Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Maresca aitangazia ‘kiama’ Arsenal

LONDON, Uingereza KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, amesema kwa sasa wana kikosi chenye uwezo wa kushindana na Arsenal katika mbio za kuwania taji la...

Haaland awafunika Ronaldo, Mbappe

MANCHESTER, Uingereza BAADA ya kuifungia Manchester City bao pekee katika mchezo dhidi ya Coventry City, Erling Haaland amefikisha mabao 300 katika maisha yake ya soka...

Rafiki yake Davido afariki akiongeza uume

LAGOS, Nigeria CHANZO cha kifo cha rafiki wa karibu wa staa Davido, Ego, kimetajwa kuwa ni operesheni ya kuongeza ukubwa wa umeme wake aliyofanyiwa Machi,...

Watoto wa wanasoka wanaofuata nyayo za wazee zao

LONDON, Uingereza MAJI hufuata mkondo! Ni msemo maarufu na uliojidhirisha wazi katika ulimwengu wa soka kwa baadhi ya wanasoka waliostaafu kurithisha vipaji kwa watoto wao. Kwa...

Unamlindaje mtoto wako dhidi unyanyasaji mitandaoni?

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Watoto la Umoja wa Mataifa limefanya utafiti wake na kubaini ongezeko kubwa la vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia...

City yahamishia silaha kwa ‘mido’ Atletico

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City imeripotiwa kuanza mapema mikakati ya kuinasa saini ya mshambuliaji wa Atletico Madrid, Alex Baena. Kwa mujibu wa ripoti, usajili wa...

Bissouma bado kidogo tu atue Chelsea

LONDON, Uingereza CHELSEA ilikuwa na nafasi ya kumsajili Yves Bissouma baada ya kiungo wake, Enzo Fernandez, kutimkia kwa washindano wao wa Ligi Kuu ya England,...

Vigogo wa Marekani waingia Urusi, Ukraine

WASHINGTON DC, Marekani VIGOGO wawili wa serikali ya Marekani, Steve Witkoff na Jared Kushner, wamezitembelea Urusi na Ukraine wikiendi hii. Ripoti zinaeleza kuwa ziara hiyo imelenga...

Mlipuko kambi ya jeshi waua wawili

LA PAZ, Bolivia WATU wawili wamepoteza maisha katika mlipuko uliotokea katika kambi ya jeshi nchini Bolivia, ingawa mamlaka zinadai kuwa huenda idadi ya vifo ni...

Mahakama yaagiza mwandishi kukamatwa

TUNIS, Tunisia MAHAKAMA nchini Tunisia imetoa agizo la kukamatwa na kushikiliwa kwa mwandishi wa habari maarufu, Mohamed Yousfi, jana Septemba 4, 2026. Aidha, mahakama ilieleza kuwa...

Andy Ruiz arejea kwa kichapo ulingoni

LOS ANGELES, Marekani ALIYEWAHI kuwa bingwa wa dunia kwa ngumi za uzito wa juu, Andy Ruiz Jr, amepoteza pambano lake la kwanza tangu alipopona majeraha. Andy...

Pellegrini aibuka kumjibu Mourinho

MADRID, Hispania KOCHA wa Real Betis, Manuel Pellegrini, hajafurahishwa na kauli ya Jose Mourinho baada ya mchezo wa La Liga wa jana Septemba 4, 2026. Baada...

Recent articles