Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Featured

Netanyahu kurejea au kung’oka madarakani Oktoba?

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atawania tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao, Chama chake cha Likud kimeeleza. Kwamba mwanasiasa huyo mwenye umri...

Aliyetokea benchi aiokoa Korea Kusini mbele ya Czech

ZAPOPAN, Mexico TIMU ya soka ya Taifa ya Korea ya Kusini imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Jamhuri ya Czech katika mchezo wa alfajiri...

Airtel Africa inavyochochea uchumi na kutunza mazingira Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMPUNI ya Airtel Africa imeendelea kuimarisha mchango wake katika maendeleo ya kijamii, kiuchumi na mazingira barani Afrika baada ya kuongeza upatikanaji...

Mexico yaizima Afrika, yaitandika Bafana Bafana

MEXICO City, Mexico TIMU ya soka ya Taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana' imeanza na mguu mbaya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu...

‘Special One’ atambulishwa Santiago Bernabeu

MADRID, Hispania KLABU ya Real Madrid imemtambulisha rasmi Jose Mourinho kuwa kocha wao. Mreno huyo mwenye umri wa miaka 63 amesaini mkataba wa miaka mitatu...

UEFA yamkabidhi PSG refa aliyebaniwa Kombe la Dunia

MOGADISHU, Somalia ZIKIWA ni siku chache tu tangu alipozuiwa kuingia Marekani, hivyo kukosa nafasi ya kuchezesha Kombe la Dunia, mwamuzi raia wa Somalia, Omar Artan,...

Shabiki afariki akiingia uwanjani Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika...

‘Mido’ astaafu kabla ya mechi ya kwanza Kombe la Dunia 2026

TOKYO, Japan KIUNGO wa timu ya Taifa ya Japan, Wataru Endo, ametangaza kustaafu soka hata kabla ya kucheza mechi yao ya kwanza msimu huu wa...

Rodriguez: Diaz apewe Ballon d’Or yake tu

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa zamani wa Real Madrid, James Rodriguez, amesema staa wa Bayern Munich winger, Luis Diaz, ndiye anayestahili tuzo ya Mchezaji Bora wa...

Petit afichua Enzo kuondoka Chelsea

LONDON, Uingereza LEJENDARI wa Chelsea, Emmanuel Petit, amefunguka kuwa mshambuliaji Enzo Fernandez ni miongoni mwa mastaa wanaopaswa kuondoka Chelsea baada ya ujio wa kocha raia...

Utafiti wabaini mataifa ya Ulaya kuitenga Marekani

WASHINGTON DC Marekani UTAFITI mpya umonesha kuwa ushawishi wa Marekani kwa mataifa ya Ulaya imeporomoka kwa kiasi kikubwa tangu Rais Donald Trump aliporejea madarakani mwaka...

Peter wa P-Square ageuka mbogo kuhusu kaka yake

LAGOS, Nigeria PACHA wa Kundi la P-Square ambalo limeshavunjika, Peter Okoye, amesema hapendi kuona akifananishwa na kaka yake, Paul. Wawili hao amekuwa maadui wakubwa kwa siku...

Recent articles