27.2 C
Dar es Salaam

Mazingira

Ripoti: Uwindaji haramu wapungua, lakini faru bado wapo hatarini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TANZANIA imeendelea kuungana na nchi nyingine duniani katika kusherehekea Siku ya Faru Duniani kia ifikapo Septemba 22, huku takwimu mpya zikionyesha...

Dk. Jane Goodall ‘Mama wa Sokwe’ ameondoka, lakini kazi yake itaishi

Mwandishi Wetu, Gazetini MTAFITI maarufu duniani wa maisha ya wanyama, hususan sokwe, Dk. Jane Goodall, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 91 nchini Marekani. Taarifa...

Colombia kinara mauaji wanaharakati wa mazingira

BOGOTA, ColombiaRIPOTI mpya ya Taasisi ya Global Witness imeitaja Colombia kuwa ndilo Taifa lenye idadi kubwa ya mauaji ya wanaharakati wa mazingira.Kwa mwaka jana...

EU, WWF watoa vifaa vya zaidi ya sh bilioni 1 kusaidia ulinzi wa misitu Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WIZARA ya Maliasili na Utalii imepokea jumla ya vifaa 74 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja kwa ajili ya...

Mvua za vuli kunyesha kwa wastani  kuanzia  Oktoba

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetangaza kuwa msimu wa mvua za vuli kwa mwaka 2025, unaotarajiwa kuanzia Oktoba hadi...

Chikomo, Dk. Otaru waibeba Tanzania mapambano dhidi ya ukame, mmomonyoko wa ardhi

-Wakiwa viongozi wa JET, sasa wanaiwakilisha Tanzania katika nafasi za juu za Umoja wa Mataifa chini ya mkataba wa UNCCD. Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania imeendelea...

Dk. Philip Mpango wakiteta jambo na Rais wa Kenya kabla ya mkutano wa Mabadiliko ya Tabiachi- Ethiopia

PICHA: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango akizungumza na Rais wa Kenya Dk. William Ruto kabla ya kuanza...

Tanzania yapoteza hekta 460,000 za misitu kila mwaka, sheria zatajwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TANZANIA inakabiliwa na ongezeko kubwa la upotevu wa misitu, hali inayochochea ukame, kukauka kwa vyanzo vya maji na kuharakisha mabadiliko ya...

NCBA yazindua kampeni ya “Maisha ni Hesabu” nchini Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dar es Salaam BENKI ya NCBA imezindua rasmi kampeni yake mpya ya kibiashara inayojulikana kama “Numbers That Matter- Maisha Ni Hesabu”, ikiwa...

𝐔𝐡𝐢𝐟𝐚𝐝𝐡𝐢, 𝐮𝐭𝐚𝐥𝐢𝐢 𝐢𝐤𝐨𝐥𝐨𝐣𝐢𝐚 𝐯𝐲𝐚𝐭𝐚𝐣𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐮 𝐲𝐚 𝐚𝐣𝐢𝐫𝐚 𝐧𝐜𝐡𝐢𝐧i

Na Mwandishi Wetu, Arusha Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ni miongoni mwa taasisi zilizoalikuwa kushiriki kutoa mada mbalimbali katika kikao kazi cha Makatibu...

Waziri Masauni awataka wananchi kulinda miradi ya mabadiliko ya tabianchi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yusuf Masauni, amewataka wananchi kuilinda miradi ya mabadiliko...

Visual| Tanzania na vita ya kuokoa mnyama huyu mashuhuri

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika maadhimisho ya Siku ya Simba Duniani, taarifa mpya zinaonyesha hali ya kutisha kwani Simba, miongoni mwa wanyama mashuhuri barani Afrika,...

Recent articles

spot_img