Ads: info@gazetini.co.tz |
23.2 C
Dar es Salaam

Featured

Maresca kuchagua nahodha mpya Man City

MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, yuko mbioni kutangaza nahodha mpya wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2026-27. Man City inahitaji...

Jembe jipya Arsenal lachimba mkwara

LONDON, Uingereza KIUNGO wa kimataifa wa Brazil, Bruno Guimaraes, amesema amewaahidi mashabiki wa Arsenal kuwa ataendeleza moto aliokuwa nao Newcastle United. Arsenal walikamilisha usajili wake wikiendi...

‘180 bure’ ilivyobadili sura ya Kitengo cha Miito ya Simu TANESCO

Na Hassan Mwasha, Gazetini SHIRIKA la Ugavi wa Umeme nchini (TANESCO) lina mengi ya kujivunia katika miaka ya hivi karibuni lakini kubwa zaidi ni uboreshaji...

Paul Biya: Rais aliyewaacha njiapanda wananchi Cameroon

YOUNDE, Cameroon HAJAONEKANA hadharani kwa miezi miwili sasa na wananchi wa Cameroon wanahoji; itachukua muda gani Rais Paul Biya kurudi nchini akitokea mjini Geneva, Uswis? Wakati...

Miaka minne baada ya mapinduzi, Traore amefanikiwa?

OUAGADOUGOU, Burkina Faso ALIINGIA madarakani mwaka 2022 akiliongoza jeshi kuipindua Serikali iliyokuwa madarakani. Anaitwa Kapt.Ibrahim Traore, kijana mwenye umri wa miaka 38 tu. Kwa upande mmoja,...

Kampuni za mafuta zinazonufaika vita vya Iran, Marekani

WASHINGTON DC, Marekani FAIDA wakati wa vita. Ndicho kinachoonekana wakati huu Iran na Marekani zikiwa kwenye mgogoro unaotikisa si tu Mashariki ya Kati, bali dunia...

FIFA yalaani mpango wa kumng’oa Infantino

NYON, Uswis SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limelaani mpango wowote unaolenga kumng'oa kwenye kiti Rais wake, Gianni Infantino. Infantino anakabiliwa na shinikizo la kutakiwa kujiuzulu...

MO Dewji: Simba ni kubwa kuliko changamoto tunazopitia

Rais wa Simba SC, Mohammed Dewji, amewataka wanachama na mashabiki wa klabu hiyo kutogawanyika, akisisitiza kuwa Simba ni kubwa kuliko changamoto yoyote inayokabili klabu...

Baba wa Lionel Messi, Jorge Messi, afariki dunia akiwa na miaka 68

Na mwandishi wetu, Gazetini JORGE Messi, baba na wakala wa muda mrefu wa nyota wa Argentina na Inter Miami, Lionel Messi, amefariki dunia akiwa na...

UDOM yang’ara Nanenane kwa ubunifu, teknolojia

Na mwandishi wetu, Gazetini CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha utafiti, ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuwasilisha bunifu...

Wachimbaji Namungo waomba mafunzo ya OSHA

Na mwandishi wetu, Gazetini WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Namungo wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwapatia mafunzo ya...

Rais Samia azindua tume ya uchunguzi wa ghasia za uchaguzi 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amezindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia...

Recent articles