Na mwandishi wetu, GazetiniKWA mara ya kwanza tangu kusitishwa kwa mapigano kati ya Israel na Palestina katika Ukanda wa Gaza, Mfalme wa Saudi Arabia,...
Na mwandishi wetu, GazetiniWAZIRI Mkuu wa zamani wa Bangladesh, Sheikh Hasina, amehukumiwa kifo baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya uhalifu dhidi ya...
DHAKAN, BangladeshALIYEKUWA Waziri Mkuu waBangladesh, Sheikh Hasina, amehukumiwa kifo kutokana na mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu.Sheikh Hasina anatajwa kuamrisha vyombo vya dola kutekeleza...
Na mwandishi wetu, GazetiniTANGU kuanzishwa kwake mwaka 1901, Tuzo ya Amani ya Nobel imekuwa ikiheshimiwa duniani kote, ikitambua jitihada za watu au taasisi katika...
MEXICO City, MexicoBADO maelfu ya raia wa Mexico wameendelea kuingia barabarani wakishinikiza mabadiliko makubwa kwenye vyombo vya usalama.Ikumbukwe, hasira za waandamanaji, ambao wengi wao...
DOHA, QatarSERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imesaini mkataba wa amani na wapiganaji wa Kundi la waasi la M23 mjini Doha, Qatar.Ifahamike...
New York, MAREKANI
MICHELLE Obama ambaye ni mke wa Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amesema katika mahojiano ya hivi karibuni kwamba bado Marekani...
JOHANNESBURG, Afrika Kusini
RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemkosoa mwenzake wa Marekani, Donald Trump, kwa hatua yake ya kugoma kuhudhuria Mkutano Mkuu wa G20...
KYIV, Ukraine
MAWAZIRI wawili wa Serikali ya Ukraine wametangaza kujiuzulu baada ya kashfa ya rushwa kuitikisa sekta ya nishati nchini humo. Waliotangaza kuachia ngazi ni...
Na mwandishi wetu, GazetiniUHUSIANO wa Marekani na Afrika Kusini umezidi kudorora kwa siku za hivi karibuni na tayari Rais Donald Trump ametaka nchi hiyo...
INSTANBUL, UturukiNDEGE ya kijeshi ya mizigo nchini Uturuki imepata ajali ikiwa na abiria 20, kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo.Taarifa imeeleza...