26.6 C
Dar es Salaam

Siasa

Kwanini viongozi Afrika hukimbilia kutibiwa nje?

LUSAKA, Zambia HIVI karibuni, Afrika iliwapoteza marais wastaafu wawili kutoka mataifa ya Nigeria na Malawi, Muhammadu Buhari na Edgar Lungu, ambao wote walikuwa nje ya...

Salum Mwalimu mgombea urais Chaumma, Devota Minja mgombea mwenza

Na Mwandishi Wetu CHAMA cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimemtangaza Salum Mwalimu kuwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu...

Trump ameikabidhi Afrika mikononi mwa China?

PRETORIA, Afrika KusiniMATAIFA ya Afrika yanakabiliwa na kiwango cha juu cha ushuru kwa bidhaa zake zitakazoingia Marekani, ikiwa ni sera ya utawala wa Rais...

Shetta ashinda kura za maoni Mchikichini

Na Mwandishi Wetu Msanii Nurdin Bilal maarufu Shetta, ameshinda kwenye kura za maoni ya kugombea udiwani Kata ya Mchikichini, Ilala, Dar es Salaam kupitia CCM. Katika...

Urio awabwaga wanne Kunduchi aongoza kura za maoni

Na Mwandishi Wetu Mgombea wa udiwani Kata ya Kunduchi, jijini Dar es Salaam anayetetea nafasi yake Michael Urio ameibuka kinara katika kura za maoni kwa...

Dogo Janja aibuka kidedea kura za maoni ya udiwani Ngarenaro

Na Mwandishi Wetu Msanii wa Bongofleva, Abdulaziz Abubakar ' Dogo Janja', ameongoza katika kura za maoni ya udiwani katika Kata Ngarenaro, mkoani Arusha kupitia Chama...

ADF tishio jipya la ugaidi Afrika Mashariki?

KINSHASA, DRCWIKI iliyopita, watu wenye silaha walioripotiwa kuwa ni wapiganaji wa Kundi la The Allied Democratic Forces (ADF) walivamia kanisa mjini Komanda, Jamhuri ya...

Januari Makamba, Mpina wakwama, Nape avuka uteuzi CCM

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Amos Makalla amejata majina ya wagombea sita wa  Jimbo...

Waandamana kumpinga rais Ukraine

KYIV, Ukraine MAELFU ya raia wa Ukraine wameandamana kuipinga hatua ya Rais Volodymyr Zelensky kupitisha sheria inayobana uhuru wa taasisi kubwa mbili, ikiwamo ya Kuzuia...

Trump amshambulia Obama, ataka ashitakiwe

WASHINGTON, MarekaniRAIS wa Marekani, Donald Trump, amemtaja mtangulizi wake, Barack Obama, kuwa ni muhaini na anayepaswa kufunguliwa mashitaka.Kwa mujibu wa Rais Trump, Obama alishirikiana...

Njaa yaua binti wa miaka minne

JERUSALEM, IsraelHUKU vita ikiendelea, binti mwenye umri wa miaka minne, Razan Abu Zaher, amepoteza maisha kutokana na njaa kali inayowakumba wakazi wa Ukanda wa...

CCM yaja na mbinu mpya kudhibiti uzushi

Na Mwandishi Wetu Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kutumia nembo maalumu (QR Code) ya utambuzi wa taarifa zake ili kuzuia  na kudhibiti uzushi na upotoshaji. Kupitia...

Recent articles

spot_img