Ads: info@gazetini.co.tz |
25.6 C
Dar es Salaam

Featured

Maduka Okoye: Kipa Nigeria ‘anayejirusha’ na Cardi B

LOS ANGELES, Marekani ZIMEIBUKA ripoti zinazodai kuwa kipa wa kimataifa wa Nigeria, Maduka Okoye, 'anatoka' na bibiye mwenye jina kubwa katika muziki wa Hip hop...

Refa huyu alikataliwa na Wafaransa

BOSTON, Marekani KATIKA mchezo wa robo fainali uliozikutanisha Ufaransa na Morocco, Facundo Tello raia wa Argentina ndiye aliyekuwa mwamuzi wa kati. Sasa, weka kando 'ishu' ya...

Waliostaafu baada ya kung’oka Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, baadhi ya wanasoka wenye majina makubwa wametangaza kustaafu muda mfupi tu baada ya timu zao...

Hii hapa ratiba ya ‘pre-season’ vigogo EPL

LONDON, Uingereza WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL 2026-27) nao uko njiani. Kama ilivyo kawaida, msimu...

Dj akamatwa kisa kumtishia maisha mtoto wa Rais

LAGOS, Nigeria POLISI nchini Nigeria wanamshikilia Dj maarufu, Chicken, akitajwa kumtishia maisha mtoto wa Rais Bola Tinubu, Seyi. Kabla ya kukamatwa kwake, Dj Chicken alitumia siku...

Tanzania yaandika historia kwa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Burundi

Na Ramadhan Hassan, Dodoma HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeandika historia kwa kufanikisha kwa mara ya...

Uhaba wa mafuta wamfikisha pabaya Rais Putin

MOSCOW, Urusi HALI ni mbaya mjini Moscow juu ya upatikanaji wa nishati ya mafuta. Foleni katika vituo vya mafuta (sheli) imeshuhudiwa kwenye maeneo mengi. Mrundikano huo...

Wachambuzi wa soka wanaolipwa zaidi EPL

LONDON, Uingereza SOKA limekuwa likitoa fursa nyingi. Mathalan, ndani ya klabu, limeajiri viongozi, wachezaji, makocha, madaktari, wapishi, na wafanyakazi wengine. Kwa miaka mingi, limekuwapo kundi la...

Samatta na viatu vyake, Mwakinyo na glovu zake

Samatta na viatu vyake, Mwakinyo na glovu zake Na Hassan Mwasha, Gazetini SAFARI ya Mbwana Samatta na timu ya soka ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'...

Sikia hii kuhusu Fury, Joshua

LONDON, Uingereza MWAKA huu haiushi. Huenda Tyson Fury na Muingereza mwenzake wa ngumi za uzito wa juu, Anthony Joshua, wakazichapa kama si Oktoba, basi Novemba,...

Huyu hapa daktari anayeua wagonjwa

BERLIN, Ujerumani MAHAKAMA nchini Ujerumani imemuhukumu kifo cha maisha gerezani daktari aliyebainika kuua wagonjwa wake 15, wakiwamo wanawake 12. Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Johannes...

Pogba afunguliwa mlango Monaco

MONACO, Ufaransa MTENDAJI Mkuu wa klabu ya soka ya Monaco, Thiago Scuro, amesema wako tayari kumruhusu kiungo Paul Pogba kuondoka klabuni hapo. Kwa mujibu wa Scuro,...

Recent articles