Ads: info@gazetini.co.tz |
23.2 C
Dar es Salaam

Featured

Simba hoi, Yanga ‘yapiga kwenye mshono’ ikibeba Ngao ya Jamii

Na mwandishi wetu, Gazetini  WAKATI maumivu ya kupokonywa Selemani Mwalimu yakiwa hayajapoa, Yanga imeipiga tena Simba kwenye mshono kwa kuifunga bao 1-0 na kutwaa taji...

UNESCO: Watoto wa kike wanazuiwa kwenda sekondari Afghanistan

NEW YORK, Marekani  SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeeleza katika ripoti yake kuwa wasichana takribani milioni 2.4 nchini Afghanistan wamenyimwa...

Ronaldo afunga ndoa na Georgina

LISBON, Ureno BAADA ya miaka 10 ya uchumba, hatimaye staa wa soka, Cristiano Ronaldo amefunga ndoa na mpenzi wake, Georgina Rodriguez. Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa...

Kifo cha baba kumstaafisha Messi?

MIAMI, Marekani  SUPASTAA wa soka, Lionel Messi, amesema kifo cha baba yake, Jorge, kinamfanya asijione akiendelea kucheza kwa muda mrefu. Jorge alifariki wiki iliyopita akiwa na...

Chelsea yanasa mwingine, yafikisha saba 

LONDON, Uingereza  KLABU ya Chelsea imemtambulisha beki wa pembeni kutoka Rayo Vallecano ya Hispania, Pep Chavarria. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 28 anakuwa mchezaji wa saba kusajiliwa na...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (4)

DAMASCUS, Syria WAKATI hali ya utulivu ikiwa haijatengamaa, Syria iliingia katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2021 na Assad kushinda kwa muhula wake wa nne madarakani. Ni...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (3)

DAMASCUS, Syria KATIKA sera za mambo ya nje, utawala wa Assad haukuwa na tofauti yoyote na ule wa baba yake. Kama alivyokuwa baba, naye aliendeleza...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (2)

DAMASCUS, Syria  KAMA ilivyoelezwa katika sehemu ya kwanza ya makala haya, Assad hakutarajiwa kuwa kiongozi wa Syria. Hakuonekana kupenda siasa na kufuata nyayo za baba...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (1)

DAMASCUS, Syria  MAHAKAMA Kuu ya Syria imemuhukumu kifo aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Bashar al-Assad, baada ya kumkuta na hatia katika mashitaka ya uhalifu dhidi ya...

Vichocheo vya kufikia malengo ya Dira 2050: Sayansi na Teknolojia

Na mwandishi wetu, Gazetini SAYANSI na Teknolojia zinachochea ubunifu na kuongeza tija na ushindani. Hivyo basi, sayansi na teknolojia ni vichocheo muhimu vinavyoleta tija, ufanisi...

Vichocheo vya kufikia malengo ya Dira 2050: Nishati

Na mwandishi wetu, Gazetini UPATIKANAJI wa nishati ya uhakika ni kichocheo kikubwa cha ukuaji wa uchumi na maendeleo ya jamii. Umuhimu wa nishati unajidhihirisha kuanzia...

Vichocheo vya kufikia malengo ya Dira 2050: Usafirishaji fungamanishi 

Na mwandishi wetu, Gazetini VICHOCHEO vya maendeleo ni nyenzo muhimu katika kuongeza kasi ya kufikia malengo ya Dira 2050. Kwa kutambua hilo, Dira hii imebainisha...

Recent articles