24 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Kiongozi wa upinzani akamatwa, kufungwa miaka mitano

TUNIS, Tunisia MWANASIASA maarufu wa upinzani nchini Tunisia, Ayachi Hammami, amekamatwa na polisi ili kwenda kutumikia kifungo cha miaka mitano gerezani. Hammami ni miongoni mwa...

Mke wa rais kutupwa jela miaka 15?

SEOUL, Korea ya Kusini WAENDESHA mashitaka wa Korea Kusini wameiomba Mahakama imuhukumu kifungo cha miaka 15 gerezani aliyekuwa mke wa Rais wa zamani, Yoon Suk...

Tume yaundwa kuchunguza ajali ya moto

VICTORIA, Hong Kong KIONGOZI wa Hong Kong, John Lee, ameunda Tume ya kuchunguza chanzo cha ajali ya moto iliyosababisha vifo vya watu takribani 151. Jumatano...

UN: Watu 300,000 wamekimbia makazi Msumbiji

MAPUTO, Msumbiji UMOJA wa Mataifa (UN) umekiri kupata wasiwasi juu ya machafuko yanayoendelea Kaskazini mwa Msumbiji na kudai kuwa watu takribani 300,000 wamekimbia makazi yao....

Mgombea urais anusurika kuuawa

LIMA, Peru MGOMBEA urais katika Uchaguzi Mkuu wa Peru unaotarajiwa kufanyika Aprili, mwakani, Rafael Belaunde, amenusurika kuuawa katika shambulio la risasi. Belaunde alishambuliwa na watu...

Trump amtoa gerezani rais aliyehukumiwa miaka 45

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa zamani wa Honduras, Juan Orlando Hernandez, ametoka gerezani kwa msamaha wa Rais wa Marekani, Donald Trump. Orlando Hernandez alikuwa akitumikia...

Maelfu waandamana wakitaka Serikali ijiuzulu

SOFIA, Bulgaria MAANDAMANO makubwa yameibuka katika Jiji la Sofia, Bulgaria, ambapo maelfu ya wananchi wameingia barabarani wakishinikiza Serikali kujiuzulu. Taarifa za awali juu ya maandamano...

Urusi yatangaza kuteka mji Ukraine

MOSCOW, Urusi SERIKALI ya Urusi kupitia kwa Msemaji wake, Dmitry Peskov, imetangaza kile ilichokiita kuwa ni ushindi baada ya kuteka mji ulioko Mashariki wa Donetsk,...

Waasi wamng’oa Waziri wa Ulinzi

LAGOS, Nigeria WAKATI huu kukiwa na mfululizo wa matukio ya utekaji yanayofanywa na vikundi vya waasi nchini Nigeria, Waziri wa Ulinzi ametangaza kujiuzulu. Hata hivyo,...

Dunia yaadhimisha Siku ya UKIMWI kwa onyo kali na wito wa kuchukua hatua

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Dunia leo Desemba 1, 2025, inaadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani, huku Umoja wa Mataifa ukitoa onyo kali kuhusu mustakabali wa mapambano...

Watu 20 watekwa Nigeria, wamo mchungaji na bibi harusi

ABUJA, Nigeria Watu wenye silaha wamewateka nyara takriban watu 20, wakiwemo mchungaji wa kanisa na bibi harusi, katika mashambulizi mawili tofauti yaliyotokea nchini Nigeria katika...

Nyasi zitawaka moto Afcon 2025: Kundi F

CAIRO, MisriFAINALI za mwaka huu za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi lake Desemba 21, mwaka huu, na zitafikia ukomo Januari...

Recent articles

spot_img