Na Mwandishi Wetu
Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Ubalozi na nafasi nyingine za uongozi wa Umma kuanzia...
NAIROBI, KenyaUPEPO unavuma vibaya kwa William Ruto, huku sehemu kubwa ya wakosoaji wake wakiwa ni vijana wa kizazi kipya, wakifahamika pia kwa jina la...
WASHINGTON DC, Marekani
JUMATANO ya wiki hii, Rais wa Marekani, Donald Trump, alifungua Mkutano wa siku tatu na viongozi wa nchi tano za Afrika mjini...
DUBAI, UAEMAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imelaani kinachoendelea mjini Darfur, Sudan, ikieleza kuwa kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.Tangu...
NAIROBI, KenyaWAKATI maandamano ya raia wanaoipinga Serikali yakiendelea, Rais wa Kenya, William Ruto, ameagiza waandamanaji wapigwe risasi za miguu.Agizo hilo linakuja wakati huu jumuhiya...
KYIV, UkraineWATU wawili wameripotiwa kufariki katika shambulizi la Urusi mjini Kyiv, Ukraine.Ndege isiyo na rubani iliishambulia Kyiv, ikielezwa pia watu 13 wamejeruhiwa katika tukio...
MOSCOW, UrusiALIYEKUWA Waziri wa Uchukuzi wa Urusi, Roman Starovoit, amefariki, huku mwili wake ukikutwa na jeraha la risasi.Wakati huo huo, kile kilichoelezwa na Kamati...
NA HASSAN DAUDIHATUA ya bilionea wa teknolojia, Elon Musk, kuanzisha Chama cha siasa cha 'America Party' mwishoni mwa wiki hii kimekoleza uhusiano wake mbaya...
NEW YORK, MarekaniRAIS wa Marekani, Donald Trump, amekiri kuwa haoni kama atafanikiwa kuimaliza vita inayoendelea kati ya mataifa ya Ulaya Mashariki, Urusi na Ukraine.Hata...
ANKARA, UturukiVIONGOZI watatu wa chama kikuu cha upinzani nchini Uturuki wanashikiliwa na jeshi la polisi.Taarifa zaidi zinawataja waliokamatwa kuwa ni mameya wa majimbo ya...
KYIV, UrusiURUSI limekuwa taifa la kwanza kutangaza kuitambua Serikali ya Taliban inayoiongoza Afghanistan.Haiishii hapo, bali pia Serikali ya Urusi kupitia kwa Wizara ya Mambo...