KIGALI, Rwanda
ILIKUWA ni Januari, 2020, ambapo akiwa anatoka saluni katika mitaa ya mjini Kigali, Janvier Igabe alikutana na mwanadada Josiane Tuyishimire.
Baada ya mazungumzo, walikubaliana...
RIO, Brazil
KLABU ya Flamengo ya Brazil imetangaza kumfuta kazi kocha wake, Filipe Luis. Ni baada ya timu hiyo kushinda mabao 8-0 dhidi ya Madureira.
Flamengo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WACHAMBUZI wa siasa za kimataifa nchini Nigeria wanadhani nchi yao inaweza kufuata baada ya kile kilichoikuta Iran.
Marekani kwa kushirikiana na washirika...
MUNICH, Ujerumani
MANCHESTER City imeendelea kuipambania saini ya kiungo wa Borussia Dortmund, Felix Nmecha, ambaye anatajwa kuwa na thamani ya Pauni milioni 60.
Kwa mujibu wa...
KINSHASA, DRC
BAADA ya miaka 20 ya kuwa kwenye mahusiano, hatimaye lejendari wa muziki nchini DRC, Koffi Olomide, amefunga ndoa na Cindy Le Coeur
Koffi ana...
KAMPALA, Uganda
RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, amewataka vijana nchini humo kuacha kupoteza muda na nguvu kubwa kwenye ushabiki wa soka la Ulaya.
Na badala yake,...
TEHRAN, Iran
WAPIGANAJI wa Kundi linalohusishwa na ugaidi la Hezbollah nchini Lebabon wamerushiana risasi na makombora na wanajeshi wa Israel.
Hiyo ni baada ya Israel na...
Na mwandishi wetu, Gazetini
ACHANA na tambo za mashabiki, sare ya kutokufungana ndiyo iliyohitimisha dakika 90 za mchezo wa 'derby' ya Kariakoo kati ya wenyeji...
TEHRAN, Iran
HABARI kubwa kwa sasa katika siasa za ulimwengu ni hatua ya Marekani na Israel kuishambulia kwa mabomu nchi ya Iran.
Kubwa zaidi, ni mashambulizi...
TEHRAN, Iran
ALIYEWAHI kuwa Rais wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad, ameuawa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya ushirika kati Marekani na Israel.
Profesa Ahmadinejad alikuwa Rais wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SHIDA kubwa tuliyonayo ngozi nyeusi ni kushindwa kutofautisha kati ya jambo la starehe na lile la lazima/muhimu. Hao ndipo tunapofeli.
Huwa tunaanza...