Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Featured

Ligi Kuu Bara 2025-26: Mechi 400, vipigo asilimia 34, vigogo bado wanatamba

Na mwandishi wetu, Gazetini KUFIKIA hatua hii ya msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara, zimeshachezwa jumla ya mechi 400, kila timu ikishuka dimbani mara...

Vocha za kukwangua kuanza kuondolewa mijini Julai 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imepanga kuondoa matumizi ya vocha za kukwangua za muda wa maongezi katika maeneo ya mijini kuanzia Julai 1, 2026, hatua...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: UFARANSA

PARIS, Ufaransa MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: SENEGAL

DAKAR, Senegal MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: URUGUAY

NEW YORK, Marekani MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea...

Kombe la Dunia 2026: Karata ya mwisho kwa Cristiano Ronaldo

LISBON, Ureno KAMA kuna mchezaji anayezitamani zaidi fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu, 2026, basi ni nahodha wa timu ya Taifa ya Ureno,...

Kwa mastaa hawa, pesa siyo shida zao kabisa

NAIROBI, Kenya KWA miaka mingi, wanamuziki wa Kenya wamekuwa wakifanya vizuri kwa Ukanda huu wa Afrika Mashariki, licha ya upinzani mkali kutoka kwa wenzao wa...

Chris Brown: Bishoo, tajiri asiyekauka mikononi mwa polisi

LOS ANGELES, Marekani PESA siyo tatizo. Kwa miaka aliyofanya kazi ya muziki, Chris Brown ameweza kujikusanyia utajiri wa Dola za Marekani milioni 50, huku vyanzo...

Wenger aibuka na utabiri wake Kombe la Dunia 2026

PARIS, Ufaransa KOCHA wa zamani wa Arsenal, Arsène Wenger, ameanza kwa kuitaja timu ya Taifa ya Ufaransa, akiipa nafasi katika zile anazoamini zitatwaa ubingwa wa...

Uadui unaozaliwa katikati ya urafiki wa Marekani, Israel

WASHINGTON DC, Marekani VYOMBO vya habari vya Marekani vimeripoti taarifa inayoashiria kuwapo kwa hali ya kutokuamiana kati ya Taifa hilo na Israel, ambao ni washirika...

‘Maisha ya Nigeria magumu kuliko Marekani’

LAGOS, Nigeria HIYO ni kauli ya staa wa soko la muziki wa Nigeria, Daniel Benson, maarufu kwa jina la BNXN, baada ya kuwasili akitokea Los...

Rais Trump alivyozima ndoto, rekodi ya refa wa Somalia

MOGADISHU, Somalia GUMZO kubwa kuelekea fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu ni mwamuzi wa kati raia wa Somalia, Omar Artan, kurejea nchini kwao...

Recent articles