22.2 C
Dar es Salaam

DATA

Miji inayoongoza kwa mishahara minono duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI wa Deutsche Bank umefuatilia maisha ya miji 69 duniani na kubaini tofauti iliyopo katika mishahara wanayolipwa wafanyakazi kila mwezi. Aidha,...

Simba v Azam; Dk. 90 za kisasi, hasira za CAF

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI Jumapili ya wiki hii, ambapo Simba watakuwa wenyeji wa matajiri wa Chamazi, Azam FC, ukiwa ni mwendelezo wa mechi za...

Utafiti| Mataifa yanayoongoza kwa watu wake kuaminiana

Na mwandishi wetu, Gazetini NI kwa mujibu wa utafiti uliofanywa mwaka 2022 na kuchapishwa mwaka 2024, ukionesha kuwa Denmark, Norway, Finland, Sweden na Iceland ndiyo...

DCEA: Tumeanza kuwasaka mapapa waliojificha nje ya Nchi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza zaidi ya tani nne za dawa za kulevya zilizokuwa zikihifadhiwa...

Udumavu kwa watoto wapungua nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kiwango cha udumavu miongoni mwa watoto walio chini ya miaka mitano nchini kimepungua kutoka asilimia 48...

Chart| Kilimanjaro kinara kwa idadi ya wazee Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KULINGANA na takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), imebaini...

Chart| Liverpool yaongoza matumizi soko la usajili

MERSEYSIDE, England LIVERPOOL ndiyo klabu ya Ligi Kuu ya England iliyotumia fedha nyingi zaidi wakati wa dirisha kubwa la usajili wa kiangazi barani Ulaya. Usajili huo...

Chart| Ujuzi wa AI wazidi kuwa kigezo kwenye ajira duniani

Na Jonathan Benedict, Gazetini Idadi inayoongezeka ya viongozi duniani sasa wanazingatia ujuzi wa kutumia Akili Unde au bandia (AI) kama sharti lisiloweza kupuuzwa wakati wa...

Chart| Sababu kuu zinazowafanya watu kutumia Intaneti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Takwimu kutoka Global Web Index (GWI) zinaonyesha kuwa miongoni mwa watumiaji wa intaneti duniani wenye umri wa miaka 16 na kuendelea,...

CAF yaipanga Simba ya tano, Yanga ya 12 viwango vya ubora Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Klabu ya Simba SC imepanda hadi nafasi ya tano katika viwango vipya vya ubora vya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF),...

Recent articles

spot_img