Ads: info@gazetini.co.tz |
28.6 C
Dar es Salaam

Featured

Kiboko ya Wabrazil anayezitoa udenda Arsenal, Liverpool

TORONTO, Canada KATIKA mchezo uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 kati ya timu ya soka ya Taifa ya Brazil na Morocco, kinda Ayyoub Bouaddi alikuwa...

Rihanna alivyozama mazima penzi la A$AP Rocky

LOS ANGELES, Marekani MIAKA mitano iliyopita, ndipo wanamuziki wawili maarufu, Rihanna na A$AP Rocky, walipoianza safari yao ya mapenzi iliyozalisha familia ya baba, mama na...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: ARGENTINA

LONDON, Uingereza MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea tangu Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco

NEW YORK, Marekani MECHI ya kwanza kwa timu hizo za Kundi C msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Itachezwa usiku wa kuamkia kesho...

Arsenal wanamtaka huyu kutoka La Liga

LONDON, Uingereza MABINGWA wa Ligi Kuu ya England (EPL), Arsenal, wanaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa Real Sociedad ya La Liga, Ander Barrenetxea. Ripoti zinaeleza kuwa...

Ibrahimovic: Haaland? Hajafikia uwezo wangu

NEW YORK, Marekani MKONGWE wa timu ya soka ya Taifa ya Sweden, Zlatan Ibrahimovic, amejitaja kuwa mshambuliaji bora kuliko Erling Haaland wa Manchester City. Akihojiwa na...

Michel Soro: Bondia aliyemnyima Mwakinyo ubingwa wa IBO

Na mwandishi wetu, Gazetini AKIWA ugenini nchini Ivory Coast, bondia wa uzito wa Middle nchini, Hassan Mwakinyo, alishindwa kutwaa ubingwa wa dunia wa IBO baada...

Dar yaimarisha utayari dhidi ya mafuriko

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Taasisi ya OpenMap Development Tanzania (OMDTZ) imechukua hatua mpya za kuimarisha utayari...

Liverpool yamfukuzia beki Korea ya Kusini

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool imeanza harakati za kumsajili beki wa timu ya Taifa ya Korea ya Kusini, Lee Han-beom, ambaye pia anawindwa na Chelsea. Nyota...

Newcastle hesabu zote kwa kipa Man City

LONDON, Uingereza KLABU ya Newcastle United iko mstari wa mbele katika mbio za kumsajili mlinda mlango wa Manchester City raia wa England, James Trafford. Newcastle imemuongeza...

Bayern yamsubiri Rashford, United yakubali kumwachia

MUNICH, Ujerumani KLABU ya Bayern Munich inaamini itafanikisha mpango wake wa kuinasa huduma ya kiungo wa pembeni wa Manchester United aliyemaliza mkopo wake Barcelona, Marcus...

Silva apewa miaka miwili Real Madrid

MADRID, Hispania REAL Madrid wako kwenye hatua nzuri ya kukamilisha dili la lejendari wa Manchester City, Bernardo Silva, akitarajiwa kuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na...

Recent articles