Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

DATA

Mataifa yanayoongoza watu wake kwenda ughaibuni

Na mwandishi wetu, Gazetini NI kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa Idara ya Uchumi na Ustawi wa Jamii. Kwamba India inaongoza kwa raia...

Visual| Wakali 10 wa mauzo ya jezi Ulaya

LONDON, Uingereza MAUZO ya jezi ni sehemu muhimu ya vyanzo vya mapato ya klabu za soka duniani kote, zikivuna mabilioni ya fedha kutokana na biashara...

Visual| Miamba ya Benki Tanzania: NMB vs CRDB

Na mwandishi wetu, Gazetini BENKI za NMB na CRDB zimeendelea kuthibitisha ubora na uimara wao katika sekta ya fedha nchini baada ya kila moja kutangaza...

UN: Wasichana milioni 4.5 hatarini kukeketwa mwaka 2026

NEW YORK, Marekani RIPOTI mpya ya Umoja wa Mataifa (UN) inaonesha kuwa wasichana takribani milioni 4.5 duniani kote wako kwenye hatari ya kufanyiwa ukeketaji kwa...

Elon Musk avunja rekodi: Awa mtu wa kwanza duniani kumiliki zaidi ya dola bilioni 800

NEW YORK, Marekani Bilionea maarufu duniani, Elon Musk, ameweka historia mpya baada ya kuwa mtu wa kwanza kumiliki utajiri unaozidi dola bilioni 800, kufuatia hatua...

Visual| Nchi zinazoongoza kwa Pikipiki ‘bodaboda’ duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini PIKIPIKI ni chombo cha matairi matau kilichojizolea umaarufu mkubwa katika sekta ya usafirishaji. Wengi wanapoziita 'bodaboda' hulenga pikipiki za biashara, ingawa msingi...

Visual| Makocha bora 10 wa muda wote EPL

LONDON, Uingereza KWA miaka zaidi ya 33, Ligi Kuu ya England (EPL) imeshuhudia makocha wakiingia na kutoka, wachache tu wakimudu ushindani uliopo na kujijengea heshima...

Visual| Gen Z wafikia bilioni 1.9, Gen A waongoza duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mujibu wa takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu duniani, kwa sasa idadi ya vijana waliozaliwa...

Miji 10 kinara kwa ubora wa maisha Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini MAISHA katika miji yote barani Afrika yanatofautiana, hiyo ikitokana na gharama za maisha, ikiwamo uwezo wa watu wake kufanya manunuzi. Haiishii hapo....

Visual| Utajiri wa mafuta Venezuela: Hadithi ya ahadi na uhalisia

Na mwandishi wetu, Gazetini VENEZUELA inaendelea kushika nafasi ya kwanza duniani kwa utajiri wa akiba ya rasilimali ya mafuta, licha ya changamoto kubwa za kiuchumi...

Visual| Mabilionea 10 walioishika Dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mujibu wa Jarida maarufu la Forbes, mfanyabiashara wa Marekani, Elon Musk, ndiye binadamu mwenye fedha nyingi zaidi duniani. Utajiri wake...

Senegal v Misri … Mane, Salah wana vita ya kisasi AFCON 2025

RABAT, Morocco UKIACHA vita ya Nigeria na Morocco, nusu fainali nyingine kali msimu huu wa fainali za AFCON ni ile itakayozikutanisha Senegal dhidi ya Misri. Ratiba...

Recent articles