Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesimamisha uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), pamoja na uongozi wa sasa wa kamati hiyo na kuunda uongozi wa muda, Mwenyekiti akiwa ni Ismail Aden Rage.


Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesimamisha uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), pamoja na uongozi wa sasa wa kamati hiyo na kuunda uongozi wa muda, Mwenyekiti akiwa ni Ismail Aden Rage.


© Gazetini News - Website developed by support@bluepearlhost.com
