LONDON, Uingereza
RATIBA ya Ligi Kuu ya England (EPL) kwa msimu ujao wa 2026-27 iko hadharani. Je, lini mechi zitaanza na nani kufungua pazia?
AGOSTI 21,...
WASHINGTON DC, Marekani
IDADI ya vifo vya wahamiaji wanaoshikiliwa katika magereza nchini Marekani imeongezeka mara dufu tangu Rais Donald Trump aliporejea madarakani.
Kwa mujibu wa Gazeti...
MANCHESTER, Uingereza
KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes, amesema Cristiano Ronaldo hastahili kuwa kiongozi wa safu ya ushambuliaji ya timu ya soka ya...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
HIVI karibuni, rapa wa Marekani, Nicki Minaj, alitoa kauli tata kuhusu soko la muziki, akisema limejaa vishawishi vinavyoweza kukutoa kwenye imani...
LOS ANGELES, Marekani
OKTOBA 28,1976, dunia ilikuwa ikimtazama mwanaume aitwaye Bruce Jenner akitwaa medali ya dhahabu katika michuano ya Olimipiki kwa upande wa mchezo wenye...
PRETORIA, Afrika Kusini
AFRIKA Kusini ina wahamiaji zaidi ya milioni tatu, sawa na asilimia 5 ya watu wote nchini humo, wengi wakitokea nchi za Kusini,...
TEXAS, Marekani
WIKI hii imekuwa mbaya kwa mashabiki wa rapa Michael Lawrence Tyler maarufu kama Mystikal baada ya staa huyo kuhukumiwa kifungo cha miaka 20...
LONDON, Uingereza
WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, klabu za soka, zikiwamo za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeanza kujipanga kwa ajili ya...
HOUSTON, Marekani
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno, Roberto Martinez, haoni kama ni sahihi kwa nahodha wake, Cristiano Ronaldo, kukosolewa baada ya...