27.2 C
Dar es Salaam

Uncategorized

MwanaFA awaita wadau kujitokeza kusapoti ushiriki wa wanawake michezoni

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma 'MwanaFA' amewaomba wadau na wadhamini kujitokeza kusapoti ushiriki wa wanawake katika...

Miaka miwili ya vita: Israel imefanikiwa nini Gaza?

Na mwandishi wetu, GazetiniNI miaka miwili sasa tangu wapiganaji wa Hamas walipoishambulia Israel. Shambulizi hilo la Oktoba 7, mwaka 2023 liligharimu maisha ya watu...

Onana harudi Man United

MANCHESTER, UingerezaKLABU ya Trabzonspor ya Uturuki imewasiliana na wakala wa Andre Onana na kumwambia inataka kumsajili moja kwa moja kipa huyo wa Manchester United.Onana...

Kane akanusha kurudi England, ataka mkataba Bayern

MUNICH, UjerumaniMPACHIKAJI mabao wa Bayern Munich, Harry Kane, amesema si kweli kwamba atarudi Ligi Kuu ya England, na badala yake anataka kusaini mkataba mpya...

DCEA: Tumeanza kuwasaka mapapa waliojificha nje ya Nchi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza zaidi ya tani nne za dawa za kulevya zilizokuwa zikihifadhiwa...

Museveni kugombea tena; ni tamaa au uzalendo?

Na mwandishi wetu, GazetiniNI takribani miaka 40 akiwa madarakani na sasa Yoweri Museveni ni miongoni mwa wagombea wa kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu...

Meya Uingereza aibuka kumjibu Trump

LONDON, UingerezaMEYA wa Jiji la London, Sadiq Khan, amemwita Rais wa Marekani, Donald Trump, kuwa ni mtu aliyetawaliwa na ubaguzi wa rangi, jinsia na...

Zelensky aonya Urusi kuvamia mataifa mengine

KYIV, UkraineURUSI itaendelea kuvamia mataifa mengine ya Ulaya endapo Umoja wa Mataifa hautachukua hatua za kuizuia.Aliyesema hayo ni Rais wa Ukraine, Zelensky, wakati alipokuwa...

Sura mbili tofauti utawala wa Ibrahim Traore

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA upande mmoja, Ibrahim Traore wa Ivory Coast anatajwa kuwa ni shujaa, akionekana kuwa ni mtetezi halisi wa Bara la Afrika...

Mo ajiondoa Bodi ya Wakurugenzi Simba,  Barbara Gonzalez arejea

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’, ametangaza  kuachana na majukumu hayo na kumteua Crescentius Magori kuchukua nafasi...

Nguvu ya wanawake Uchaguzi Mkuu Malawi

LILONGWE, MalawiKWA mara ya kwanza katika historia ya siasa za Malawi, wagombea wengi wa kiti cha urais wamewateua wanawake katika nafasi ya mgombea mweza...

Kiungo Moussa  Conte rasmi atambulishwa Yanga

Na Mwandishi Wetu Mabingwa wa Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho Tanzania, Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi kiungo wa kimataifa wa Guinea, Moussa Bala Conte...

Recent articles

spot_img