI kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa Idara ya Uchumi na Ustawi wa Jamii. Kwamba India inaongoza kwa raia...

Visual| Wakali 10 wa mauzo ya jezi Ulaya

LONDON, Uingereza MAUZO ya jezi ni sehemu muhimu ya vyanzo vya mapato ya klabu za soka duniani kote, zikivuna mabilioni ya fedha kutokana na biashara...

Visual| Miamba ya Benki Tanzania: NMB vs CRDB

Na mwandishi wetu, Gazetini BENKI za NMB na CRDB zimeendelea kuthibitisha ubora na uimara wao katika sekta ya fedha nchini baada ya kila moja kutangaza...

UN: Wasichana milioni 4.5 hatarini kukeketwa mwaka 2026

NEW YORK, Marekani RIPOTI mpya ya Umoja wa Mataifa (UN) inaonesha kuwa wasichana takribani milioni 4.5 duniani kote wako kwenye hatari ya kufanyiwa ukeketaji kwa...

Elon Musk avunja rekodi: Awa mtu wa kwanza duniani kumiliki zaidi ya dola bilioni 800

NEW YORK, Marekani Bilionea maarufu duniani, Elon Musk, ameweka historia mpya baada ya kuwa mtu wa kwanza kumiliki utajiri unaozidi dola bilioni 800, kufuatia hatua...

Visual| Nchi zinazoongoza kwa Pikipiki ‘bodaboda’ duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini PIKIPIKI ni chombo cha matairi matau kilichojizolea umaarufu mkubwa katika sekta ya usafirishaji. Wengi wanapoziita 'bodaboda' hulenga pikipiki za biashara, ingawa msingi...

Visual| Makocha bora 10 wa muda wote EPL

LONDON, Uingereza KWA miaka zaidi ya 33, Ligi Kuu ya England (EPL) imeshuhudia makocha wakiingia na kutoka, wachache tu wakimudu ushindani uliopo na kujijengea heshima...

Visual| Gen Z wafikia bilioni 1.9, Gen A waongoza duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mujibu wa takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu duniani, kwa sasa idadi ya vijana waliozaliwa...

Recent articles

spot_img