Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Siasa

DRC, M23 zasaini mkataba wa amani

DOHA, QatarSERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imesaini mkataba wa amani na wapiganaji wa Kundi la waasi la M23 mjini Doha, Qatar.Ifahamike...

Michelle Obama: Marekani bado haijawa tayari kwa rais mwanamke

New York, MAREKANI MICHELLE Obama ambaye ni mke wa Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amesema katika mahojiano ya hivi karibuni kwamba bado Marekani...

Ramaphosa amjibu Trump ‘kususia’ Mkutano G20

JOHANNESBURG, Afrika Kusini RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemkosoa mwenzake wa Marekani, Donald Trump, kwa hatua yake ya kugoma kuhudhuria Mkutano Mkuu wa G20...

Kashfa ya rushwa yang’oa mawaziri Ukraine

KYIV, Ukraine MAWAZIRI wawili wa Serikali ya Ukraine wametangaza kujiuzulu baada ya kashfa ya rushwa kuitikisa sekta ya nishati nchini humo. Waliotangaza kuachia ngazi ni...

Zungu atakwepa mtego huu kiti cha Spika?

Na Hassan Mwasha, GazetiniNI rasmi sasa Mussa Hassan Zungu ndiye Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akichukua nafasi ya...

Afrika Kusini kuondoshwa G20?

Na mwandishi wetu, GazetiniUHUSIANO wa Marekani na Afrika Kusini umezidi kudorora kwa siku za hivi karibuni na tayari Rais Donald Trump ametaka nchi hiyo...

Ndege ya jeshi Uturuki yapata ajali

INSTANBUL, UturukiNDEGE ya kijeshi ya mizigo nchini Uturuki imepata ajali ikiwa na abiria 20, kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo.Taarifa imeeleza...

Rais Mwinyi azindua Baraza la Wawakilishi, ataja mwelekeo wa Serikali yake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi Zanzibar,...

Rais Samia ateua wabunge sita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wabunge sita katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Taarifa ya uteuzi wa wabunge...

Binti wa Jacob Zuma na mashitaka ya ugaidi Afrika Kusini

Na mwandishi wetu, GazetiniSIASA za Afrika Kusini zimefungua ukurasa mpya baada ya binti wa Rais wa zamani wa Taifa hilo, Jacob Zuma, kushitakiwa kwa...

Rais Syria aondoshewa vikwazo Umoja wa Mataifa

NEW YORK, MarekaniBARAZA la Usalama la Umoja wa Mataifa limemuondoshea vikwazo Rais wa Syria, Ahmed al-Sharaa.Hatua ya kuondoshwa vikwazo inakuja wakati huu Rais huyo...

Nini chanzo idadi ndogo ya wapiga kura?

Na mwandishi wetu, GazetiniLICHA ya Rais Alassane Ouattara kushinda na kurejea madarakani kwa muhula wa nne, idadi ndogo ya wananchi waliojitokeza kupiga kura katika...

Recent articles