22.6 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Bellingham aiokoa Madrid, yarudi kileleni

MADRID, HispaniaUSIKU wa kuamkia leo, kiungo wa Real Madrid, Jude Bellingham, alifunga bao moja na kutoa 'asisti' katika mchezo dhidi ya Elche.Mchezo huo wa...

Waasi wavamia shule, wateka watu 300

LAGOS, NigeriaWATU wenye silaha waliodhaniwa kuwa ni miongoni mwa vikundi vya waasi wameteka watu 300, wakiwamo wanafunzi, baada ya kuvamia shule ya Kikatoliki.Idadi hiyo...

Mafuriko yaua watu 90

HANOI, VietnamWATU takribani 90 wamepoteza maisha na wengine 12 hawajulikana walipo kutokana na mvua kubwa iliyosababisha mafuriko nchini Vietnam.Kwa mujibu wa taarifa ya Serikali,...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Ivory Coast (42)

ABIDJAN, Ivory CoastTAIFA hilo la Afrika ya Magharibi linashika nafasi ya 42 katika viwango vya ubora wa soka duniani. Ivory Coast iliwahi kuwa ya...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Korea ya Kusini (41)

SEOUL, Korea ya KusiniKWA sasa, Korea Kusini inashika nafasi ya 22 katika viwango vya ubora wa soka duniani. Iliwahi kupanda hadi nafasi ya 17...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Uruguay (40)

MONTEVIDEO, UruguayKUELEKEA fainali za Kombe la Dunia za mwakani, Uruguay inashika nafasi ya 16 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Paraguay (39)

ASUNCION, ParaguayIFAHAMIKE kuwa Paraguay wanashika nafasi ya 39 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Walikuwa nafasi ya nane mwaka...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Colombia (38)

BOGOTA, ColombiaNAFASI ya 13 katika viwango vya ubora wa soka duniani. Mwaka 2016, Colombia ilipiga hatua kubwa zaidi kwa kushika nafasi ya tatu.'La Tricolor'...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Brazil (37)

RIO, BrazilNAFASI ya tano katika viwango vya ubora wa soka duniani. Brazil waliwahi kushika nafasi ya kwanza mwaka 2023.Brazil, maarufu kwa jina la 'Selecao'...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: New Zealand (36)

WELLINGTON, New ZealandTAIFA hilo la Ulaya linashika nafasi ya 86 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).'All Whites' watashiriki fainali...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Uswis (35)

BERN, UswisMWAKA 1993, Uswis ilikuwa moja ya mataifa makubwa katika ulimwengu wa soka, ambapo ilishika nafasi ya tatu kwenye viwango vya ubora. Kwa sasa,...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Hispania (34)

MADRID, HispaniaTAIFA linaloshika nafasi ya kwanza katika viwango vya ubora wa soka duniani. Timu yao ya taifa pia inafahamika kwa jina la 'La Furia...

Recent articles

spot_img