Ads: info@gazetini.co.tz |
21.8 C
Dar es Salaam

Siasa

Waziri Mkuu Bangladesh kuhukumiwa kifo?

DHAKA, BangladeshWAENDESHA mashitaka wa Bangladesh wameomba Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Sheikh Hasina, kuhukumiwa kifo kutokana na machafuko yaliyomtoa madarakani mwaka jana.Hasina...

Andry Rajoelina; ‘DJ’ aliyekimbia Ikulu Madagascar akihofia kuuawa

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA sasa, Madagascar iko chini ya jeshi lililounda Serikali baada ya kumng'oa aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Andry Rajoelina. Taarifa ya...

Raila Odinga; Mtoto wa Makamu wa Rais aliyeacha alama siasa za upinzani Kenya

Na mwandishi wetu, GazetiniSIASA za Afrika Mashariki zimegubikwa na simanzi nzito baada ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Amolo Odinga. Mwanasiasa...

Kiongozi wa upinzani Odinga afariki

NAIROBI, KenyaTAARIFA kutoka India alikokuwa akiendelea na matibabu zimeeleza kuwa kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, ameiaga dunia.Odinga (80), amefariki kwa shambulio la...

Jeshi laingia Ikulu Madagascar, lavunja Tume ya Uchaguzi

ANTANANARIVO, MadagascarJESHI nchini Madagascar limethibitisha kuingia Ikulu na kuchukua rasmi majukumu ya kuunda Serikali ili kuiongoza nchi hiyo.Ikumbukwe, taarifa hiyo inakuja baada ya Rais...

Upinzani wajitangazia ushindi Uchaguzi Mkuu Cameroon

GAROUA, CameroonMGOMBEA wa urais kupitia upinzani, Issa Tchiroma, amejitangaza kuwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 12, mwaka huu.Hata hivyo, wakati Tchiroma akichukua hatua...

Rais Madagascar aikimbia Ikulu akihofia jeshi kumuua

ANTANANARIVO, MadagascarRAIS wa Madagascar, Andry Rajoelina, ameibuka na kusema yuko sehemu salama zaidi na si Ikulu ili kunusuru maisha yake baada ya kushitukia mpango...

Maria Corina Machado; ‘Mwanamke wa shoka’ aliyempindua Rais Trump

Na mwandishi wetu, GazetiniNI ukweli usiopingika kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, ameumizwa na kitendo cha kutoitia mkononi tuzo ya Amani ya Nobel ya...

Biden aanza matibabu ya saratani

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa zamani wa Marekani, Joe Biden, ameanza matibabu ya saratani ya tezi dume aliyogundulika kuwa nayo tangu Mei, mwaka huu. Kwa...

Dk. Samia: Tokeni kifua mbele, hakuna wa kuwatisha Oktoba 29

Na Mwandishi Maalum, Gazetini MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza kuwa hakuna kitakachotokea Oktoba 29, hivyo wananchi...

Wanajeshi Israel waanza kuondoka Gaza

JERUSALEM, PalestinaKATIKA kile kinachotafsiriwa kuwa ni hatua nzuri katika kumaliza mgogoro wa Gaza, wanajeshi wa Israel wameanza kuondoka katika Ukanda huo.Kurejea nyumbani kwa wanajeshi...

Marekani yalaani Rais Trump kukosa tuzo ya Amani ya Nobel

WASHINGTON DC, Marekani IKULU ya Marekani imeikosoa Kamati ya Tuzo ya Amani ya Nobel ikisema haitendi haki katika kutangaza washindi. Kwa mujibu wake, tuzo ya...

Recent articles