JERUSALEM, Israel
WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atawania tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao, Chama chake cha Likud kimeeleza.
Kwamba mwanasiasa huyo mwenye umri...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KAMPUNI ya Airtel Africa imeendelea kuimarisha mchango wake katika maendeleo ya kijamii, kiuchumi na mazingira barani Afrika baada ya kuongeza upatikanaji...
MADRID, Hispania
KLABU ya Real Madrid imemtambulisha rasmi Jose Mourinho kuwa kocha wao. Mreno huyo mwenye umri wa miaka 63 amesaini mkataba wa miaka mitatu...
MOGADISHU, Somalia
ZIKIWA ni siku chache tu tangu alipozuiwa kuingia Marekani, hivyo kukosa nafasi ya kuchezesha Kombe la Dunia, mwamuzi raia wa Somalia, Omar Artan,...
MEXICO CITY, Mexico
SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika...
MADRID, Hispania
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Real Madrid, James Rodriguez, amesema staa wa Bayern Munich winger, Luis Diaz, ndiye anayestahili tuzo ya Mchezaji Bora wa...
LONDON, Uingereza
LEJENDARI wa Chelsea, Emmanuel Petit, amefunguka kuwa mshambuliaji Enzo Fernandez ni miongoni mwa mastaa wanaopaswa kuondoka Chelsea baada ya ujio wa kocha raia...
WASHINGTON DC Marekani
UTAFITI mpya umonesha kuwa ushawishi wa Marekani kwa mataifa ya Ulaya imeporomoka kwa kiasi kikubwa tangu Rais Donald Trump aliporejea madarakani mwaka...
LAGOS, Nigeria
PACHA wa Kundi la P-Square ambalo limeshavunjika, Peter Okoye, amesema hapendi kuona akifananishwa na kaka yake, Paul.
Wawili hao amekuwa maadui wakubwa kwa siku...