LONDON, Uingereza
WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, klabu za soka, zikiwamo za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeanza kujipanga kwa ajili ya...
HOUSTON, Marekani
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno, Roberto Martinez, haoni kama ni sahihi kwa nahodha wake, Cristiano Ronaldo, kukosolewa baada ya...
NEW YORK, Marekani
BAADA ya kufukuzwa katika benchi la ufundi la timu ya soka ya Tunisia, Sabri Lamouchi hajawa kocha wa kwanza kutimuliwa mapema katika...
NAIROBI, Kenya
RWANDA inashirikiana kwa karibu na wapiganaji wa M23 kuteka raia, hasa vijana na watoto, na kuwaingiza katika kundi hilo linalopigana na wanajeshi wa...
NEW YORK, Marekani
FAINALI za Kombe la Dunia zina siku chache tu tangu zianze Juni 11, 2026, zikifanyika katika mataifa matatu; Marekani, Canada na Mexico.
Licha...
LONDON, Uingereza
CHELSEA walimaliza msimu wa 2025-26 wakiwa na machungu ya kukosa tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya (2026-27).
Sasa, baada ya kumaliza msimu huo...
LONDON, Uingereza
BAADA ya kunusurika kushuka daraja msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu ya England uliomalizika hivi karibuni, Tottenham imeanza maandalizi ya kuja kivingine.
Chini ya...
MEXICO CITY, Mexico
SHIRIKISHO la Soka la Tunisia limemtangaza Herve Renard kuwa kocha mpya wa timu yake ya Taifa.
Renard (57), amepewa ajira hiyo akichukua nafasi...
ISTANBUL, Uturuki
NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Nigeria (Super Eagles), Wilfred Ndidi, ataondoka Besiktas ya Uturuki na kujiunga na moja ya klabu...
PARIS, Ufaransa
KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Paul Pogba, amemtaja Lamine Yamal wa Barcelona katika orodha yake ya wachezaji bora watano duniani.
Pogba amayesema hayo...