24 C
Dar es Salaam

Featured

Lebo zilivyogeuka ‘jeneza’ la Bongo Fleva

Na mwandishi wetu, Gazetini MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao. Mfano wa hivi karibuni ni...

Jay Z; Kutoka ‘uswazi’, kukimbizana na polisi hadi bilionea wa Hip hop

Na mwandishi wetu, Gazetini NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia...

Uingereza yatoa msimamo wake vita ya Iran

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Sir Keir Starmer, amesema serikali yake itashirikiana kwa karibu na sekta zilizoathirika pamoja na washirika wa kimataifa ili kukabiliana...

Serikali yaviagiza viwanda Pwani kuboresha mazingira ya kazi

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imeziagiza menejimenti za viwanda mkoani Pwani kuboresha mazingira ya kazi na maslahi ya wafanyakazi ili kuongeza uzalishaji wenye tija na...

CAF yaisogeza mbele WAFCON

CAIRO, Misri SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetangaza kuzisogeza mbele fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake (WAFCON). Awali, michuano hiyo ilitarajiwa kuanza Marchi 17, 2026, lakini...

Becker wa Liverpool awindwa Serie A

MILAN, Italia KLABU mbili za Ligi Kuu ya Italia (Serie A), Inter Milan na Juventus, zinapigana vikumbo kuiwania saini ya kipa wa Liverpool, Alisson Becker. Becker...

Rodrygo afunguka magumu anayopitia

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Rodrygo Goes, amepata majeraha ya goti yatakayomweka nje ya dimba kwa miezi isiyopungua 10. Rodrygo alipata majeraha hayo katika mechi dhidi...

Sakata la Bruno, Man United limekaaje?

MANCHESTER, Uingereza KIUNGO wa Manchester United raia wa Ureno, Bruno Fernandes, hajaeleweka juu ya hatima yake klabuni hapo. Ataondoka au atabaki? Haijajulikana. Bruno amekuwa mchezaji muhimu...

Biashara haramu ya dawa tiba za kulevya, kengele mpya ya tahadhari

Na mwandishi wetu, Gazetini KUKAMATWA kwa chupa 1,795 za dawa tiba zenye asili ya kulevya katika basi la abiria lililokuwa likitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

Israel: Kiongozi yeyote wa Iran atauawa

TEL AVIV, Israel SERIKALI ya Israel imeweka wazi kuwa itamshambulia kijeshi, ikiwamo kumuua, kiongozi yeyote atakayeingia madarakani kuiongoza Iran. Ujumbe huo wa tishio unalenga kiongozi atakayechukua...

Trump aitangazia uadui Hispania

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametishia kusitisha uhusiano wa kibiashara na Hispania, huku Iran ikiwa chanzo cha msuguano huo. Trump ameeleza nia yake...

Kazier Chiefs yamrudia Nwabali

PRETORIA, Afrika Kusini VIGOGO wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Kaizer Chiefs, imeanza tena kuifuatilia saini ya mlinda mlango wa timu ya taifa ya Nigeria...

Recent articles

spot_img