Ads: info@gazetini.co.tz |
25.1 C
Dar es Salaam

AFYA

Wagonjwa wa ‘AI’ kutumika mafunzo ya udaktari

Na mwandishi wetu, Gazetini DUNIA inakwenda kasi. Maendeleo ya sayansi na teknolojia yanaibua gunduzi zinazorahisha na kuleta ufanisi wa shughuli mbalimbali. Kwa sasa, fani ya udaktari...

Waziri Sangu azindua mafunzo ya usalama kwa wachimbaji wadogo Geita

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, amezindua kampeni ya mafunzo kwa wajasiriamali wadogo ambayo...

Utafiti: Kumfuatilia ‘ex’ wako ni hatari kwa afya yako

Na mwandishi wetu, Gazetini HUENDA ukawa unachukulia poa, lakini tabia ya kufuatilia kila anachoweka mpenzi wako wa zamani (ex) huko mitandaoni kunaweza kukusababisha matatizo ya...

Familia: Lungu hakulishwa sumu

LUSAKA, Zambia FAMILIA ya Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, imekanusha madai kuwa mwanasiasa huyo alikuwa kwa sumu. Lungu hajazikwa tangu alipofariki Juni, 2025 akiwa...

OSHA yaja na mpango wa kuwezesha biashara na uwekezaji nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umezindua mpango wake wa kushirikiana na Maafisa Biashara wa Mikoa na Wilaya...

Simulizi ya maisha ya ajuza wa miaka 101

BEIJING, China LICHA ya umri wake wa miaka 101, Jiang Yueqin haonekani ni mtu mwenye afya iliiyodhohofika. Bado ana meno yake yote 32 na amekuwa...

Mawani yanayosaidia wanaopoteza kumbukumbu

LOS ANGELES, Marekani KAMPUNI maarufu ya Animorph Co-operative imemtambulisha mawani ya kisasa, ambayo yatawasaidia wanaokabiliwa na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (dementia). Hata hivyo, Szczepan Orlins, ambaye...

Wakimbilia Bima ya Mazishi wakikwepa gharama ya Afya

HARARE, Zimbabwe WANANCHI wa Zimbabwe wamepokea kwa mwitiko mkubwa Bima ya Mazishi, ikiwa ni baada ya kushindwa kumudu gharama za Bima ya Afya. Ifahamike kuwa Bima...

Utafiti: Idadi ya ‘wanaojichua’ imeongezeka Uingereza

Na mwandishi wetu, Gazetini IDADI ya watu 'wanaojichua' imeongezeka kwa kasi nchini Uingereza, huku wengi wao wakiwa ni wanaume, licha ya wanawake pia kujihusisha na...

Mafanikio ya Rwanda maambukizi ya UKIMWI

KIGALI, Rwanda KWA miaka ya hivi karibuni, Rwanda imewekeza vya kutosha katika kukabiliana na ugonjwa wa Ukimwi, takwimu zinaeleza. Kwa mwaka 2024, maambukizi mapya ya virusi...

Marekani yajitoa WHO

WASHINGTON DC, Marekani SERIKALI ya Marekani imetangaza rasmi kujiondoa katika Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO). Rais Donald Trump alisaini agizo la kujitoa WHO...

Afya ya Besigye yazua hofu Uganda

KAMPALA, Uganda HALI ya afya ya mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, imeripotiwa kuwa mbaya wakati huu akiendelea kusota gerezani. Kwa mujibu wa kile...

Recent articles

spot_img