TEHRAN, Iran
SAA chache baada ya Iran kuanza kushambuliwa makombora ya Marekani na Israel, Serikali ya Urusi ilitoa tamko zito.
Mwakilishi wa Urusi ndani ya Umoja...
LONDON, Uingereza
WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Sir Keir Starmer, amesema serikali yake itashirikiana kwa karibu na sekta zilizoathirika pamoja na washirika wa kimataifa ili kukabiliana...
TEL AVIV, Israel
SERIKALI ya Israel imeweka wazi kuwa itamshambulia kijeshi, ikiwamo kumuua, kiongozi yeyote atakayeingia madarakani kuiongoza Iran.
Ujumbe huo wa tishio unalenga kiongozi atakayechukua...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametishia kusitisha uhusiano wa kibiashara na Hispania, huku Iran ikiwa chanzo cha msuguano huo.
Trump ameeleza nia yake...
HARARE, Zimbabwe
RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, ametangaza msamaha wa wafungwa takribani 4,000, ikiwa ni hatua ya kupunguza msongamano magerezani.
Hatua hiyo ni utekelezaji wa kile...
RIYADH, Saudi Arabia
SUPASTAA wa Al Nassr ya Ligi Kuu ya soka ya Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo, ameondoka nchini humo usiku wa manane akikimbia mashambulizi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WACHAMBUZI wa siasa za kimataifa nchini Nigeria wanadhani nchi yao inaweza kufuata baada ya kile kilichoikuta Iran.
Marekani kwa kushirikiana na washirika...
KAMPALA, Uganda
RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, amewataka vijana nchini humo kuacha kupoteza muda na nguvu kubwa kwenye ushabiki wa soka la Ulaya.
Na badala yake,...
TEHRAN, Iran
WAPIGANAJI wa Kundi linalohusishwa na ugaidi la Hezbollah nchini Lebabon wamerushiana risasi na makombora na wanajeshi wa Israel.
Hiyo ni baada ya Israel na...
TEHRAN, Iran
ALIYEWAHI kuwa Rais wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad, ameuawa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya ushirika kati Marekani na Israel.
Profesa Ahmadinejad alikuwa Rais wa...
WASHINGTON DC, Marekani
MAREKANI na mshirika wake mkubwa, Israel, zimeanzisha mashambulizi makubwa ya kivita dhidi ya Iran.
Milipuko ya mabomu imesikika katika miji mingi ya Iran,...