Na Imani Nathaniel, Gazetini
Mkurugenzi Mkuu wa Halotel Tanzania, Bui Van Thang, ametembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa...
WASHINGRON, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani inaweza kuanzisha mashambulizi mengine makubwa dhidi ya Iran, akidai kuwa operesheni za kijeshi zilizofanyika usiku uliopita...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kukatika kwa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Morogoro na Tanga...
CATALUNYA, Barcelona
BADO mabosi wa Barcelona wanaumiza vichwa kujua ni straika yupi sahihi kati ya Julian Alvarez wa Atletico Madrid na Harry Kane wa Bayern...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
YANGA wanaelekea katika Uchaguzi Mkuu, ambapo mchakato huo wa kidemokrasia unatarajiwa kufanyika Agosti 2, 2026.
Ukiwa ni mwezi mmoja kabla ya Uchaguzi,...
-Yaiwezesha Serikali kupata thamani halisi ya fedha-Wadau ununuzi wa umma 2,600 wafikiwa mafunzo matumizi ya moduli
Na Mwandishi wetu, Gazetini
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mbwana Samatta ametangaza kustaafu kuichezea timu hiyo aliyoitumikia kwa zaidi ya miaka...
LONDON, Uingereza
NI rasmi sasa timu ya soka ya Taifa ya England itavaana na Norway katika hatua inayofuata ya robo fainali.
Ni michuano ya Kombe la...