LONDON, Uingereza
KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, amesema kwa sasa wana kikosi chenye uwezo wa kushindana na Arsenal katika mbio za kuwania taji la...
MANCHESTER, Uingereza
BAADA ya kuifungia Manchester City bao pekee katika mchezo dhidi ya Coventry City, Erling Haaland amefikisha mabao 300 katika maisha yake ya soka...
LAGOS, Nigeria
CHANZO cha kifo cha rafiki wa karibu wa staa Davido, Ego, kimetajwa kuwa ni operesheni ya kuongeza ukubwa wa umeme wake aliyofanyiwa Machi,...
LONDON, Uingereza
MAJI hufuata mkondo! Ni msemo maarufu na uliojidhirisha wazi katika ulimwengu wa soka kwa baadhi ya wanasoka waliostaafu kurithisha vipaji kwa watoto wao.
Kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SHIRIKA la Watoto la Umoja wa Mataifa limefanya utafiti wake na kubaini ongezeko kubwa la vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City imeripotiwa kuanza mapema mikakati ya kuinasa saini ya mshambuliaji wa Atletico Madrid, Alex Baena.
Kwa mujibu wa ripoti, usajili wa...
LONDON, Uingereza
CHELSEA ilikuwa na nafasi ya kumsajili Yves Bissouma baada ya kiungo wake, Enzo Fernandez, kutimkia kwa washindano wao wa Ligi Kuu ya England,...
WASHINGTON DC, Marekani
VIGOGO wawili wa serikali ya Marekani, Steve Witkoff na Jared Kushner, wamezitembelea Urusi na Ukraine wikiendi hii.
Ripoti zinaeleza kuwa ziara hiyo imelenga...
LA PAZ, Bolivia
WATU wawili wamepoteza maisha katika mlipuko uliotokea katika kambi ya jeshi nchini Bolivia, ingawa mamlaka zinadai kuwa huenda idadi ya vifo ni...
TUNIS, Tunisia
MAHAKAMA nchini Tunisia imetoa agizo la kukamatwa na kushikiliwa kwa mwandishi wa habari maarufu, Mohamed Yousfi, jana Septemba 4, 2026.
Aidha, mahakama ilieleza kuwa...
LOS ANGELES, Marekani
ALIYEWAHI kuwa bingwa wa dunia kwa ngumi za uzito wa juu, Andy Ruiz Jr, amepoteza pambano lake la kwanza tangu alipopona majeraha.
Andy...
MADRID, Hispania
KOCHA wa Real Betis, Manuel Pellegrini, hajafurahishwa na kauli ya Jose Mourinho baada ya mchezo wa La Liga wa jana Septemba 4, 2026.
Baada...