KINSHASA, DRC
VISA vya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola vineripotiwa kuongezeka na kuiweka kwenye hali mbaya sekta ya afya chini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo...
BEIJING, China
ZIARA ya Vladmir Putin nchini China inakuja zikiwa ni siku chache tu tangu Donald Trump wa Marekani alipomaliza mkutano wake na Rais Xi...
LUSAKA, Zambia
ZAMBIA iko mbioni kuingia katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Agosti, 2026, huku wanaharati wa haki za binadamu wakitilia shaka hali ya uhuru wa kutoa...
TEHRAN, Iran
KABLA na hata wiki chache chache za mwanzoni mwa vita, Rais Donald Trump aliamini kuizima Iran na kuondosha uongozi ulioko madarakani ingechukua siku...
BOGOTA, Colombia
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa Mei 31, 2026, Colombia imekuwa kwenye mfululizo wa matukio ya vurugu, yakihusisha pia kutekwa na hata kuuawa kwa wanasiasa.
Hali...
MANILA, Ufilipino
SERIKALI ya Ufilipino imeagiza vyombo vya dola kumtia nguvuni Seneta wake aliyefunguliwa mashitaka na Mahakama ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC), Ronald dela Rosa.
ICC...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS Donald Trump ameendelea kuwashutumu wapiganaji wa jamii ya Wakurdi akidai kuwa walificha silaha walizopewa na Marekani wakati wa maandamano makubwa ya...
NEW YORK, Marekani
NI kwa mujibu wa Mpango wa Ukimwi wa Umoja wa Mataifa (UNAIDS), ikielezwa kuwa vita dhidi ya Ukimwi imepungua duniani kutokana na...
HAVANA, Cuba
SERIKALI ya Cuba imeagiza ndege zisizo na rubani (drones) zaidi ya 300 wakati huu uhusiano wake na Marekani ukiwa kwenye hali mbaya.
Mataifa hayo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SHIRIKA la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limetangaza hali ya dharura inayohitaji uangalizi wa kimataifa baada ya mlipuko wa ugonjwa...
MANCHESTER, Uingereza
BAADA ya kuifunga Chelsea bao 1-0, Manchester City si tu imetwaa ubingwa wa Kombe la FA, bali pia imeandika historia mpya kwenye michuano...
TEHRAN, Iran
JESHI la Iran (IRGC) limetangaza kuruhusu meli zaidi ya 30 zilizobeba mafuta kupita katika Mlango-Bahari wa Hormuz usiku wa Mei 14, 2026.
Iran imeimarisha...