Ads: info@gazetini.co.tz |
23.6 C
Dar es Salaam

Uncategorized

TEXAS, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa itamenyana na Hispania katika mchezo wa nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Mechi itachezwa Julai 14, 2026 mjini Texas. Ufaransa 'Les Bleus' ni mabingwa wa Kombe...
LONDON, Uingereza NJE ya soka, Erling Haaland ni baba wa mtoto mmoja wa kiume aliyezaliwa Desemba, 2024. Pia, mwanasoka huyo ni mpenzi wa mrembo Isabel Haugseng Johansen. Walijuana miaka mingi iliyopita, walipokutana wakiwa wachezaji wa timu za vijana...

Kocha Ujerumani agoma kujiuzulu

MUNICH, Ujerumani BAADA ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia, kocha wake, Julian Nagelsmann, amesema hana mpango...

Maisha, utata wa kifo, maziko ya Rais Edgar Lungu (4)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tatu ya mfululizo wa makala haya, tuliona Lungu akirejea katika nafasi yake ya Rais wa PF baada ya...

Hizi hapa zilizovuka makundi Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani JUMLA ya timu 19 zimeshakata tiketi ya kucheza hatua ya 32 ya msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Timu hizo zilizovuka makundi...

Trump: Nimeridhishwa na hatua za Irani, ila…

WASHINGTON, Marekani Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema ameridhishwa na mwenendo wa mazungumzo ya maelewano kati ya Marekani na Iran, akidai kuwa Tehran inaonesha ushirikiano...

Mwanaharakati ahukumiwa kifungo cha maisha gerezani

ISLAMABAD, Pakistan MWANAHARAKATI wa haki za binadamu nchini Pakistan, Mahrang Baloch, amehukumiwa kifungo cha maisha. Baloch ameangukiwa na hukumu hiyo katika mashitaka ya ugaidi na kusababisha...

Geita Gold ilivyovunja rekodi ikitinga tena Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini GEITA Gold haijatinga Ligi Kuu Bara kinyonge, na badala yake imetwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Bara (Championship) ikiwa na...

Hakimi aandika historia mpya Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico NAHODHA wa timu ya soka ya Morocco, Achraf Hakimi, amekuwa mchezaji wa Afrika aliyecheza mechi nyingi za Kombe la Dunia. Nyota huyo wa...

Mexico ya kwanza kuvuka makundi

MEXICO CITY, Mexico MEXICO imekuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya 32 Bora ya msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Mexico ikiwa Kundi A,...

Akon: Wanamuziki wana majina, hawana pesa

LOS ANGELES, Marekani SUPASTAA wa muziki raia wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon, amesema wasanii wengi wa sanaa hiyo wana majina makubwa lakini hawana...

Rema afunguka sababu ya kumkimbia mpenzi wake

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI wa Afrobeats, Divine Ikubor, maarufu kwa jina la Rema, amesema mpenzi wake alikuwa mkorofi na msumbufu, hivyo akaamua kuachana naye na kubaki...

Serengeti Boys yamkosha Arsene Wenger

Na mwandishi wetu, Gazetini ALIYEWAHI kuwa kocha wa Arsenal, Arsene Wenger, amekunwa na kiwango kizuri cha timu ya soka ya vijana wa U-17 ya Tanzania...

Merino aongeza ‘mzuka’ Arsenal

LONDON, Uingereza KATIKA kipindi hiki ambacho Arsenal inapaswa kushinda mechi tano zilizobaki msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), nyota wake muhimu aliyekuwa majeruhi...

Recent articles