28.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Kwa nini Urusi haiingilii kati kuisaidia Iran dhidi ya Marekani, Israel?

TEHRAN, Iran SAA chache baada ya Iran kuanza kushambuliwa makombora ya Marekani na Israel, Serikali ya Urusi ilitoa tamko zito. Mwakilishi wa Urusi ndani ya Umoja...

Uingereza yatoa msimamo wake vita ya Iran

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Sir Keir Starmer, amesema serikali yake itashirikiana kwa karibu na sekta zilizoathirika pamoja na washirika wa kimataifa ili kukabiliana...

Israel: Kiongozi yeyote wa Iran atauawa

TEL AVIV, Israel SERIKALI ya Israel imeweka wazi kuwa itamshambulia kijeshi, ikiwamo kumuua, kiongozi yeyote atakayeingia madarakani kuiongoza Iran. Ujumbe huo wa tishio unalenga kiongozi atakayechukua...

Trump aitangazia uadui Hispania

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametishia kusitisha uhusiano wa kibiashara na Hispania, huku Iran ikiwa chanzo cha msuguano huo. Trump ameeleza nia yake...

Rais Zimbabwe aachia wafungwa 4,000

HARARE, Zimbabwe RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, ametangaza msamaha wa wafungwa takribani 4,000, ikiwa ni hatua ya kupunguza msongamano magerezani. Hatua hiyo ni utekelezaji wa kile...

Ronaldo aondoka Saudia usiku kukimbia mashambulizi ya Iran

RIYADH, Saudi Arabia SUPASTAA wa Al Nassr ya Ligi Kuu ya soka ya Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo, ameondoka nchini humo usiku wa manane akikimbia mashambulizi...

Baada ya Iran, ni zamu ya Nigeria kupigwa na Marekani?

Na mwandishi wetu, Gazetini WACHAMBUZI wa siasa za kimataifa nchini Nigeria wanadhani nchi yao inaweza kufuata baada ya kile kilichoikuta Iran. Marekani kwa kushirikiana na washirika...

IX – Sanaa ya mauaji ya kupanga

Na Christopher Cyrillo KIM Jong- nam, mtoto wa kwanza wa Kim Jong – il alitazamwa kama mrithi wa utawala wa Korea Kaskazini baada ya kumalizika...

Museveni awapa somo vijana Uganda

KAMPALA, Uganda RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, amewataka vijana nchini humo kuacha kupoteza muda na nguvu kubwa kwenye ushabiki wa soka la Ulaya. Na badala yake,...

Hezbollah waingilia kati kuisaidia Iran

TEHRAN, Iran WAPIGANAJI wa Kundi linalohusishwa na ugaidi la Hezbollah nchini Lebabon wamerushiana risasi na makombora na wanajeshi wa Israel. Hiyo ni baada ya Israel na...

Iran yapata pigo jingine, rais auawa

TEHRAN, Iran ALIYEWAHI kuwa Rais wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad, ameuawa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya ushirika kati Marekani na Israel. Profesa Ahmadinejad alikuwa Rais wa...

A-Z mashambulizi ya Marekani, Israel kwa Iran

WASHINGTON DC, Marekani MAREKANI na mshirika wake mkubwa, Israel, zimeanzisha mashambulizi makubwa ya kivita dhidi ya Iran. Milipuko ya mabomu imesikika katika miji mingi ya Iran,...

Recent articles

spot_img