YAMOUSSOUKRO, Ivory CoastHATIMAYE Alassane Ouattara amechaguliwa tena kuwa Rais wa Ivory Coast, ukiwa ni muhula wake wa nne madarakani.Ouattara mwenye umri wa miaka 83,...
YAOUNDE, CameroonAKIWA na umri wa miaka 92, Paul Biya ametangazwa kuwa mshindi wa kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu wa Cameroon uliofanyika hivi karibuni.Biya...
DARFUR, SudanWAPIGANAJI wa kikundi cha waasi cha Rapid Support Forces (RSF) wametangaza kuuteka Mji wa el-Fasher ulioko Magharibi mwa Sudan.Kwa miezi takribani 18, wapiganaji...
Na mwandishi wetu, GazetiniTAIFA kongwe la Afrika Magharibi, Ivory Coast, limeingia katika Uchaguzi Mkuu, huku wagombea watano wakiwania kiti cha urais. Miongoni mwao ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MWAKA jana, Ras Donald Trump alitangaza kuiwekea vikwazo Mahakama ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) kwa kile alichodai kuwa Mahakama hiyo imekuwa...
CONAKRY, GuineaRAIA wa Guinea wameshangazwa na gharama kubwa ya fomu ya kuwania urais iliyotangazwa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Desemba, mwaka huu.Gharama ya fomu ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
JUMATANO ya wiki ijayo, Oktoba 29, Watanzania watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani. Ni haki ya Kikatiba inayotekelezwa kila baada...
YOUNDE, CameroonMAHAKAMA Kuu nchini Cameroon imesisitiza kuwa haina mpango wa kufuta Uchaguzi Mkuu, na badala yake itatangaza matokeo ifikapo Jumatatu ya wiki ijayo.Kwa sasa,...
Na mwandishi wetu, GazeniBAADA ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya rushwa, Rais wa zamni wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, alihukumiwa kifungo cha miaka mitano...
Na mwandishi wetu, GazetiniMBALI ya kulaani tukio la jeshi kupindua Serikali, Umoja wa Afrika (AU) umesitisha kwa muda uanachama wa Madagascar, huku hatua hiyo...
Na Hassan Mwasha, GazetiniKAMPENI zimeshika kasi. Ni siku chache tu zimebaki kuelekea Oktoba 29, siku ambayo Watanzania watatumia haki yao ya Kikatiba kupiga kura...
WASHINGTON DC, MarekaniSERIKALI ya Marekani chini ya Rais Donald Trump imetangaza kusitisha misaada yake kwa Colombia, ikidai Taifa hilo halina nia ya kutokomeza uzalishaji...