25.9 C
Dar es Salaam

Mazingira

Mwani: Urithi wa pwani wenye fursa kubwa kitaifa na kimataifa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwani ni zao la baharini lenye thamani kubwa duniani. Kwa miongo kadhaa, wakulima wa mwani hususan visiwani Zanzibar na mikoa ya...

Chupa za kioo changamoto kwa mazingira, TBL, PETPRO waja na suluhisho

Na Jonathan Benedict, Gazetini Kila mwaka, maelfu ya tani za chupa za kioo hutupwa nchini Tanzania baada ya matumizi. Tafiti za mazingira zinaonyesha kuwa chini...

Ziwa Natron: Urithi wa kimataifa unaopaswa kulindwa, sio kuchimbwa

Na Emmanuel Mgimwa – Gazetini Katika nyanda kame za Kaskazini mwa Tanzania, lipo Ziwa Natron eneo la kimataifa la Ramsar na nyumbani kwa asilimia 75...

Utafiti: Hewa chafu husababisha kupoteza kumbukumbu

LONDON, Uingereza HEWA chafu ni moja ya sababu zinazoweza kuathiri uwezo wa ubongo wako kutunza kumbukumbu, kwa mujibu wa utafiti mpya wa Chuo Kikuu cha...

Usiyoyajua kuhusu biashara ya meno ya tembo

PRETORIA, Afrika Kusini TEMBO wanatajwa kuwa ndiyo wanyama walio hatarini zaidi katika vitendo vya ujangili duniani kote, huku Afrika ikichomoza katika takwimu hizo. Kwa mujibu wa...

JET, IUCN wawanoa waandishi wa habari kuhusu uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Tanga Katika kuhakikisha kuwa waandishi wa habari wanakuwa mstari wa mbele kuelimisha jamii na kuchochea sera kuhusu uchumi wa buluu, Chama cha...

IUCN na JET kuwanoa waandishi katika kuandika masuala ya Uchumi wa Buluu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mradi wa Bahari Mali, unaotekelezwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira (IUCN), unalenga kuonesha mifano ya vitendo ya uchumi...

Bunge  laridhia marekebisho mpaka wa  Hifadhi ya Nyerere

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Bunge limeridhia ombi la Serikali la kumega sehemu ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere kwa lengo la kutatua migogoro ya mipaka...

Chart| Watanzania waanza kuitikia matumizi ya nishati safi ya kupikia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Dar es Salaam, Juni 25, 2025 – Licha ya juhudi mbalimbali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini Tanzania,...

Dk. Mpango atoa wito  kwa Mataifa kupunguza uchafuzi wa mazingira, kulinda bioanuwai ya baharini

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango ametoa wito kwa Mataifa kuhakikisha kunakuwa na hatua za pamoja,...

Tanzania yaadhimisha Siku ya Bahari Duniani kwa kusisitiza uchumi wa buluu endelevu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Juni 8, 2025, Tanzania iliungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Bahari Duniani — siku muhimu ya kutoa wito wa...

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji yatakiwa kutanua wigo wa kazi

Na Mwandishi Wetu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Dk. Stephen Nindi, ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kutanua wigo wa...

Recent articles

spot_img