Na mwandishi wetu, GazetiniUNAFAHAMU nini kuhusu 'NepoKids'? Huo ni msamiati mpya na maarufu zaidi wakati huu wa maandamano makubwa ya raia wanaoipinga Serikali iliyoko...
JUBA, Sudan KusiniMAKAMU wa Rais wa Kwanza wa Sudan Kusini, Riek Machar, amefunguliwa mashitaka akishutumiwa kwa uhaini na mauaji.Kwa mujibu wa Waziri wa Sheria,...
RIO, BrazilRAIS wa zamani wa Brazil, Jair Bolsonaro, amehukumiwa kifungo cha miaka 27 na miezi mitatu gerezani kwa kosa la kusuka mpango wa kupindua...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina leo Septemba 11, 2025 ameshinda kesi ya kupinga kuzuiwa kurejesha fomu...
YAMOUSSOUKRO, Ivory CoastMKE wa Rais wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo, ni miongoni mwa wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.Simone Gbagbo mwenye umri...
PARIS, UfaransaRAIS wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amemtangaza Sebastien Lecornu kuwa Waziri Mkuu mpya akichukua nafasi ya Francois Bayrou.Lecornu mwenye umri wa miaka 39, alikuwa...
KATHMANDU, NepalMAANDAMANO ya wananchi wenye hasira kali yamepelekea kuchomwa kwa ofisi za Bunge nchini Nepal, hatua iliyosababisha Waziri Mkuu kujiuzulu.Hasira za wananchi zimetokana na...
THE HAGUE, UholanziMAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imehairisha usikilizaji wa mashitaka yanayomkabili Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte.Kwa mujibu wa wanasheria wake,...
KINSHASA, DRCUMOJA wa Mataifa umezionya pande mbili zinazopigana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ukisema zinahusika katika uhalifu wa kivita nchini humo.Licha ya...
Na mwandishi wetu, GazetiniMIAKA 65 iliyopita, mataifa 14 ya Afrika yalipata uhuru kutoka kwa Ufaransa. Je, ni kwa kiasi gani yamepiga hatua tangu mwaka...