BUENOS AIRES, ArgentinaMAELFU ya raia wa Argentina wameingia mitaani kulaani mauaji ya wasichana watatu.Katika video iliyozua taharuki baada ya kupostiwa mitandaoni, wasichana hao wanaonekana...
NAIROBI, KenyaPOLISI nchini Kenya wamewaokoa vijana wake zaidi ya 20 waliokuwa wakipelekwa Urusi kwa ajili ya kusafirishwa hadi Ukraine.Taarifa ya polisi inasema vijana hao...
MUMBAI, IndiaWATU 39 wamepoteza maisha na wengine 51 kujeruhiwa katika tukio la kukanyagana lililotokea wakati wa mkutano wa siasa Kusini mwa India.Kwa mujibu wa...
Na Hassan Mwasha, GazetiniMIKUTANO ya kampeni inaendelea kote nchini. NI takribani mwezi mmoja tu umebaki kabla ya Watanzania kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika...
JERUSALEM, PalestinaRAIS wa Palestina, Mahmoud Abbas, amesema yuko tayari kushiriki katika mpango wowote wa kutafuta suluhu kati yao na Israel.Abbas ameyasema hayo kupitia video...
PARIS, UfaransaRAIS wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani.Wakati huo huo, adhabu hiyo imeenda sambamba na hatua ya Mahakama...
LONDON, UingerezaMEYA wa Jiji la London, Sadiq Khan, amemwita Rais wa Marekani, Donald Trump, kuwa ni mtu aliyetawaliwa na ubaguzi wa rangi, jinsia na...
LILONGWE, MalawiALIYEWAHI kuwa Rais wa Malawi, Peter Mutharika, ametangazwa kuwa mshindi wa kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika wiki iliyopita.Wakati huo huo, aliyekuwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
AKIWA na umri wa miaka 82, Joe Biden aliondoka madarakani na kumpisha Donald Trump aliyeshinda katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana...
WASHINGTON DC, MarekaniRAIS wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amesema kwa sasa nchi hiyo inapitia wakati mgumu kisiasa, labda kuliko nyakati zote kuwahi kutokea.Obama...
Na mwandishi wetu, GazetiniJINA la Anutin Charnivirakul si geni nchini Thailand. Ni mwanasiasa mkongwe na hivi karibuni aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu baada ya kura...