Na Mwandishi Wetu
Waziri mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa leo Julai 2, 2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa jimbo la...
Na Mwandishi Wetu
Aliyekuwa Mbunge wa viti maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kada wa chama hicho, Esther Bulaya amesema alikuwa Chadema kwa mkopo...
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU Mwwnyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amewaeleza wabunge na madiwani hususan waliokuwa wanajifungia vioo kwenye magari wajue...
Na Mwandishi Wetu
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, leo Alhamisi Juni 5, 2025, ametangaza kujiunga na Chama cha...
Na Mwandishi Wetu
Mwenyewekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka wanaochuja wagombea wa uchaguzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Katika utekelezaji wa Ilani Mpya ya Chama Cha Mapinduzi ya Mwaka 2025/30, Mwenyekiti wa Kamati ya Ilani ya CCM Prof. Kitila...
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limemkamata Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Aman Golugwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi(INEC) imeanzisha majimbo mapya nane ya uchaguzi na kubadilisha majina ya majimbo 12 ambapo Mkoa wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar, Salum Mwalimu na wanachama wengine wa chama hicho wametangaza kujitoa katika chama hicho kwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka viongozi kote nchini kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuacha...
Na Mwandhishi Wetu, Gazetini
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi ametembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere,...