30.2 C
Dar es Salaam

Uncategorized

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema kuwa jumla ya watu 518 walipoteza maisha katika ghasia zilizotokea kipindi hicho.Akizungumza wakati...
LONDON, Uingereza CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca. Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza timu hiyo katika mechi 23 pekee. Hatua ya kufukuzwa imekuja baada ya...

Iran: Marekani isijisumbue, vita bado mbichi

TEHRAN, Iran MSEMAJI wa jeshi la Iran ametoa kauli ngumu akiimbia Marekani kuwa inapoteza muda katika mpango wa kutaka pande mbili hizo kukaa mezani. "Watu kama...

EAIF 2026 kufanyika kesho ikilenga kutoa fursa kwa vijana

Na mwandishi wetu, Gazetini KONGAMANO la Uwekezaji Afrika Mashariki la mwaka 2026 (East Africa Investment Forum – EAIF 2026) linatarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa...

CAF yaipa Kenya siku 90 tu

NAIROBI, Kenya TIMU ya wakaguzi ya Shirikisho la Soka l Afrika (CAF) haijaridhishwa na kiwango cha maandalizi yaliyofanyika kwa ajili ya fainali zijazo za AFCON...

Mastaa hawa wanajutia kuzihama timu zao

MERSEYSIDE, Uingereza UMESHAWAHI kusikia msemo wa 'usajili ni kamari'? Kwamba wakati mwingine mchezaji anayefanya vizuri akiwa na klabu moja anaweza 'kupotea' baada ya kuhamia kwingine. Mifano...

Alvarez azitolea nje Arsenal, Chelsea

LONDON, Uingereza KLABU za Arsenal na Chelsea zimepata pigo kubwa baada ya watu wa karibu wa Julian Alvarez kusema nyota huyo anaitaka Barcelona. Ripoti zilizopo zinaeleza...

Brown: Bado sijaona kama Rooney

MANCHESTER, Uingereza UNAMKUMBUKA beki wa zamani wa Manchester United, West Brown? Alisifika kwa 'ukatili' wake ndani ya uwanja, hasa kwa washambuliaji tishio aliokabidhiwa kuwadhibiti. Brown aliyezaliwa...

Papa aingilia kati hali ya usalama Nigeria

LAGOS, Nigeria KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, ametuma ujumbe wake wa kutaka kuimarishwa kwa hali ya amani nchini Nigeria. Papa Leo ameyasema hayo...

Anayeshutumiwa kusuka mauaji ya Traore akamatwa

OUAGADOUGOU, Burkina Faso RAIS wa zamani wa Burkina Faso, Paul-Henri Sandaogo Damiba, amekamatwa na vyombo vya dola vya Togo, na kisha kurejeshwa nchini kwake, ambako...

Nigeria yaipiga Misri mshindi wa tatu AFCON 2025

CASABLANCA, Morocco TIMU ya taifa ya Nigeria 'Super 'Eagles' imeshika nafasi ya tatu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) baada ya...

Hospitali zazidiwa wagonjwa Iran

LONDON, Uingereza IDADI ya majeruhi na miili ya waliopoteza maisha imeongezeka kwa kasi, hivyo baadhi ya hospitali kuzidiwa. Ni nchini Iran, ambako maandamano yameendelea kushika...

Kocha mpya Chelsea aanza na kipa

LONDON, Uingereza SIKU chache tu baada ya kutangazwa kuwa kocha wa Chelsea, Liam Rosenior amesisitiza juu ya usajili wa kipa mpya. Akiwa kocha wa Strasbourg ya...

Bilionea atajwa kung’oka meno, kucha gerezani

HONG KONG, China BINTI wa bilionea Jimmy Lai amesema baba yake anayesota gerezani anakabiliwa na changamoto kubwa ya kiafya, ikiwamo kung'oka meno na kucha. Lai mwenye...

Recent articles

spot_img