Na Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan, ameliagiza Jeshi la Polisi nchini kuongeza jitihada katika kupambana na matukio ya uhalifu, hususan vitendo vya kupotea kwa...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa nguzo ya kuimarisha mshikamano na umoja wa kitaifa na kufanikisha maendeleo katika...
Na Mwandishi Wetu
Serikali imetoa wito kwa wananchi kubadilika na kuwekeza katika bima ya afya kama njia ya kujiandaa na changamoto za kiafya, ikiwemo gharama...
Na Mwandishi Wetu
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geophrey Pinda amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kukabiliana na migogoro ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu itaendelea kuisimamia na kuipa hadhi sekta ya...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Aprili, 2025, Bodi ya
Michezo ya Kubahatisha Tanzania imekusanya jumla ya Sh 17.42 bilioni ...
Na Mwandishi Wetu
Serikali imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini.
Hayo yamesemwa na...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, ameliomba Bunge la Tanzania kuidhinisha Sh 20.19 trilioni kwa ajili ya bajeti ya wizara hiyo kwa...
Na Mwandishi Wetu
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, imeitaja Dar es Salaam kuwa Mkoa unaongoza kwa kuwa na watoto wengi...
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Pindi Chana amesema asali ya Tanzania imeuzwa nje ya nchi kwa kiwango kikubwa kwa thamani ya ...
Na Mwandishi Wetu
Bunge la Tanzania limeidhinisha Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi yenye jumla ya Sh 2.746 trilioni kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake...