TEHRAN, Iran
WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kupunguza athari za malaria, huku takwimu za hivi karibuni zikionyesha kupungua kwa vifo, maambukizi na wagonjwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI imesema jumla ya watu 3,557 wamepata ajali wakiwa kazini katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2025, huku watu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za...
EDINBURGH, Scotland
SARATANI ya kizazi ni moja ya saratani nne zinazotesa wanawake duniani, ikihusishwa pia na vifo vingi kwa jinsia hiyo.
Hata hivyo, hadithi ni tofauti...
KINSHASA, DRC
BARA la Afrika limepiga hatua kubwa tangu mwaka 2000 katika kukabiliana na vifo vya watoto wachanga, kwa mujibu wa utafiti wa Shirika la...
Na mwandishi wetu, Gazetini
LEO Aprili 25, 2026 ni Siku ya Malaria Duniani na kaulimbiu ni "Lengo ni Kutokomeza Malaria: Sasa Tunaweza. Tunapaswa Kutokomeza."
Kaulimbiu hiyo...
LYON, Ufaransa
MAMEYA na wawakilishi waandamizi wa Serikali za mitaa kutoka sehemu mbalimbali duniani Aprili6, 2026 wamekutana jijini Lyon nchini Ufaransa na kuzindua muungano wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MWIMBAJI maarufu duniani, Céline Dion, ametangaza rasmi kurejea jukwaani, miaka minne baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa sugu uliomuathiri sauti yake...
Na mwandishi wetu, Gazetini
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri...
NEW YORK, Marekani
TAHARUKI imezuka juu ya hali ya afya ya rapa maarufu wa Marekani, Lil Wayne, ambaye inaelezwa kuwa staa huyo hayuko sawa.
Hivi karibuni,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, amekutana na kufanya...