Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umezindua mpango wake wa kushirikiana na Maafisa Biashara wa Mikoa na Wilaya...
LOS ANGELES, Marekani
KAMPUNI maarufu ya Animorph Co-operative imemtambulisha mawani ya kisasa, ambayo yatawasaidia wanaokabiliwa na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (dementia).
Hata hivyo, Szczepan Orlins, ambaye...
HARARE, Zimbabwe
WANANCHI wa Zimbabwe wamepokea kwa mwitiko mkubwa Bima ya Mazishi, ikiwa ni baada ya kushindwa kumudu gharama za Bima ya Afya.
Ifahamike kuwa Bima...
Na mwandishi wetu, Gazetini
IDADI ya watu 'wanaojichua' imeongezeka kwa kasi nchini Uingereza, huku wengi wao wakiwa ni wanaume, licha ya wanawake pia kujihusisha na...
KIGALI, Rwanda
KWA miaka ya hivi karibuni, Rwanda imewekeza vya kutosha katika kukabiliana na ugonjwa wa Ukimwi, takwimu zinaeleza.
Kwa mwaka 2024, maambukizi mapya ya virusi...
WASHINGTON DC, Marekani
SERIKALI ya Marekani imetangaza rasmi kujiondoa katika Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO).
Rais Donald Trump alisaini agizo la kujitoa WHO...
KAMPALA, Uganda
HALI ya afya ya mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, imeripotiwa kuwa mbaya wakati huu akiendelea kusota gerezani.
Kwa mujibu wa kile...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MALARIA imeendelea kuwa changamoto kubwa barani Afrika, huku mataifa ya Nigeria, Jamhuri ya Kidemokrasia ya (DRC), Niger na Tanzania yakitajwa kuteswa...
LONDON, Uingereza
IDADI ya majeruhi na miili ya waliopoteza maisha imeongezeka kwa kasi, hivyo baadhi ya hospitali kuzidiwa. Ni nchini Iran, ambako maandamano yameendelea kushika...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amewataka wamiliki wa viwanda na maeneo mengine ya kazi...