28.2 C
Dar es Salaam

AFYA

Kinga ya Ukimwi ilivyozua gumzo Zimbabwe

HARARE, Zimbabwe IFAHAMIKE kuwa Zimbabwe ni miongoni mwa mataifa 10 duniani yaliyochaguliwa kupokea kinga ya ugonjwa wa Ukimwi ya Lenacapavir. Hata hivyo, wakati wataalamu wa...

OSHA yahimiza viongozi wa wafanyakazi kulinda afya na usalama kazini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini VIONGOZI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) wa Mkoa wa Dar es Salaam wapatao 180 wamepatiwa mafunzo ya...

Hofu, imani za kidini zatajwa kuchangia mimba zisizotarajiwa Maswa

Na Samwel Mwanga, Maswa Katika kijiji cha Dulungwa, wilayani Maswa mkoani Simiyu, wanawake wengi wanaishi kwa wasiwasi na mkanganyiko kuhusu matumizi ya njia za kisasa za...

Huduma duni na ukatili wa kijinsia watajwa kuvuruga haki ya uzazi vijijini

Na Samwel Mwanga, Maswa KATIKA jamii nyingi za vijijini nchini Tanzania, hususan katika wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, masuala ya haki ya uzazi na ukatili...

Kasi matumizi ya shisha kwa vijana yaishitua WHO

Na mwandishi wetu, GazetiniHUKU idadi ya vijana wanaovuta shisha ikifikia milioni 15 duniani kote, Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limezionya kampuni...

‘Bluetoothing’ yageuka janga Fiji, maambukizi ya VVU yaongezeka mara kumi

Suva, FIJI Fiji sasa inakabiliwa na mlipuko mkubwa wa Virusi vya Ukimwi (VVU), huku wataalamu wakionya kuwa nchi hiyo iko katika “dhoruba kamili” ya kiafya...

Utafiti: Wasiopiga mswaki hatarini kupata saratani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BAKTERIA wa kinywani wanaoweza kuondoshwa kwa kupiga mswaki husababisha saratani ya kongosho, kwa mujibu wa utafiti mpya nchini Marekani. Kwa miaka...

Utafiti: Uvutaji wa bangi chanzo ugumba kwa wanawake

Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI nchini Canada umebaini kuwa wanawake wanaojihusisha na utumizi wa dawa za kulevya aina ya bangi wako hatarini kupata tatizo la...

Maswali tata vidonge vya uzazi wa mpango

Na mwandishi wetu, GazetiniAPEKSHA Shetty, mwanamke raia wa India mwenye makazi yake mjini Vienna, anasema alianza kutumia vidonge vya uzazi wa mpango akiamini vingemsaidia...

Kinga ya Ukimwi yashushwa bei

WASHINGTON DC, MarekaniDAWA ambayo ni kinga dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi sasa itauzwa kwa Dola 40 (Shilingi 99,061 za Tanzania), ikiwa ni punguzo la...

Chart| Kilimanjaro kinara kwa idadi ya wazee Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KULINGANA na takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), imebaini...

Utafiti: Kukosa usingizi chanzo ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KUKOSA muda wa kutosha wa kulala, hasa nyakati za usiku, kunaweza kusababisha ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu, kwa mujibu wa utafiti mpya...

Recent articles

spot_img