TRIPOLI, Libya
WANANCHI wa Libya walioingia barabarani kupinga taarifa za nchi yao kupokea wahamiaji kutoka Marekani wameingia na kufanya vurugu katika ofisi za Umoja wa...
NABATIEH, Lebanon
Pande mbili hizo zimeingia kwenye mapigano ya muda mrefu sasa, hasa tangu Hezbollah ilipoamua kuisaidia Iran ilipoanza kushambuliwa na Marekani na Israel mwanzoni...
KYIV, Ukraine
RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amemuomba mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, wakutane na kuzungumza juu ya kumaliza vita vinavyoendelea kati ya mataifa mawili...
LONDON, Uingereza
KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza Juni 11, 2026, umekuwapo wasiwasi mkubwa juu ya uwezekano wa kutokea kwa mashambulizi ya kigaidi viwanjani.
Michuano...
KYIV, Ukraine
WATU saba wameripotiwa kupoteza maisha na wengine 11 kujeruhiwa baada ya ndege isiyo na rubani (drone) kugonga basi la abiria nchini Ukraine.
Kwa mujibu...
BEIRUT, Lebanon
HIVI karibuni, vikosi vya jeshi la Israel viliitaja kuwa ni mafanikio makubwa hatua ya kuiteka Ngome ya Beaufort iliyoko Lebanon.
Kwamba ni hatua kubwa...
MAPUTO, Msumbiji
KWA siku za hivi karibuni, yamezuka matukio ya wanasiasa wa upinzani nchini Msumbiji kuuawa kwa kupigwa risasi.
Mei 9, 2026, Anselmo Vicente, ambaye ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MWISHONI mwa mwaka 2025, Madagascar ilitikiswa na maandamano makubwa ya vijana wa Gen-Z walioingia barabarani wakipinga hali mbaya ya kiuchumi, wakati...
LAGOS, Nigeria
MEJA Jenerali Mstaafu wa jeshi nchini Nigera, Rabe Abubakar, ametekwa na watu wasiojulikana akiwa na mkewe kwenye gari wakati wakiwa safarini katika Jimbo...
ANKARA, Uturuki
MAELFU ya wananchi wa Uturuki wameingia barabarani kupinga uamuzi wa Mahakama kutokumtambua kiongozi wa upinzani, Ozgur Ozel.
Ozel ameondoshwa katika nafasi yake ya uongozi...
TOKYO, Japan
KABLA ya kufanyiwa marekebisho Aprili Mosi, 2026, Sheria ya Malezi nchini Japan ilimtaka mzazi mmoja pekee kumiliki mtoto/watoto pale ilipotokea ndoa au mahusiano...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MAAMBUKIZI ya virusi vya Ebola yameendelea kuripotiwa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kama ilivyo kwa majirani zao, Uganda, huku...