Ads: info@gazetini.co.tz |
25.1 C
Dar es Salaam

AFYA

Maswali tata vidonge vya uzazi wa mpango

Na mwandishi wetu, GazetiniAPEKSHA Shetty, mwanamke raia wa India mwenye makazi yake mjini Vienna, anasema alianza kutumia vidonge vya uzazi wa mpango akiamini vingemsaidia...

Kinga ya Ukimwi yashushwa bei

WASHINGTON DC, MarekaniDAWA ambayo ni kinga dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi sasa itauzwa kwa Dola 40 (Shilingi 99,061 za Tanzania), ikiwa ni punguzo la...

Chart| Kilimanjaro kinara kwa idadi ya wazee Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KULINGANA na takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), imebaini...

Utafiti: Kukosa usingizi chanzo ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KUKOSA muda wa kutosha wa kulala, hasa nyakati za usiku, kunaweza kusababisha ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu, kwa mujibu wa utafiti mpya...

DC Nyamagana: Serikali inatambua kazi nzuri ya OSHA nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi, amesema serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa...

Utafiti: Vijana wengi hawana nguvu za kiume

Na Mwandishi Wetu, Gazetini UTAFITTI mpya nchini Uingereza umebaini kuwa asilimia zaidi ya 65 ya vijana wenye umri chini ya miaka 40 wanakabiliwa na changamoto...

Kwanini uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako?

Na mwandishi wetu, GazetiniSARATANI ya kongosho ni ugonjwa unatajwa kusababisha vifo zaidi ya 10,000 kila mwaka. Ni wastani wa mtu mmoja kupoteza maisha kila...

Ebola yarejea DRC, yaua watu 15

KINSHASA, DRCSERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imetangaza maambukizi mapya ya Ebola na vifo 15 vitokanavyo na ugonjwa huo.Ikumbukwe, hizi ni taarifa...

Sakata la muuguzi Kibondo ahusishwa na rushwa

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mganga Mkuu wa Serikali Dk. Grace Magembe, ametoa ufafanuzi  kuhusu picha mjongeo (video) iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha muuguzi na askari wakivutana katika...

Muhimbili yafafanua utaratibu wa uchangiaji figo

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Hospitali ya Taifa Muhimbili (Upanga na Mloganzila),imetoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa uchangiaji figo kwa wagonjwa wanaohitaji huduma ya kupandikiza viungo hivyo. Kwa mujibu...

Dk. Magembe: Mawasiliano ya awali kabla ya rufaa ni muhimu kuokoa maisha

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Grace Magembe, ametoa wito kwa Waganga Wafawidhi wa hospitali za rufaa nchini kuhakikisha wanazingatia mawasiliano ya...

Serikali yatenga Bilioni tisa kusomesha madaktari bingwa

*Kupunguza Rufaa nje ya nchi na kuvutia tiba utalii, Rais Dokta Samia awekeza bilioni tisa kusomesha madaktari bingwa Na Clara Matimo, Gazetini-Mwanza Serikali ya Awamu ya...

Recent articles

spot_img