28.2 C
Dar es Salaam

AFYA

Usiyoyajua kuhusu mimba zisizotarajiwa

Na mwandishi wetu, Gazetini MIMBA zisizotarajiwa ni janga linalopuuzwa, licha ya ukubwa wake duniani kote, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi...

Serikali yatoa siku 90 wamiliki kusajili maeneo ya kazi OSHA

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imewataka wamiliki wa maeneo ya kazi nchini ambao maeneo yao hayajasajiliwa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi...

Maganga: OSHA ina nafasi ya kuwezesha shughuli za uzalishaji

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mary Maganga, amesema Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa...

Dhana potofu juu ya saratani ya mapafu

Na mwandishi wetu, Gazetini SARATANI ya mapafu ni miongoni mwa magonjwa tishio ulimwenguni, ukitajwa kusababisha vifo zaidi ya milioni 1.8 kwa mwaka. Takwimu hizo ni za...

Utafiti: Unapenda nyama? Soma hii…

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya kupendwa zaidi na wakati mwingine kuonekana ni kipimo cha ufahari, ulaji wa myama za kuku, nguruwe na ng'ombe huweza...

Utafiti: Midoli ya plastiki hatari kwa watoto

Na mwandishi wetu, Gazetini HIYO ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wataalamu wa afya wanaojihusisha na masuala ya homoni nchini Ujerumani. Katika utafiti wao, wamebaini...

Wazalishaji bidhaa za batiki Dar wanufaika na mafunzo ya OSHA

Na mwandishi wetu, Gazetini WANAWAKE zaidi ya 200 wanaojihusisha na utengenezaji bidhaa za batiki wamenufaika na mafunzo ya usalama na afya yenye lengo la kuwajengea...

Dunia yaadhimisha Siku ya UKIMWI kwa onyo kali na wito wa kuchukua hatua

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Dunia leo Desemba 1, 2025, inaadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani, huku Umoja wa Mataifa ukitoa onyo kali kuhusu mustakabali wa mapambano...

WHO: Wanawake milioni 840 wamepitia unyanyasaji wa kijinsia

NEY YORK, MarekaniRIPOTI mpya ya Shirika la Afya ya Umoja wa Mataifa (WHO) imeeleza kuwa kati ya wanawake watatu, basi mmoja atakuwa amewahi kufanyiwa...

Ripoti| Kisonono kinazidi kuwa sugu; WHO yaonya kuongezeka kwa usugu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari kali kuhusu kuongezeka kwa usugu wa bakteria wanaosababisha kisonono dhidi ya dawa muhimu zinazotumika...

Dk. Mwigulu: Mafaili yamfuate mjamzito kitandani, marufuku

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba leo Novemba 15, 2025 amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma...

Magonjwa yanayoua zaidi Ulaya

Na Hassan Mwasha, GazetiniUTAFITI wa magonjwa ya moyo na kupooza ni chanzo cha vifo vingi zaidi katika nchi za Umoja wa Ulaya (EU), kwa...

Recent articles

spot_img