Ads: info@gazetini.co.tz |
25.1 C
Dar es Salaam

AFYA

WHO: Wanawake milioni 840 wamepitia unyanyasaji wa kijinsia

NEY YORK, MarekaniRIPOTI mpya ya Shirika la Afya ya Umoja wa Mataifa (WHO) imeeleza kuwa kati ya wanawake watatu, basi mmoja atakuwa amewahi kufanyiwa...

Ripoti| Kisonono kinazidi kuwa sugu; WHO yaonya kuongezeka kwa usugu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari kali kuhusu kuongezeka kwa usugu wa bakteria wanaosababisha kisonono dhidi ya dawa muhimu zinazotumika...

Dk. Mwigulu: Mafaili yamfuate mjamzito kitandani, marufuku

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba leo Novemba 15, 2025 amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma...

Magonjwa yanayoua zaidi Ulaya

Na Hassan Mwasha, GazetiniUTAFITI wa magonjwa ya moyo na kupooza ni chanzo cha vifo vingi zaidi katika nchi za Umoja wa Ulaya (EU), kwa...

Kinga ya Ukimwi ilivyozua gumzo Zimbabwe

HARARE, Zimbabwe IFAHAMIKE kuwa Zimbabwe ni miongoni mwa mataifa 10 duniani yaliyochaguliwa kupokea kinga ya ugonjwa wa Ukimwi ya Lenacapavir. Hata hivyo, wakati wataalamu wa...

OSHA yahimiza viongozi wa wafanyakazi kulinda afya na usalama kazini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini VIONGOZI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) wa Mkoa wa Dar es Salaam wapatao 180 wamepatiwa mafunzo ya...

Hofu, imani za kidini zatajwa kuchangia mimba zisizotarajiwa Maswa

Na Samwel Mwanga, Maswa Katika kijiji cha Dulungwa, wilayani Maswa mkoani Simiyu, wanawake wengi wanaishi kwa wasiwasi na mkanganyiko kuhusu matumizi ya njia za kisasa za...

Huduma duni na ukatili wa kijinsia watajwa kuvuruga haki ya uzazi vijijini

Na Samwel Mwanga, Maswa KATIKA jamii nyingi za vijijini nchini Tanzania, hususan katika wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, masuala ya haki ya uzazi na ukatili...

Kasi matumizi ya shisha kwa vijana yaishitua WHO

Na mwandishi wetu, GazetiniHUKU idadi ya vijana wanaovuta shisha ikifikia milioni 15 duniani kote, Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limezionya kampuni...

‘Bluetoothing’ yageuka janga Fiji, maambukizi ya VVU yaongezeka mara kumi

Suva, FIJI Fiji sasa inakabiliwa na mlipuko mkubwa wa Virusi vya Ukimwi (VVU), huku wataalamu wakionya kuwa nchi hiyo iko katika “dhoruba kamili” ya kiafya...

Utafiti: Wasiopiga mswaki hatarini kupata saratani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BAKTERIA wa kinywani wanaoweza kuondoshwa kwa kupiga mswaki husababisha saratani ya kongosho, kwa mujibu wa utafiti mpya nchini Marekani. Kwa miaka...

Utafiti: Uvutaji wa bangi chanzo ugumba kwa wanawake

Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI nchini Canada umebaini kuwa wanawake wanaojihusisha na utumizi wa dawa za kulevya aina ya bangi wako hatarini kupata tatizo la...

Recent articles

spot_img