Na mwandishi wetu, Gazetini
USHINDI wa tatu mfululizo. Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa leo Agosti 24, 2026.
Yanga ikiwa nyumbani katika Uwanja wa KMC, imefikisha pointi tisa baada ya...
Douala, Cameroon
MMREMBO anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili nchini Cameroon, Relie M, amewakosha wapenzi wa muziki huo baada ya kuachia wimbo mpya wenye ladha ya Hip Hop.
Katika wimbo huo unaoitwa Only Jesus Know, Relie M...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeanzisha utaratibu wa kutoa ithibati ya uanachama wa maisha kwa waandishi wa habari...
MIAMI, Marekani
AKITOKEA benchi, aliukuta mchezo ukiwa sare ya bao 1-1, kisha akafunga na kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Ureno kupata ushindi wa...
MUNICH, Ujerumani
BAADA ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia, kocha wake, Julian Nagelsmann, amesema hana mpango...
CALIFORNIA, Marekani
JUMLA ya timu 19 zimeshakata tiketi ya kucheza hatua ya 32 ya msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia.
Timu hizo zilizovuka makundi...
WASHINGTON, Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema ameridhishwa na mwenendo wa mazungumzo ya maelewano kati ya Marekani na Iran, akidai kuwa Tehran inaonesha ushirikiano...
ISLAMABAD, Pakistan
MWANAHARAKATI wa haki za binadamu nchini Pakistan, Mahrang Baloch, amehukumiwa kifungo cha maisha.
Baloch ameangukiwa na hukumu hiyo katika mashitaka ya ugaidi na kusababisha...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
GEITA Gold haijatinga Ligi Kuu Bara kinyonge, na badala yake imetwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Bara (Championship) ikiwa na...
MEXICO CITY, Mexico
NAHODHA wa timu ya soka ya Morocco, Achraf Hakimi, amekuwa mchezaji wa Afrika aliyecheza mechi nyingi za Kombe la Dunia.
Nyota huyo wa...
LOS ANGELES, Marekani
SUPASTAA wa muziki raia wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon, amesema wasanii wengi wa sanaa hiyo wana majina makubwa lakini hawana...