Ads: info@gazetini.co.tz |
22.9 C
Dar es Salaam

Featured

Dili zinazotolewa macho usajili wa kiangazi Ulaya

LONDON, Uingereza WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, klabu za soka, zikiwamo za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeanza kujipanga kwa ajili ya...

Kocha: Ronaldo aachwe…

HOUSTON, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno, Roberto Martinez, haoni kama ni sahihi kwa nahodha wake, Cristiano Ronaldo, kukosolewa baada ya...

Lionel Messi agoma…

NEW YORK, Marekani NAHODHA wa kikosi cha timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi, amesema alijikuta akilia baada ya kufunga bao la kwanza...

Makocha waliotimuliwa mapema Kombe la Dunia

NEW YORK, Marekani BAADA ya kufukuzwa katika benchi la ufundi la timu ya soka ya Tunisia, Sabri Lamouchi hajawa kocha wa kwanza kutimuliwa mapema katika...

Kombe la Dunia 2026: Ufaransa ilivyokomesha mazoea ya Afrika

NEW YORK, Marekani MABAO mawili ya Kylian Mbappe na moja la Bradley Barcola yalitosha kuipa timu ya soka ya Ufaransa ushindi wa 3-1 dhidi ya...

Mazito yafichuka ‘urafiki’ wa M23, Rwanda

NAIROBI, Kenya RWANDA inashirikiana kwa karibu na wapiganaji wa M23 kuteka raia, hasa vijana na watoto, na kuwaingiza katika kundi hilo linalopigana na wanajeshi wa...

Rekodi 5 zilizochomoza Kombe la Dunia 2026

NEW YORK, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia zina siku chache tu tangu zianze Juni 11, 2026, zikifanyika katika mataifa matatu; Marekani, Canada na Mexico. Licha...

Alonso aanza kuisuka Chelsea tishio

LONDON, Uingereza CHELSEA walimaliza msimu wa 2025-26 wakiwa na machungu ya kukosa tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya (2026-27). Sasa, baada ya kumaliza msimu huo...

Tottenham ya msimu ujao tamu balaa

LONDON, Uingereza BAADA ya kunusurika kushuka daraja msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu ya England uliomalizika hivi karibuni, Tottenham imeanza maandalizi ya kuja kivingine. Chini ya...

Renard apewa mikoba ya kocha Tunisia

MEXICO CITY, Mexico SHIRIKISHO la Soka la Tunisia limemtangaza Herve Renard kuwa kocha mpya wa timu yake ya Taifa. Renard (57), amepewa ajira hiyo akichukua nafasi...

Ndidi kuondoka Uturuki, kutua Saudia

ISTANBUL, Uturuki NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Nigeria (Super Eagles), Wilfred Ndidi, ataondoka Besiktas ya Uturuki na kujiunga na moja ya klabu...

Pogba atoa neno kuhusu Yamal

PARIS, Ufaransa KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Paul Pogba, amemtaja Lamine Yamal wa Barcelona katika orodha yake ya wachezaji bora watano duniani. Pogba amayesema hayo...

Recent articles