DOHA, QatarSERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imesaini mkataba wa amani na wapiganaji wa Kundi la waasi la M23 mjini Doha, Qatar.Ifahamike...
New York, MAREKANI
MICHELLE Obama ambaye ni mke wa Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amesema katika mahojiano ya hivi karibuni kwamba bado Marekani...
JOHANNESBURG, Afrika Kusini
RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemkosoa mwenzake wa Marekani, Donald Trump, kwa hatua yake ya kugoma kuhudhuria Mkutano Mkuu wa G20...
KYIV, Ukraine
MAWAZIRI wawili wa Serikali ya Ukraine wametangaza kujiuzulu baada ya kashfa ya rushwa kuitikisa sekta ya nishati nchini humo. Waliotangaza kuachia ngazi ni...
Na mwandishi wetu, GazetiniUHUSIANO wa Marekani na Afrika Kusini umezidi kudorora kwa siku za hivi karibuni na tayari Rais Donald Trump ametaka nchi hiyo...
INSTANBUL, UturukiNDEGE ya kijeshi ya mizigo nchini Uturuki imepata ajali ikiwa na abiria 20, kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo.Taarifa imeeleza...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi Zanzibar,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wabunge sita katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Taarifa ya uteuzi wa wabunge...
Na mwandishi wetu, GazetiniSIASA za Afrika Kusini zimefungua ukurasa mpya baada ya binti wa Rais wa zamani wa Taifa hilo, Jacob Zuma, kushitakiwa kwa...
NEW YORK, MarekaniBARAZA la Usalama la Umoja wa Mataifa limemuondoshea vikwazo Rais wa Syria, Ahmed al-Sharaa.Hatua ya kuondoshwa vikwazo inakuja wakati huu Rais huyo...
Na mwandishi wetu, GazetiniLICHA ya Rais Alassane Ouattara kushinda na kurejea madarakani kwa muhula wa nne, idadi ndogo ya wananchi waliojitokeza kupiga kura katika...