23.9 C
Dar es Salaam

Siasa

Waandamana kupinga mauaji ya wasichana watatu

BUENOS AIRES, ArgentinaMAELFU ya raia wa Argentina wameingia mitaani kulaani mauaji ya wasichana watatu.Katika video iliyozua taharuki baada ya kupostiwa mitandaoni, wasichana hao wanaonekana...

Vijana 20 waokolewa wakipelekwa vitani Ukraine

NAIROBI, KenyaPOLISI nchini Kenya wamewaokoa vijana wake zaidi ya 20 waliokuwa wakipelekwa Urusi kwa ajili ya kusafirishwa hadi Ukraine.Taarifa ya polisi inasema vijana hao...

Mkutano wa siasa wasababisha vifo 39

MUMBAI, IndiaWATU 39 wamepoteza maisha na wengine 51 kujeruhiwa katika tukio la kukanyagana lililotokea wakati wa mkutano wa siasa Kusini mwa India.Kwa mujibu wa...

Wananchi wa aina hii wanaijua thamani ya boksi la kura?

Na Hassan Mwasha, GazetiniMIKUTANO ya kampeni inaendelea kote nchini. NI takribani mwezi mmoja tu umebaki kabla ya Watanzania kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika...

Palestina yaiita mezani Israel kumaliza vita

JERUSALEM, PalestinaRAIS wa Palestina, Mahmoud Abbas, amesema yuko tayari kushiriki katika mpango wowote wa kutafuta suluhu kati yao na Israel.Abbas ameyasema hayo kupitia video...

Rais Ufaransa atupwa jela miaka mitano

PARIS, UfaransaRAIS wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani.Wakati huo huo, adhabu hiyo imeenda sambamba na hatua ya Mahakama...

Meya Uingereza aibuka kumjibu Trump

LONDON, UingerezaMEYA wa Jiji la London, Sadiq Khan, amemwita Rais wa Marekani, Donald Trump, kuwa ni mtu aliyetawaliwa na ubaguzi wa rangi, jinsia na...

Mutharika arudi Ikulu, Chakwera akubali yaishe

LILONGWE, MalawiALIYEWAHI kuwa Rais wa Malawi, Peter Mutharika, ametangazwa kuwa mshindi wa kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika wiki iliyopita.Wakati huo huo, aliyekuwa...

Joe Biden amemaliza urais, amebaki na madeni

Na Mwandishi Wetu, Gazetini AKIWA na umri wa miaka 82, Joe Biden aliondoka madarakani na kumpisha Donald Trump aliyeshinda katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana...

Obama amvaa Trump, aionya Marekani

WASHINGTON DC, MarekaniRAIS wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amesema kwa sasa nchi hiyo inapitia wakati mgumu kisiasa, labda kuliko nyakati zote kuwahi kutokea.Obama...

Simone Gbagbo: Mwanamama anayemtikisa Ouattara kiti cha urais Ivory Coast

Na mwandishi wetu, GazetiniMOJA ya vivutio vikubwa vya Uchaguzi Mkuu ujao wa Ivory Coast ni jina la mgombea wa urais, Simone Gbagbo, ambaye ni...

‘Mfalme wa bangi’ aliyeteuliwa Waziri Mkuu Thailand

Na mwandishi wetu, GazetiniJINA la Anutin Charnivirakul si geni nchini Thailand. Ni mwanasiasa mkongwe na hivi karibuni aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu baada ya kura...

Recent articles

spot_img