Ads: info@gazetini.co.tz |
28.6 C
Dar es Salaam

Featured

Marekani waanza kibabe, bao lao lavunja rekodi ya miaka 20

LOS ANGELES, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Marekani imeanza na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay katika mechi ya Kundi D msimu...

Shakira na mkasa wa kudaiwa na ‘ex’ wake bil. 263/-

BOGOTA, Colombia JINA la Shakira si geni kwa wapenzi wa muziki duniani. Ni mrembo mzaliwa wa Colombia, ambaye hivi karibuni alitumbuiza katika hafla ya ufunguzi...

Partey azuiwa kuingia Canada, kukosa mechi ya kwanza ya Ghana

TORONTO, Canada KIUNGO Thomas Partey atakosekana wakati timu ya Taifa ya Ghana itakapocheza mechi ya kwanza ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Ni baada ya...

Kumbe wanamuziki hawalipwi kutumbuiza Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico KUTUMBUIZA katika ufunguzi wa Kombe la Dunia, kama walivyofanya Shakira na Burna Boy, kunaweza kutafsiriwa kuwa ni dili linalowapa pesa nyingi wanamuziki...

UN: Watu milioni 118 wamekimbia makazi yao

NEW YORK, Marekani KATIKA ripoti yake ya hivi karibuni, Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limeeleza kuwa watu milioni 118 walikimbia makazi...

Canada, Bosnia zamalizana kwa sare

TORONTO, Canada HAKUNA mbabe. Ni dakika 90 za mchezo wa Kundi B uliochezwa Juni 12, 2026, ambapo wenyeji wa michuano ya mwaka huu ya Kombe...

Ndugu wanaocheza timu tofauti Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY, Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea katika mataifa matatu ya Marekani, Mexico na Canada. Wakati huo huo, wapo wachezaji...

Uchumi wazidi kupaa, umasikini wapungua nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya changamoto za kidunia, ukiwamo mgogoro wa Mashariki ya Kati unaozihuisha Marekani na Israel dhidi ya Iran, uchumi wa Tanzania...

Bafana Bafana waitangazia vita Czech

MEXICO CITY, Mexico BAADA ya kufungwa mabao 2-0 na wenyeji Mexico, beki wa timu ya soka ya Taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana', Ime Okon,...

Iran: Trump anajidanganya, vita bado mbichi

TEHRAN, Iran BAADA ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kudai kuwa mazungumzo ya kumaliza vita yao na Iran yako kwenye hatua za mwisho, uongozi wa...

Mradi wa maziwa waiongezea tija Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Tanga SERIKALI imeomba kuendelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania na Ireland kupitia Awamu ya Pili ya Mradi wa Maziwa Faida kuanzia mwaka...

Thomas Tuchel: Kutoka uhudumu wa baa hadi ukocha Kombe la Dunia

LONDON, Uingereza WAKATI timu ya soka ya Taifa ya England inacheza Kombe la Dunia mwaka 1998, kocha wao wa sasa, Thomas Tuchel, alikuwa muhudumu wa...

Recent articles