Ads: info@gazetini.co.tz |
21.7 C
Dar es Salaam

Uncategorized

LUSAKA, Zambia UKIWA ni mwaka mmoja tu tangu kifo cha Rais Edgar Lungu, familia yake imeshinda kesi baada ya Mahakama kuamuru ipewe mwili kwa ajili ya maziko. Hilo lilikuwa ni ombi la familia, tofauti na Serikali ya Zambia...
ISLAMABAD, Pakistan MWANAHARAKATI wa haki za binadamu nchini Pakistan, Mahrang Baloch, amehukumiwa kifungo cha maisha. Baloch ameangukiwa na hukumu hiyo katika mashitaka ya ugaidi na kusababisha kifo cha mwanajeshi katika maandamano ya mwaka 2024. Akishitakiwa sambamba na mwanaharakati mwenzake,...

Hakimi aandika historia mpya Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico NAHODHA wa timu ya soka ya Morocco, Achraf Hakimi, amekuwa mchezaji wa Afrika aliyecheza mechi nyingi za Kombe la Dunia. Nyota huyo wa...

Mexico ya kwanza kuvuka makundi

MEXICO CITY, Mexico MEXICO imekuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya 32 Bora ya msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Mexico ikiwa Kundi A,...

Akon: Wanamuziki wana majina, hawana pesa

LOS ANGELES, Marekani SUPASTAA wa muziki raia wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon, amesema wasanii wengi wa sanaa hiyo wana majina makubwa lakini hawana...

Rema afunguka sababu ya kumkimbia mpenzi wake

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI wa Afrobeats, Divine Ikubor, maarufu kwa jina la Rema, amesema mpenzi wake alikuwa mkorofi na msumbufu, hivyo akaamua kuachana naye na kubaki...

Serengeti Boys yamkosha Arsene Wenger

Na mwandishi wetu, Gazetini ALIYEWAHI kuwa kocha wa Arsenal, Arsene Wenger, amekunwa na kiwango kizuri cha timu ya soka ya vijana wa U-17 ya Tanzania...

Merino aongeza ‘mzuka’ Arsenal

LONDON, Uingereza KATIKA kipindi hiki ambacho Arsenal inapaswa kushinda mechi tano zilizobaki msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), nyota wake muhimu aliyekuwa majeruhi...

Makonda asimamisha uongozi TOC, Rage kuongoza kwa muda

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesimamisha uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), pamoja na uongozi wa sasa...

Iran: Marekani isijisumbue, vita bado mbichi

TEHRAN, Iran MSEMAJI wa jeshi la Iran ametoa kauli ngumu akiimbia Marekani kuwa inapoteza muda katika mpango wa kutaka pande mbili hizo kukaa mezani. "Watu kama...

EAIF 2026 kufanyika kesho ikilenga kutoa fursa kwa vijana

Na mwandishi wetu, Gazetini KONGAMANO la Uwekezaji Afrika Mashariki la mwaka 2026 (East Africa Investment Forum – EAIF 2026) linatarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa...

CAF yaipa Kenya siku 90 tu

NAIROBI, Kenya TIMU ya wakaguzi ya Shirikisho la Soka l Afrika (CAF) haijaridhishwa na kiwango cha maandalizi yaliyofanyika kwa ajili ya fainali zijazo za AFCON...

Mastaa hawa wanajutia kuzihama timu zao

MERSEYSIDE, Uingereza UMESHAWAHI kusikia msemo wa 'usajili ni kamari'? Kwamba wakati mwingine mchezaji anayefanya vizuri akiwa na klabu moja anaweza 'kupotea' baada ya kuhamia kwingine. Mifano...

Alvarez azitolea nje Arsenal, Chelsea

LONDON, Uingereza KLABU za Arsenal na Chelsea zimepata pigo kubwa baada ya watu wa karibu wa Julian Alvarez kusema nyota huyo anaitaka Barcelona. Ripoti zilizopo zinaeleza...

Recent articles