Ads: info@gazetini.co.tz |
25.3 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Babu wa miaka 81 jela maisha kwa ubakaji, mauaji

BERLIN, Ujerumani MAHAKAMA Kuu nchini Ujerumani imemuhukumu kifungo cha maisha mwanaume mwenye umri wa miaka 81 kwa mashitaka ya kubaka na kuua. Kwa mujibu wa taarifa,...

Kumekucha Ligi ya Mabingwa Ulaya 2026-27

MONACO, Ufaransa DROO ya ratiba ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu wa 2026-27 ilichezeshwa jana, Agosti 27, 2026 mjini Monaco, Ufaransa. Ligi hiyo kwa...

Desailly hamkubali hata kidogo kipa Chelsea

LONDON, Uingereza LEJENDARI wa Chelsea, Marcel Desailly, amesema kama kuna mchezaji asiyetakiwa kuingia tena kwenye kikosi cha timu hiyo, basi ni kipa Robert Sanchez. Kauli ya...

Man United njia nyeupe kwa Adarabioyo

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kuinasa saini ya beki wa Chelsea, Tosin Adarabioyo. Katika dirisha kubwa hili la usajili wa...

Mfalme wa Norway afariki akiwa na miaka 89

OSLO, Norway MFALME wa Norway, Harald V, amefariki akiwa na umri wa miaka 89, zikiwa ni siku chache zimepita tangu alipopelekwa hospitali kwa ajili ya...

Chelsea na mkosi wa jezi namba 9

LONDON, Uingereza ILIMCHUKUA sekunde 31 pekee straika wa Kibrazil, Joao Pedro, kuifungia bao Chelsea katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Fulham, mchezo wa Ligi Kuu...

Sekta nyeti ‘walizofunga’ Marekani uchumi wa Iran

TEHRAN, Iran KATIBU Mkuu wa Hazina ya Marekani, Scott Bessent, amesema si tu Iran, bali hata nchi, taasisi na mashirika yatakayofanya biashara na Iran yataingia...

Dolly Parton; Mtoto wa mkulima anayeliliwa na dunia ya muziki

LOS ANGELES, Marekani MAMILIONI ya wapenzi wa muziki wa Country kutoka pande zote za dunia wameguswa na kifo cha nguli Dolly Parton aliyefariki hivi karibuni...

China inavyoua biashara ya magari Ujerumani

BERLIN, Ujerumani BMW imekuwa kampuni ya tano ya utengenezaji magari nchini Ujerumani kutangaza kupunguza wafanyakazi. Kampuni zilizotangulia kuchukua hatua hiyo ni VW, Porsche na Mercedes-Benz. Hatua...

Nchi zenye ‘sura ya ugaidi’ mbele ya Marekani

LOS ANGELES, Marekani MAREKANI imeiondoa Syria katika orodha ya nchi inazoamini zinafadhili vitendo vya kigaidi (SSOT). Hatua hiyo ni mwendelezo wa uhusiano mzuri wa mataifa...

Miji yenye watu wengi zaidi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini MWAKA 1950, Tokyo (Japan) na New York (Marekani) ndiyo miji iliyokuwa na idadi kubwa ya watu duniani. Tokyo ilikuwa na watu...

Uchumi wa dunia kufikia trilioni 150 mwaka 2030

Na mwandishi wetu, Gazetini UCHUMI wa dunia unatarajiwa kufikia Dola za Marekani trilioni 150 ifikapo mwaka 2030, kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Fedha...

Recent articles