Ads: info@gazetini.co.tz |
27.7 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Ronaldo aondoka Saudia usiku kukimbia mashambulizi ya Iran

RIYADH, Saudi Arabia SUPASTAA wa Al Nassr ya Ligi Kuu ya soka ya Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo, ameondoka nchini humo usiku wa manane akikimbia mashambulizi...

Baada ya Iran, ni zamu ya Nigeria kupigwa na Marekani?

Na mwandishi wetu, Gazetini WACHAMBUZI wa siasa za kimataifa nchini Nigeria wanadhani nchi yao inaweza kufuata baada ya kile kilichoikuta Iran. Marekani kwa kushirikiana na washirika...

IX – Sanaa ya mauaji ya kupanga

Na Christopher Cyrillo KIM Jong- nam, mtoto wa kwanza wa Kim Jong – il alitazamwa kama mrithi wa utawala wa Korea Kaskazini baada ya kumalizika...

Museveni awapa somo vijana Uganda

KAMPALA, Uganda RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, amewataka vijana nchini humo kuacha kupoteza muda na nguvu kubwa kwenye ushabiki wa soka la Ulaya. Na badala yake,...

Hezbollah waingilia kati kuisaidia Iran

TEHRAN, Iran WAPIGANAJI wa Kundi linalohusishwa na ugaidi la Hezbollah nchini Lebabon wamerushiana risasi na makombora na wanajeshi wa Israel. Hiyo ni baada ya Israel na...

Iran yapata pigo jingine, rais auawa

TEHRAN, Iran ALIYEWAHI kuwa Rais wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad, ameuawa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya ushirika kati Marekani na Israel. Profesa Ahmadinejad alikuwa Rais wa...

A-Z mashambulizi ya Marekani, Israel kwa Iran

WASHINGTON DC, Marekani MAREKANI na mshirika wake mkubwa, Israel, zimeanzisha mashambulizi makubwa ya kivita dhidi ya Iran. Milipuko ya mabomu imesikika katika miji mingi ya Iran,...

Marekani, Israel zamuua Ali Khamenei

TEHRAN, Iran NI rasmi sasa, kwamba kiongozi wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameuawa na vikosi vya Marekani vinavyoshirikiana na Israel. Marekani na washirika wake, Israel, wameanzisha...

Mwandishi aliyeingia kazini akiwa amelewa aomba radhi

MILAN, Italia MWANDISHI wa habari raia wa Italia, Danika Mason, ameomba radhi baada ya video iliyosambaa mitandaoni kumuonesha akiwa amelewa pombe. Mason ni miongoni mwa waandishi...

Vatican yakataa mwaliko wa Trump

WASHINGTON DC, Marekani VATICAN imeweka wazi kuwa haitakuwa sehemu ya Bodi ya Amani ya Rais Donald Trump, licha ya kukiri kupokea mwaliko. Awali, Bodi hiyo ililenga...

Raia Urusi walia ugumu wa maisha

MOSCOW, Urusi "MAISHA yamekuwa ghali mno." Ni kauli ya Alexander, mkazi wa mjini Moscow, ambaye ni mtaalamu wa moja ya kampuni kubwa za matangazo nchini...

Mgomo wa wafanyakazi wachelewesha safari za ndege

NAIROBI, Kenya MGOMO wa wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta umesababisha kuchelewa kwa baadhi ya safari. Kama itakumbukwa, wiki iliyopita Mamlaka ya...

Recent articles