Ads: info@gazetini.co.tz |
23.3 C
Dar es Salaam

Siasa

Umoja wa Mataifa waonya uhalifu wa kivita DRC

KINSHASA, DRCUMOJA wa Mataifa umezionya pande mbili zinazopigana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ukisema zinahusika katika uhalifu wa kivita nchini humo.Licha ya...

Mwelekeo wa makoloni ya Ufaransa barani Afrika

Na mwandishi wetu, GazetiniMIAKA 65 iliyopita, mataifa 14 ya Afrika yalipata uhuru kutoka kwa Ufaransa. Je, ni kwa kiasi gani yamepiga hatua tangu mwaka...

Raia kumiliki silaha kunavyoitesa Marekani

Na mwandishi wetu, GazetiniKATIKA kila raia 100 wa Marekani, kuna bastola 120. Hiyo ni kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya SAS ya nchini...

Chanzo machafuko yanayoendelea Yemen

Na mwandishi wetu, GazetiniKUNDI la waasi la Houthis limeendelea kuwateka wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa (UN) wanaoingia nchini Yemen humo kwa ajili ya kuwasaidia...

Ni wakati sasa Trump kupewa tuzo ya Nobel?

Na mwandishi wetu, GazetiniRAIS wa Marekani, Donald Trump, anajaribu kuingia kwenye historia ya kumaliza mgogoro unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine.Tujikumbushe; kiongozi huyo alikuwa...

Hakamatiki: Samia anga’a uzinduzi wa kampeni za urais

Na Mwandishi Wetu, Gazetini HAKAMATIKI-ndio msamiati unaoibuka kuelezea upekee wa kishindo cha mikutano ya kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia...

Rais Indonesia aibuka, alaani maandamano

JAKARTA, IndonesiaRAIS wa Indonesia, Prabowo Subianto, ameyaita kuwa ni uhaini na ugaidi maandamano ya raia yanayoendelea nchini humo.Indonesia, Taifa la Kusini-Mashariki mwa Asia, inakabiliwa...

Israel yamuua kiongozi Hamas

JERUSALEM, PalestinaSHAMBULIZI la anga lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza limemuua Msemaji wa Kundi la Hamas, Abu Obeida.Taarifa ya kifo chake inakuja baada...

Spika wa Bunge Ukraine auawa kwa kupigwa risasi

KYIV, UkraineALIYEWAHI kuwa Mbunge nchini Ukraine, Andriy Parubiy, amefariki leo baada ya kupigwa risasi mjini Lviv, Ukraine.Chanzo cha taarifa hiyo kimeeleza kuwa Parubiy alishambuliwa...

Rais Palestina azuiwa kuingia Marekani

WASHINGTON, MarekaniRAIS wa Palestina, Mahmoud Abbas, amepigwa marufuku kuingia Marekani, hivyo atakosa nafasi ya kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN unaotarajiwa kufanyika...

Urusi yaua watatu, yajeruhi 24 Ukraine

KYIV, UkraineSHAMBULIZI la asubuhi ya leo lililofanywa na Urusi nchini Ukraine mjini Kyiv limesababisha vifo vya watu watatu, akiwamo mtoto.Aliyethibitisha kutokea kwa shambulio hilo...

Blair akutana na Trump kuijadili Gaza

LOS ANGELES, MarekaniWAZIRI Mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair, amekutana na Rais wa Marekani, Donald Trump, ajenga ikiwa ni namna ya kumaliza mgogoro...

Recent articles