27.2 C
Dar es Salaam

Uncategorized

Kuelekea Uchaguzi Mkuu Uganda 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini UCHAGUZI Mkuu wa Uganda unatarajiwa kufanyika Januari 15, mwakani, ambapo Rais Yoweri Museveni anawania muhula wake wa saba madarakani. Wakati Rais Museveni...

Ndoa za kitajiri zilizotikisa dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA wengi, ndoa ni tukio muhimu. Katika baadhi ya imani, ndoa ni hatua ya pili ya maisha ya binadamu baada ya...

Mechi hizi hata FIFA haiziruhusu

LONDON, Uingereza KWA mara kadhaa, siasa zimefanikiwa kuingia na kuathiri mchezo wa soka. Ni kama ilivyo sasa kwa Urusi na Ukraine. Baada ya Urusi kuivamia...

Tanzania v Nigeria; Dakika 90 za ‘Daudi na Goliath’ AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini HII ni mechi ya kwanza kwa kila timu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025). Ni mechi ya...

Jenerali wa jeshi Urusi auawa

MOSCOW, Urusi URUSI imepata pigo baada ya Jenerali wake wa jeshi kuuawa katika shambulio la bomu, kwa mujibu wa taarifa ya Serikali ya nchi hiyo. Taarifa...

Ugaidi wazidi kushika kasi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini VITENDO vya ugaidi vimeendelea kuwa tishio kwa usalama wa dunia, kwa mujibu wa Taasisi ya kimataifa ya Uchumi na Amani (IEP). Kwa...

Belarus yaachia wafungwa 123

MINSK, Belarus SERIKALI ya Belarus imetangaza kuwaachia huru wafungwa 123, akiwamo wanasiasa wa upinzani, ikiwa ni katika kutekeleza maagizo ya Marekani. Marekani iliiwekea vikwazo vya kiuchumi...

Kombe la Dunia 2026; Kundi I

Na mwandishi wetu, Gazetini KUMEKUCHA! Droo ya hatua ya makundi ya fainali za Kombe la Dunia ilichezeshwa nchini Marekani.Kwa mara ya kwanza, fainali hizo zitashirikisha...

Yanga, Azam FC zachekelea, Simba akifa kwa Mkapa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini LIGI Kuu Tanzania Bara imeendelea leo Novemba 7, 2025 kwa michezo miwili kupigwa ambapo Yanga na Azam zimefanikiwa kuondoka na alama...

Miaka 14 bila Muammar Gaddafi; Walibya wamekipata walichokitaka?

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAKATI wananchi wa Libya walipoingia barabarani katika miji mbalimbali Februari, 2011, kilio chao kikubwa kilikuwa ni uhuru, ambao waliamini wanaukosa chini...

Kocha Tottenham alia na VAR

LONDON, Uingereza KOCHA wa Tottenham, Thomas Frank, amesema lilikuwa ni kosa kubwa kwa teknolojia ya VAR kuwapa penalti wapinzani wao, Newcastle United, katika mchezo wa...

Trump: Sitaki kuona Wasomali hapa Marekani

WASHINGTON DC, Marekani NI agizo la Rais wa Marekani, Donald Trump, akisema hataki kuona wahamiaji wa Somalia wakiingia na kuishi nchini kwake. Katika Mkutano wake...

Recent articles

spot_img