Na mwandishi wetu, Gazetini
MALARIA imeendelea kuwa changamoto kubwa barani Afrika, huku mataifa ya Nigeria, Jamhuri ya Kidemokrasia ya (DRC), Niger na Tanzania yakitajwa kuteswa...
LONDON, Uingereza
IDADI ya majeruhi na miili ya waliopoteza maisha imeongezeka kwa kasi, hivyo baadhi ya hospitali kuzidiwa. Ni nchini Iran, ambako maandamano yameendelea kushika...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amewataka wamiliki wa viwanda na maeneo mengine ya kazi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MIMBA zisizotarajiwa ni janga linalopuuzwa, licha ya ukubwa wake duniani kote, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI imewataka wamiliki wa maeneo ya kazi nchini ambao maeneo yao hayajasajiliwa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mary Maganga, amesema Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SARATANI ya mapafu ni miongoni mwa magonjwa tishio ulimwenguni, ukitajwa kusababisha vifo zaidi ya milioni 1.8 kwa mwaka.
Takwimu hizo ni za...
Na mwandishi wetu, Gazetini
LICHA ya kupendwa zaidi na wakati mwingine kuonekana ni kipimo cha ufahari, ulaji wa myama za kuku, nguruwe na ng'ombe huweza...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HIYO ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wataalamu wa afya wanaojihusisha na masuala ya homoni nchini Ujerumani.
Katika utafiti wao, wamebaini...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WANAWAKE zaidi ya 200 wanaojihusisha na utengenezaji bidhaa za batiki wamenufaika na mafunzo ya usalama na afya yenye lengo la kuwajengea...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Dunia leo Desemba 1, 2025, inaadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani, huku Umoja wa Mataifa ukitoa onyo kali kuhusu mustakabali wa mapambano...