Ads: info@gazetini.co.tz |
21.1 C
Dar es Salaam

Mazingira

Chikomo, Dk. Otaru waibeba Tanzania mapambano dhidi ya ukame, mmomonyoko wa ardhi

-Wakiwa viongozi wa JET, sasa wanaiwakilisha Tanzania katika nafasi za juu za Umoja wa Mataifa chini ya mkataba wa UNCCD. Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania imeendelea...

Dk. Philip Mpango wakiteta jambo na Rais wa Kenya kabla ya mkutano wa Mabadiliko ya Tabiachi- Ethiopia

PICHA: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango akizungumza na Rais wa Kenya Dk. William Ruto kabla ya kuanza...

Tanzania yapoteza hekta 460,000 za misitu kila mwaka, sheria zatajwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TANZANIA inakabiliwa na ongezeko kubwa la upotevu wa misitu, hali inayochochea ukame, kukauka kwa vyanzo vya maji na kuharakisha mabadiliko ya...

NCBA yazindua kampeni ya “Maisha ni Hesabu” nchini Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dar es Salaam BENKI ya NCBA imezindua rasmi kampeni yake mpya ya kibiashara inayojulikana kama “Numbers That Matter- Maisha Ni Hesabu”, ikiwa...

𝐔𝐡𝐢𝐟𝐚𝐝𝐡𝐢, 𝐮𝐭𝐚𝐥𝐢𝐢 𝐢𝐤𝐨𝐥𝐨𝐣𝐢𝐚 𝐯𝐲𝐚𝐭𝐚𝐣𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐮 𝐲𝐚 𝐚𝐣𝐢𝐫𝐚 𝐧𝐜𝐡𝐢𝐧i

Na Mwandishi Wetu, Arusha Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ni miongoni mwa taasisi zilizoalikuwa kushiriki kutoa mada mbalimbali katika kikao kazi cha Makatibu...

Waziri Masauni awataka wananchi kulinda miradi ya mabadiliko ya tabianchi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yusuf Masauni, amewataka wananchi kuilinda miradi ya mabadiliko...

Visual| Tanzania na vita ya kuokoa mnyama huyu mashuhuri

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika maadhimisho ya Siku ya Simba Duniani, taarifa mpya zinaonyesha hali ya kutisha kwani Simba, miongoni mwa wanyama mashuhuri barani Afrika,...

Mwani: Urithi wa pwani wenye fursa kubwa kitaifa na kimataifa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwani ni zao la baharini lenye thamani kubwa duniani. Kwa miongo kadhaa, wakulima wa mwani hususan visiwani Zanzibar na mikoa ya...

Chupa za kioo changamoto kwa mazingira, TBL, PETPRO waja na suluhisho

Na Jonathan Benedict, Gazetini Kila mwaka, maelfu ya tani za chupa za kioo hutupwa nchini Tanzania baada ya matumizi. Tafiti za mazingira zinaonyesha kuwa chini...

Ziwa Natron: Urithi wa kimataifa unaopaswa kulindwa, sio kuchimbwa

Na Emmanuel Mgimwa – Gazetini Katika nyanda kame za Kaskazini mwa Tanzania, lipo Ziwa Natron eneo la kimataifa la Ramsar na nyumbani kwa asilimia 75...

Utafiti: Hewa chafu husababisha kupoteza kumbukumbu

LONDON, Uingereza HEWA chafu ni moja ya sababu zinazoweza kuathiri uwezo wa ubongo wako kutunza kumbukumbu, kwa mujibu wa utafiti mpya wa Chuo Kikuu cha...

Usiyoyajua kuhusu biashara ya meno ya tembo

PRETORIA, Afrika Kusini TEMBO wanatajwa kuwa ndiyo wanyama walio hatarini zaidi katika vitendo vya ujangili duniani kote, huku Afrika ikichomoza katika takwimu hizo. Kwa mujibu wa...

Recent articles