JERUSALEM, IsraelMATAIFA ya Syria na Israel yamefikia makubaliano ya kusitisha vita, kwa mujibu wa Balozi wa Marekani nchini Uturuki, Tom Barrack.Kwa mujibu wa balozi...
MAIDUGURI, NigeriaKATIKA tukio lililotokea jana, kundi la waasi limevamia na kuuua watu sita, huku likiondoka na wengine zaidi ya 100, wakiwamo watoto na wanawake.Taaria...
KINSHASA, DRCSERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) itakaa mezani na M23 kusaini mkataba wa kumaliza vita Kaskazini mwa nchi hiyo.Hatua hiyo ni...
OUAGADOUGOU, Burkina FasoUTAWALA wa kijeshi nchini Burkina Faso umeifuta iliyokuwa Tume ya Uchaguzi kwa madai kuwa uwepo wake ni matumizi mabaya ya fedha za...
LONDON, UingerezaACHANA na mashambulizi ya makombora yanayotupwa kila uchwao na Israel, raia wa Palestina walioko katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na shida nyingine kubwa...
YAOUNDE, CameroonHATUA ya Rais wa Cameroon, Paul Biya, kutangaza nia ya kugombea tena katika Uchaguzi Mkuu ujao imeonekana kuzua mjadala mkubwa katika siasa za...
MOSCOW, UrusiMAHAKAMA nchini Urusi imemuhukumu kifungo cha miaka 14 gerezani mwandishi wa vitabu,Boris Akunin, kwa kauli yake ya kuiunga mkono Ukraine.Pia, mbali ya kuiunga...
MOGADISHU, SomaliaWANAMGAMBO wa Al Shabaab wameuteka na sasa wameweka makazi katika Mji wa Tardo mkoani Hiiran.Tardo ni Mji ulio katikati ya Somalia, hivyo unaipa...
YAOUNDE, CameroonRAIS wa Cameroon, Paul Biya, ametangaza nia ya kugombea tena katika Uchaguzi Mkuu ujao, licha ya kwamba ameshika nafasi hiyo kwa miaka 43.Biya...
BAMAKO, MaliKWA miaka ya hivi karibuni, Ukanda wa Afrika Magharibi umekuwa ukiandamwa na mashambulizi ya kigaidi yanayotekelezwa na Kundi la Jama'at Nusrat al-Islam wal-Muslimin...
MOSCOW, UrusiMAWAZIRI wa Mambo ya Nje wa Urusi na China wamezungumzia uwezekano wa kumaliza vita inayoendelea kati ya Taifa hilo la Ulaya na majirani...