Ads: info@gazetini.co.tz |
22.5 C
Dar es Salaam

Siasa

Usichokijua mazungumzo ya Rais Trump, Mfalme wa Saudi Arabia

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA mara ya kwanza tangu kusitishwa kwa mapigano kati ya Israel na Palestina katika Ukanda wa Gaza, Mfalme wa Saudi Arabia,...

Kilichomponza Waziri Mkuu aliyehukumiwa kifo

Na mwandishi wetu, GazetiniWAZIRI Mkuu wa zamani wa Bangladesh, Sheikh Hasina, amehukumiwa kifo baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya uhalifu dhidi ya...

Waziri Mkuu Bangladesh ahukumiwa kifo

DHAKAN, BangladeshALIYEKUWA Waziri Mkuu waBangladesh, Sheikh Hasina, amehukumiwa kifo kutokana na mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu.Sheikh Hasina anatajwa kuamrisha vyombo vya dola kutekeleza...

Historia ya Afrika na tuzo ya Amani ya Nobel

Na mwandishi wetu, GazetiniTANGU kuanzishwa kwake mwaka 1901, Tuzo ya Amani ya Nobel imekuwa ikiheshimiwa duniani kote, ikitambua jitihada za watu au taasisi katika...

Maandamano kupinga mauaji ya Meya yaendelea Mexico

MEXICO City, MexicoBADO maelfu ya raia wa Mexico wameendelea kuingia barabarani wakishinikiza mabadiliko makubwa kwenye vyombo vya usalama.Ikumbukwe, hasira za waandamanaji, ambao wengi wao...

DRC, M23 zasaini mkataba wa amani

DOHA, QatarSERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imesaini mkataba wa amani na wapiganaji wa Kundi la waasi la M23 mjini Doha, Qatar.Ifahamike...

Michelle Obama: Marekani bado haijawa tayari kwa rais mwanamke

New York, MAREKANI MICHELLE Obama ambaye ni mke wa Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amesema katika mahojiano ya hivi karibuni kwamba bado Marekani...

Ramaphosa amjibu Trump ‘kususia’ Mkutano G20

JOHANNESBURG, Afrika Kusini RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemkosoa mwenzake wa Marekani, Donald Trump, kwa hatua yake ya kugoma kuhudhuria Mkutano Mkuu wa G20...

Kashfa ya rushwa yang’oa mawaziri Ukraine

KYIV, Ukraine MAWAZIRI wawili wa Serikali ya Ukraine wametangaza kujiuzulu baada ya kashfa ya rushwa kuitikisa sekta ya nishati nchini humo. Waliotangaza kuachia ngazi ni...

Zungu atakwepa mtego huu kiti cha Spika?

Na Hassan Mwasha, GazetiniNI rasmi sasa Mussa Hassan Zungu ndiye Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akichukua nafasi ya...

Afrika Kusini kuondoshwa G20?

Na mwandishi wetu, GazetiniUHUSIANO wa Marekani na Afrika Kusini umezidi kudorora kwa siku za hivi karibuni na tayari Rais Donald Trump ametaka nchi hiyo...

Ndege ya jeshi Uturuki yapata ajali

INSTANBUL, UturukiNDEGE ya kijeshi ya mizigo nchini Uturuki imepata ajali ikiwa na abiria 20, kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo.Taarifa imeeleza...

Recent articles