Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MKUU wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi, amesema serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
UTAFITTI mpya nchini Uingereza umebaini kuwa asilimia zaidi ya 65 ya vijana wenye umri chini ya miaka 40 wanakabiliwa na changamoto...
Na mwandishi wetu, GazetiniSARATANI ya kongosho ni ugonjwa unatajwa kusababisha vifo zaidi ya 10,000 kila mwaka. Ni wastani wa mtu mmoja kupoteza maisha kila...
KINSHASA, DRCSERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imetangaza maambukizi mapya ya Ebola na vifo 15 vitokanavyo na ugonjwa huo.Ikumbukwe, hizi ni taarifa...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Mganga Mkuu wa Serikali Dk. Grace Magembe, ametoa ufafanuzi kuhusu picha mjongeo (video) iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha muuguzi na askari wakivutana katika...
Na Mwandishi Wetu,Gazetini
Hospitali ya Taifa Muhimbili (Upanga na Mloganzila),imetoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa uchangiaji figo kwa wagonjwa wanaohitaji huduma ya kupandikiza viungo hivyo.
Kwa mujibu...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Grace Magembe, ametoa wito kwa Waganga Wafawidhi wa hospitali za rufaa nchini kuhakikisha wanazingatia mawasiliano ya...
*Kupunguza Rufaa nje ya nchi na kuvutia tiba utalii, Rais Dokta Samia awekeza bilioni tisa kusomesha madaktari bingwa
Na Clara Matimo, Gazetini-Mwanza
Serikali ya Awamu ya...
Na Mwandishi WetuWafanyabiashara ya miwani nchini wametakiwa kizingatia sheria na kuacha kuuza kuholela ikiwamo kuchanganya na bidhaa nyingine kwani miwani ni tiba hivyo inaweza...
LOS ANGELES, MarekaniUTAMADUNI wa kucheza kamari umeonekana kukita mizizi kwa vijana wengi duniani, ingawa sasa utafiti umebaini kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya tabia...
LOS ANGELES, MarekaniKUEPUKA ulaji wa nyama na badala yake kutumia mboga za majani kutakuepusha na ugonjwa wa saratani kwa asilimia 25, utafiti unaeleza.Tafiti nyingi...