DHAKA, BangladeshWAENDESHA mashitaka wa Bangladesh wameomba Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Sheikh Hasina, kuhukumiwa kifo kutokana na machafuko yaliyomtoa madarakani mwaka jana.Hasina...
Na mwandishi wetu, GazetiniKWA sasa, Madagascar iko chini ya jeshi lililounda Serikali baada ya kumng'oa aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Andry Rajoelina. Taarifa ya...
Na mwandishi wetu, GazetiniSIASA za Afrika Mashariki zimegubikwa na simanzi nzito baada ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Amolo Odinga. Mwanasiasa...
NAIROBI, KenyaTAARIFA kutoka India alikokuwa akiendelea na matibabu zimeeleza kuwa kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, ameiaga dunia.Odinga (80), amefariki kwa shambulio la...
ANTANANARIVO, MadagascarJESHI nchini Madagascar limethibitisha kuingia Ikulu na kuchukua rasmi majukumu ya kuunda Serikali ili kuiongoza nchi hiyo.Ikumbukwe, taarifa hiyo inakuja baada ya Rais...
GAROUA, CameroonMGOMBEA wa urais kupitia upinzani, Issa Tchiroma, amejitangaza kuwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 12, mwaka huu.Hata hivyo, wakati Tchiroma akichukua hatua...
ANTANANARIVO, MadagascarRAIS wa Madagascar, Andry Rajoelina, ameibuka na kusema yuko sehemu salama zaidi na si Ikulu ili kunusuru maisha yake baada ya kushitukia mpango...
Na mwandishi wetu, GazetiniNI ukweli usiopingika kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, ameumizwa na kitendo cha kutoitia mkononi tuzo ya Amani ya Nobel ya...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa zamani wa Marekani, Joe Biden, ameanza matibabu ya saratani ya tezi dume aliyogundulika kuwa nayo tangu Mei, mwaka huu. Kwa...
Na Mwandishi Maalum, Gazetini
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza kuwa hakuna kitakachotokea Oktoba 29, hivyo wananchi...
JERUSALEM, PalestinaKATIKA kile kinachotafsiriwa kuwa ni hatua nzuri katika kumaliza mgogoro wa Gaza, wanajeshi wa Israel wameanza kuondoka katika Ukanda huo.Kurejea nyumbani kwa wanajeshi...
WASHINGTON DC, Marekani
IKULU ya Marekani imeikosoa Kamati ya Tuzo ya Amani ya Nobel ikisema haitendi haki katika kutangaza washindi. Kwa mujibu wake, tuzo ya...