Na mwandishi wetu, Gazetini
WANANCHI wametakiwa kutambua kuwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 hauitegemei Serikali pekee, bali unahitaji ushiriki wa kila Mtanzania...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HATIMAYE mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26, Yanga, wamempa kazi raia huyo wa Afrika Kusini kuwa kocha wao mpya.
Taarifa...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa pembeni wa Club Brugge ya Ubelgiji, Christos Tzolis, anataka kujiunga na Arsenal kupitia usajili wa majira haya ya kiangazi.
Mwandishi wa habari...
LOS ANGELES, Marekani
MAKALA ya maisha ya mwanamitindo Katie Price imejaa simulizi yenye huzuni juu ya maisha ya bibiye huyo mwenye jina kubwa katika tasnia...
BOSTON, Marekani
TIMU ya soka ya Taifa ya Hispania imeifuata Ufaransa katika hatua inayofuata ya nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia.
Hispania wamevuka...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TANZANIA imebaki katika nafasi yake ya 112 kwenye viwango vipya vya ubora wa soka duniani vya Shirikisho la Soka la Kimataifa...
WASHINGTON DC, Marekani
SERIKALI ya Marekani imeitaka Iran kuacha mara moja kuendeleza udhibiti wake katika Mlango-Bahari wa Hormuz.
Katika agizo hilo, Marekani imezitaka mamlaka za Iran...
NASSAU, Bahamas
AJALI ya ndege ndogo nchini Bahamas imesababisha vifo vya abiria tisa, pamoja na rubani wao, mamlaka za nchi hiyo zimeeleza.
Ndege hiyo ilikuwa ikifanya...
LONDON, Uingereza
KWA miaka mingi, wachezaji wa kandanda wamekuwa na ukaribu mkubwa na mchezo wa mashindano ya mbio za magari.
Mbali na mambo mengine, mara kadhaa...
MANCHESTER, Uingereza
KOCHA mpya wa Manchester City, Enzo Maresca, atatua na watu wapya saba kwenye benchi la ufundi la timu hiyo.
Maresca ameajiriwa Etihad na kusaini...
NEW YORK, Marekani
SARATANI ni ugonjwa unaosababisha vifo 26,000 kila mwaka lakini idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka mara mbili ifikapo mwaka 2050.
Hiyo ni kwa mujibu wa...
na mwandishi wetu, Gazetini
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limepokea malori 214 kutoka kampuni ya Isuzu East Africa kupitia Al Mansour Auto EA Tanzania kwa...