RIYADH, Saudi Arabia
SUPASTAA wa Al Nassr ya Ligi Kuu ya soka ya Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo, ameondoka nchini humo usiku wa manane akikimbia mashambulizi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WACHAMBUZI wa siasa za kimataifa nchini Nigeria wanadhani nchi yao inaweza kufuata baada ya kile kilichoikuta Iran.
Marekani kwa kushirikiana na washirika...
KAMPALA, Uganda
RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, amewataka vijana nchini humo kuacha kupoteza muda na nguvu kubwa kwenye ushabiki wa soka la Ulaya.
Na badala yake,...
TEHRAN, Iran
WAPIGANAJI wa Kundi linalohusishwa na ugaidi la Hezbollah nchini Lebabon wamerushiana risasi na makombora na wanajeshi wa Israel.
Hiyo ni baada ya Israel na...
TEHRAN, Iran
ALIYEWAHI kuwa Rais wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad, ameuawa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya ushirika kati Marekani na Israel.
Profesa Ahmadinejad alikuwa Rais wa...
WASHINGTON DC, Marekani
MAREKANI na mshirika wake mkubwa, Israel, zimeanzisha mashambulizi makubwa ya kivita dhidi ya Iran.
Milipuko ya mabomu imesikika katika miji mingi ya Iran,...
TEHRAN, Iran
NI rasmi sasa, kwamba kiongozi wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameuawa na vikosi vya Marekani vinavyoshirikiana na Israel.
Marekani na washirika wake, Israel, wameanzisha...
MILAN, Italia
MWANDISHI wa habari raia wa Italia, Danika Mason, ameomba radhi baada ya video iliyosambaa mitandaoni kumuonesha akiwa amelewa pombe.
Mason ni miongoni mwa waandishi...
WASHINGTON DC, Marekani
VATICAN imeweka wazi kuwa haitakuwa sehemu ya Bodi ya Amani ya Rais Donald Trump, licha ya kukiri kupokea mwaliko.
Awali, Bodi hiyo ililenga...
MOSCOW, Urusi
"MAISHA yamekuwa ghali mno." Ni kauli ya Alexander, mkazi wa mjini Moscow, ambaye ni mtaalamu wa moja ya kampuni kubwa za matangazo nchini...
NAIROBI, Kenya
MGOMO wa wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta umesababisha kuchelewa kwa baadhi ya safari.
Kama itakumbukwa, wiki iliyopita Mamlaka ya...