29.2 C
Dar es Salaam

Featured

Mambo hayaendi! Rosenior kazi anayo pale Stamford Bridge

LONDON, Uingereza KICHAPO cha mabao 3-0 kutoka kwa Everton kimeendeleza wimbi baya linaloiyumbisha Chelsea.Kabla ya kupoteza mchezo huo wa Ligi Kuu, Blues iliondoshwa kwenye michuano...

Gattuso kuirejesha Italia fainali za Kombe la Dunia?

LONDON, Uingereza TANGU walipotwaa ubingwa mwaka 2006, timu ya taifa ya Italia haijavuka hatua ya makundi katika fainali za Kombe la Dunia. Na badala yake, imeishia...

Dk. Yonazi ateta na bosi mpya TACAIDS, Tanzania yaendelea kudhibiti UKWIMWI

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, amekutana na kufanya...

WHO yathibitisha shambulio jingine la hospitali Sudan, watu 64 wafariki

DARFUR, Sudan SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limethibitisha kutokea kwa shambulio jingine dhidi ya huduma za afya nchini Sudan, safari hii likilenga Hospitali ya Kufundishia...

Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-6

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale SHERIA ya Tanzania haitambui kila kifo cha mtoto tumboni kama murder. Ili kosa la murder lisimame, lazima marehemu awe ametambulika...

AU yaweka maji na usafi wa mazingira kipaumbele ajenda 2026 Afrika

Na mwandihi wetu, Gazetini  WAKATI Dunia leo Machi 22, 2026 ikiadhimisha Siku ya Maji, Muungano wa Afrika (AU) umeweka wazi dhamira yake ya kuhamisha mjadala...

Shincheonji yaadhimisha miaka 42: Lee Man-hee asisitiza imani ya kweli ijengwe…

Na mwandishi maalum, Gazetini IBADA ya kuadhimisha miaka 42 tangu kuanzishwa kwa Shincheonji Kanisa la Yesu imefanyika Machi 15 katika Kanisa la Cheongju, Korea Kusini,...

Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-5

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale KWA mujibu wa kifungu cha 15, mtoto aliye chini ya umri wa miaka 18 hawezi kushikiliwa kikamilifu kwa adhabu zinazohusiana...

Ummy awahimiza watumishi kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa bajeti ya Serikali

Na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Ummy Nderiananga, amewahimiza watumishi wa ofisi hiyo kuongeza...

WWF yaongoza kampeni ya kuulinda mlima Kilimanjaro

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA jitihada za kulinda mustakabali wa mazingira na vyanzo vya maji, wadau wa mazingira wakishirikiana na jamii ya Moshi wameanzisha kampeni...

Ripoti: Tanzania kitovu kikuu cha uwekezaji wa madini duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imeendelea kuimarisha nafasi yake kama kivutio kikubwa cha uwekezaji wa kimataifa katika sekta ya madini, baada ya kuorodheshwa miongoni mwa...

Baadhi ya Waislamu Afrika Mashariki waadhimisha sikukuu ya Eid

Na mwandishi wetu, Gazetini Baadhi ya Waislamu wa Afrika Mashariki wanaadhimisha Eid-ul-Fitr leo Ijumaa baada ya kuthibitishwa kuonekana kwa mwezi jioni ya Alhamisi, tukio linaloashiria...

Recent articles

spot_img