Ads: info@gazetini.co.tz |
25.6 C
Dar es Salaam

Featured

Mastaa wa soka wenye elimu kubwa duniani

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa klabu za Valencia, Manchester United na Chelsea, Juan Mara, yumo kwenye orodha hii, akiwa na Shahada (Digrii) mbili. Digrii yake...

Pato: Baada ya kustaafu, siku hizi anakula maisha ukweni

RIO, Brazil UNAMKUMBUKA Alexandre Pato, kiungo wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil 'Selecao'? Alianza safari yake ya soka la kulipwa akiwa Internacional...

Beckham na mitego yake ya pesa inayompa maisha ya kibosi

LONDON, Uingereza MEI, 2026, Gazeti la Sunday Times lilimtaja David Beckham kuwa ndiye mwanamichezo pekee wa Uingereza aliyefikia hadhi ya kuitwa bilionea. Kwa mujibu wa chanzo...

Neymar astaafu Brazil ikitolewa

MIAMI, Marekani NEYMAR ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya soka ya Taifa ya Brazil, uamuzi uliokuja baada ya kikosi hicho kutolewa kwenye fainali za Kombe...

Waasi washambulia kambi ya jeshi

BAMAKO, Mali KIKUNDI cha waasi nchini Mali kimeishambulia kambi ya jeshi, pamoja na gereza, katika maeneo ya Kaskazini, Kati na Kusini, jirani na Mji Mkuu...

Kocha Tunisia aachia ngazi

TORONTO, Canada HERVE Renard ametangaza kujiuzulu katika kibarua chake cha kuinoa timu ya soka ya Taifa ya Tunisia. Mfaransa huyo ametema kibarua zikiwa ni siku 18...

Nchi zinazotegemea zaidi mafuta kutoka Mashariki ya Kati

Na mwandishi wetu, Gazetini UKWELI ulio wazi ni kwamba vita kati ya Marekani na Iran vimekuwa na athari kubwa katika uchumi wa dunia. Vita hivyo vimesababisha...

Ufaransa, Morocco kitawaka robo fainali

MIAMI, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa imetinga robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Paraguay. Ni...

Nchi zilizoandaa mara nyingi Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeandaliwa na nchi tatu; Marekani, Mexico na Canada. Tangu michuano hiyo ianze mwaka 1930, nchi...

Simba yabeba FA, yamaliza ukame wa miaka minne

Na Hassan Mwasha, Gazetini TUMERUDI! Simba imemaliza ukame wa miaka minne ya kupishana na taji la FA baada ya kulibeba msimu huu wa 2025-26 kwa...

Dube na hadithi ya maumivu iliyofikia tamati Yanga

Na Hassan Mwasha, Gazetini HIVI karibuni, Yanga iliachana na mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe, Prince Dube, ambaye amejiunga na Hardrock ya Ligi Kuu nchini humo....

Ramos: Shujaa anayefunikwa na kivuli cha Ronaldo

MIAMI, Marekani AKITOKEA benchi, aliukuta mchezo ukiwa sare ya bao 1-1, kisha akafunga na kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Ureno kupata ushindi wa...

Recent articles