24.5 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Wanajeshi sita wa UN wauawa Sudan

DARFUR, Sudan UMOJA wa Mataifa (UN) umethibitisha kuuawa kwa wanajeshi wake sita wanaolinda amani nchini Sudan wakati huu wa machafuko. Kwa mujibu wa taarifa ya UN...

UNICEF: Kipindupindu kimeua watoto 340 DRC

KINSHASA, DRC SHIRIKA la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limeeleza kuwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inapitia kipindi kigumu zaidi kuwahi kutokea kutokana...

Belarus yaachia wafungwa 123

MINSK, Belarus SERIKALI ya Belarus imetangaza kuwaachia huru wafungwa 123, akiwamo wanasiasa wa upinzani, ikiwa ni katika kutekeleza maagizo ya Marekani. Marekani iliiwekea vikwazo vya kiuchumi...

Urusi yakata umeme Ukraine

KYIV, Ukraine WAKAZI zaidi ya milioni moja wanakosa huduma ya umeme nchini Ukraine na hiyo imesababishwa na mashambulizi makali ya Urusi kwa majirani zao hao. Urusi...

Avunja rekodi ya kukumbatia mti kwa siku tatu

NAIROBI, Kenya MWANAHARAKATI wa mazingira nchini Kenya, Truphena Muthoni, amevunja rekodi yake ya kukumbatia mti, safari hii akitumia siku tatu (saa 72) mfululizo. Muthoni amefanya hivyo...

Rais akamatwa, kushitakiwa kwa shutuma za rushwa

SUCRE, Bolivia MWEZI mmoja tu baada ya kutoka madarakani, polisi nchini Bolivia wamemtia nguvuni Rais mstaafu, Luis Arce, ili kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa. Luis...

Aliyemuua Waziri Mkuu aomba radhi

TOKYO, Japan TETSUYA Yamagami, ambaye ni mwanaume aliyekutwa na hatia katika mashitaka ya kumuua Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe, amekiri makosa na...

Marekani yazitaka Thailand, Cambodia kumaliza vita

WASHINGTON DC, Marekani SERIKALI ya Marekani imezionya Thailand na Cambodia ikizitaka nchi jirani hizo kuacha mara moja vita inayoendelea. Kwa siku tatu mfululizo, yameshuhudiwa mapigano...

ICC yamfunga miaka 20 kiongozi wa jeshi Sudan

DARFUR, Sudan MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imemuhukumu kifungo cha miaka 20 aliyekuwa kiongozi wa kikundi cha kijeshi cha Janjaweed nchini Sudan. Ali Muhammad Ali...

Nyuma ya pazia ugomvi wa Rais Trump, Maduro

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kumpa presha mwenzake wa Venezuela, Nicolas Maduro.Hivi karibuni, utawala wa Trump ulitangaza kuongeza mara mbili zawadi...

Wabunge Kenya wawajia juu wanajeshi Uingereza

NAIROBI, Kenya BUNGE la Kenya limewashutumu wanajeshi wa Uingereza likiwataja kufanya vitendo vya udhalilishaji walipokuwa kwenye mafunzo nchini humo. Kwa miaka mingi, vikosi vya jeshi...

Ndege iliyopotea kuanza kutafutwa Desemba 30

KUALA LUMPUR, Malaysia IKIWA ni miaka 14 imepita tangu ilipopotea, Serikali ya Malaysia itaanza tena operesheni ya kuisaka ndege yake aina ya Boeing 777. Kwa...

Recent articles

spot_img