LONDON, Uingereza
MAPEMA tu! Kwa taarifa yako, Arsenal wameashaanza mipango ya kuutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) msimu ujao (2026-27).
Wakati huu fainali za...
MEXICO CITY, Mexico
BAADA ya kumtimua Sabri Lamouchi, timu ya soka ya Taifa ya Tunisia iko chini ya kocha maarufu raia wa Ufaransa, Herve Renard.
Lamouchi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WANANCHI wa Wilaya za Gairo, Mpwapwa, Kongwa, Chamwino na Kiteto wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme wa uhakika zaidi kufuatia kukamilika...
Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo...
NEW YORK, Marekani
MLINDA mlango wa timu ya soka ya Cape Verde, Vozinha, amesema kutokuwepo uwanjani kwa mama yake ndiyo sababu ya kilio chake baada...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
UNAJIULIZA kwanini hujapigiwa simu ya kuitwa kazini licha ya kuhisi ulifanya vizuri Siku ya usahili (interview)? Tulia.
Huenda tatizo si uwezo wako...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameitangazia dunia kumalizika kwa vita vyao na Iran vilivyodumu kwa siku zaidi ya 100 huko Mashariki ya...
LOS ANGELES, Marekani
ACHANA na milionea. Sahau pia kuhusu bilionea. Mfanyabiashara maarufu wa Marekani, Elon Musk, amekuwa trilionea kwa kwanza hapa duniani.
Musk amefikia hadhi hiyo...
Na Hassan Mwasha Gazetini
WIKI kadhaa zilizopita Ofisa habari wa zamani wa klabu za Simba na Yanga, Haji Manara, ameteuliwa na Waziri wa Habari, Sanaa,...
Na Malima Lubasha, Gazetini- Serengeti
MWANAMKE mmoja mjamzito, Bhoke Mahumo (28), mkazi wa Kijiji cha Mbirikili, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, amenusurika kufa baada ya...