LOS ANGELES, Marekani
BIBIYE mwenye jina kubwa katika soko la muziki nchini Marekani, Ciara, ametangaza kuwa ana ujauzito, hivyo mtoto ajaye atakuwa wa tano kwenye...
CARACAS, Venezuela
KWA sasa, Alejandro Betancourt anatarajiwa kama mtu muhimu katika mkataba wa mafuta ulioingiwa kati ya nchi yake ya Venezuela na Marekani, kwa mujibu...
TUNIS, Tunisia
"WALE wanaozikosoa mamlaka au mambo yanavyokwenda nchini Tunisia wanakumbana na ukandamizaji." Ni kauli ya Messaoud Romdhani, mwanaharakati wa haki za binadamu katika nchi...
LAGOS, Nigeria
UTAFITI uliohusisha wanafunzi 222 kutoka vyuo vikuu 34 nchini Nigeria umebaini kuwa asilimia 52.1 hawajajiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu ujao .
Aidha, katika...
PAYNESVILLE, Liberia
HIVI karibuni, Mahakama nchini Liberia ilimpa ruhusa ya kutoka gerezani Makamu wa Rais wa zamani, Jewel Howard-Taylor, ili kwenda kupata matibabu ya nje,...
LONDON, Uingereza
KIUNGO mkongwe, Luka Modric, ataendelea kuitumikia timu yake ya Taifa ya Croatia, licha ya umri wake mkubwa wa miaka 41.
Chama cha Soka cha...
LONDON, Uingereza
UZALENDO uliwashinda mashabiki wa Fulham na kuamua kuwazomea wachezaji wao baada ya timu hiyo kufungwa mabao 3-2 na Crystal Palace jana Septemba 5,...
MUNICH, Ujerumani
KWA mara ya kwanza baada ya mechi 59, Bayern Munich wamelazimishwa kumaliza dakika 90 bila kupata bao.
Ni katika mchezo wa Bundesliga uliochezwa jana...
JAKARTA, Indonesia
MLIPUKO wa Volcano katika Mlima Anak Krakatau umesababisha kusitishwa kwa safari za ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta mjini Jakarta,...
CAIRO, Misri
MTANGAZAJI maarufu wa vipindi vya televisheni nchini Misri, Sarah Khalifa, ni miongoni mwa watuhumiwa 11 walihukumiwa kifo kwa makosa ya kujihusisha na mtandao...
MADRID, Hispania
KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone, amesema wapinzani wao, Athletic Bilbao, walikuwa wazuri kwenye ulinzi na ndiyo maana ikawa ngumu kwa vijana wake...