TEHRAN, Iran
JESHI la Iran (IRGC) limetangaza kuruhusu meli zaidi ya 30 zilizobeba mafuta kupita katika Mlango-Bahari wa Hormuz usiku wa Mei 14, 2026.
Iran imeimarisha...
PRETORIA, Afrika Kusini
KWA sasa, Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini anakabiliwa na tishio la kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na rais. Amekuwa madarakani tangu...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
RAIS Yoweri Museveni ameapishwa kuanza awamu yake ya saba baada ya ushindi katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Januari, 2026, akiandika historia ya...
DAKAL, Senegal
BUNGE la Senegal limepitisha sheria mpya inayolenga kudhibiti tabia ya baadhi ya wabunge wanaosusia vikao vya Bunge bila sababu za msingi, hatua ambayo...
WASHINGTON, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump amesema hakuwahi kutangaza kumalizika kwa operesheni za kijeshi dhidi ya Iran bali alieleza kuwa Marekani imefanikiwa kuishinda Iran...
JOHANNESBURG, Afrika Kusini
RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, anakabiliwa na presha mpya ya kisiasa baada ya Mahakama ya Katiba kuamua kuwa Bunge lilikosea kisheria...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MWAKA mmoja baada ya kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, Mei 8, 202, ameendelea kuvuta hisia za...
CATALUNYA, Hispania
HATIMAYE Arsenal imetinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Ni baada ya ushindi wao wa bao 1-0 dhidi ya Atletico Madrid, mchezo uliochezwa...
MERSEYSIDE, Uingereza
LICHA ya mashabiki wa Liverpool kutokuridhishwa na mambo yanavyokwenda msimu huu, uongozi wa timu hiyo hauna mpango wa kumfuta kazi kocha Arne Slot.
Ukiwa...
CATALUNYA, Hispania
LICHA ya tetesi zilizopo, Chelsea hawana mpango wa kumpa ajira kocha wa zamani wa Barcelona raia wa Hispania, Xavi Hernandez.
Awali, zilikuwepo taarifa zilizodai...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Napoli imethibitisha kukwama katika mpango wake wa kumsajili kiungo wao wa mkopo kutoka Manchester United, Rasmus Hojlund.
Hojlund mwenye umri wa miaka...