23.9 C
Dar es Salaam

Siasa

Wanajeshi Israel waanza kuondoka Gaza

JERUSALEM, PalestinaKATIKA kile kinachotafsiriwa kuwa ni hatua nzuri katika kumaliza mgogoro wa Gaza, wanajeshi wa Israel wameanza kuondoka katika Ukanda huo.Kurejea nyumbani kwa wanajeshi...

Marekani yalaani Rais Trump kukosa tuzo ya Amani ya Nobel

WASHINGTON DC, Marekani IKULU ya Marekani imeikosoa Kamati ya Tuzo ya Amani ya Nobel ikisema haitendi haki katika kutangaza washindi. Kwa mujibu wake, tuzo ya...

Mashambulizi ya Urusi yakata umeme Ukraine

KYIV, UkraineMAENEO mengi ya Mji Mkuu wa Kyiv yamekosa umeme kutokana na mashambulizi yaliyofanywa na Urusi nchini Ukraine.Mamlaka za Kyiv zimeeleza kuwa licha ya...

Mgombea Ubunge CUF auawa, INEC yasitisha kampeni za ubunge

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mgombea ubunge wa Jimbo la Siha, kupitia Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Kilimanjaro, Daudi Ntuyehabi ameuawa na wananchi baada ya kudaiwa...

Peru na historia ya marais wastaafu kutupwa gerezani

LIMA, PeruKUTOKANA na sababu mbalimbali, nyingi zikihusiana na vitendo vya rushwa, marais wastaafu nchini Peru wamejikuta wakianza maisha mapya ya gerezani baada ya kutoka...

Joseph Kabila; Rushwa, kushirikiana na M23 na hatima yake DRC

Na mwandishi wetu, GazetiniHUKUMU ya kifo aliyopewa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Joseph Kabila, imegonga vichwa vya habari za...

Fact Check| Hakuna msafara wa Dk. Samia uliopata ajali

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Taarifa zinazosambazwa Jumatano, Oktoba 1, 2025 kwenye mitandao ya kijamii zikidai kutokea kwa ajali katika msafara wa mgombea urais wa Jamhuri...

Vijana 60 washikiliwa wakipinga Kombe la Dunia Morocco

RABAT, MoroccoPOLISI nchini Morocco wanawashikilia vijana zaidi ya 60 katika maandamano yanayoendelea miji mikubwa, ikiwamo Rabat na Casablanca.Maandamano hayo, ambayo asilimia kubwa ya washiriki...

Taliban yaachia tena raia wa Marekani

KABUL, AfghanistanHATIMAYE Serikali ya Taliban nchini Afghanistan imetangaza kumwachia huru raia wa Marekani aliyekuwa ameshikiliwa kwa miezi tisa.Januari, mwaka huu, raia wawili wa Marekani...

Dhambi ya usaliti inamtafuna Nicolas Sarkozy?

Na mwandishi wetu, GazetiniHIVI karibuni, Mahakama ya Uhalifu ya Paris, Ufaransa, ilimuhukumu kifungo cha miaka mitano gerezani aliyewahi kuwa Rais wa nchi hiyo, Nicolas...

Marekani, Urusi na vita ya kugombania rasilimali Afrika Magharibi

Na mwandishi wetu, GazetiniTUJIKUMBUSHE; Septemba 14, mwaka huu, Gazeti la Washington Post liliutangazia ulimwengu juu ya mazungumzo kati ya Marekani na Serikali inayoongozwa kijeshi...

Changamoto zinazomsubiri Rais mpya Malawi

Na mwandishi wetu, GazetiniPETER Mutharika, licha ya umri wake mkubwa wa miaka 85 na wakati mwingine afya yake ikizua mijadala, amerejea katika siasa za...

Recent articles

spot_img