Ads: info@gazetini.co.tz |
21.1 C
Dar es Salaam

Featured

FIFA: Trump atakuwepo fainali Kombe la Dunia

NYON, Uswis RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuwa Donald Trump atakuwepo uwanjani siku ya fainali ya msimu huu wa...

‘Uswahili’ ulivyotawala kambi ya wachezaji Senegal huko Marekani

NEW JERSEY, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Senegal iliingia kwenye fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) ikiwa inapewa nafasi kubwa...

Ufaransa yatangaza daktari wake kupata Ebola

PARIS, Ufaransa MAMLAKA za afya nchini Ufaransa zimetangaza kisa cha kwanza cha maambukizi ya Ebola kwa daktari wake aliyetokea DRC. Daktari hyo alikuwa DRC katika programu...

Aliyemtesa mkewe kwa miaka 12 akamatwa

ISLAMABAD, Pakistan POLISI nchini Pakistan wanamshikilia mwanaume mmoja kwa kosa la kumtesa mkewe, ikiwamo kumpiga na kumfungia kwenye chumba maalum, akifanya hivyo kwa miaka 12...

Shambulizi la Ukraine lakata umeme Crimea

KYIV, Ukraine SHAMBULIZI la anga la Ukraine limesababisa sehemu kubwa ya eneo linaloshikiliwa na Urusi nchini humo kukosa huduma ya umeme. Kwa mujibu wa taarifa, shambulizi...

Yanga yazima jeuri ya Azam, Simba yaiachia maumivu Mtibwa Sugar

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya kuonekana ungekuwa mchezo mgumu, Azam FC imekubali kichapo kizito cha mabao 3-0 kutoka kwa Yanga, ambayo sasa imejishindilia kileleni...

Macho yote Zenji … Yanga kisasi, Azam inasaka heshima

Na Hassan Mwasha, Gazetini ACHANA na kuzihitaji pointi tatu. Yanga wataivaa Azam wakiwa na hasira baada ya matajiri hao wa Chamazi kuwafunga katika mchezo wa...

Steve Barker: Hao Mtibwa Sugar waje tu

Na mwandishi wetu, Gazetini KOCHA wa Simba, Steve Barker, amesema vijana wake wamejiandaa kimwili na kisaikolojia kukabiliana na Mtibwa Sugar. Simba wako mkoani Morogoro kwa ajili...

Kwanini Wapalestina wamechagua kuishangilia Hispania?

JERUSALEM, Palestina KATIKATI ya maisha magumu wanayopitia raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, burudani ya fainali za Kombe la Dunia imepenya na kupata nafasi...

Mabao mawili ya Ronaldo yaweka rekodi tatu

HOUSTON, Marekani AMEKASIRIKA! Baada ya kupondwa kwa kiwango alichokionesha katika mchezo wa kwanza dhidi ya DRC, straika wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno,...

Deschamps afiwa na mama yake, aondoka Kombe la Dunia

NEW YORK, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps, amerejea jijini Paris baada ya taarifa za kifo cha mama yake...

Croatia njiapanda, Modric afikisha mechi 200

TORONTO, Canada TIMU ya soka ya Taifa ya Croatia sasa inahitaji ushindi tu mbele ya Ghana ili kufuzu hatua inayofuata (32 Bora) ya msimu huu...

Recent articles