22.9 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Mke amtaka Oscar kuacha soka

RIO, BrazilSTAA wa zamani wa Chelsea, Oscar, huenda akatangaza kutundika daluga kutokana na ushauri wa mkewe na familia.Oscar mwenye umri wa miaka 34, kwa...

Joshua, Paul sasa kuzichapa Desemba

LONDON, UingerezaIMERIPOTIWA kuwa kuna mazungumzo yanayoendelea vizuri kati ya kambi za mabondia Anthony Joshua na Jake Paul.Taarifa zinasema wawili hao watarushiana makonde katika pambano...

JKT Queens yalazimishwa sare, yaisubiri TP Mazembe

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa Wanawake, JKT Queens, wamelazimishwa sare ya bao 1-0...

Ramaphosa amjibu Trump ‘kususia’ Mkutano G20

JOHANNESBURG, Afrika Kusini RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemkosoa mwenzake wa Marekani, Donald Trump, kwa hatua yake ya kugoma kuhudhuria Mkutano Mkuu wa G20...

Kashfa ya rushwa yang’oa mawaziri Ukraine

KYIV, Ukraine MAWAZIRI wawili wa Serikali ya Ukraine wametangaza kujiuzulu baada ya kashfa ya rushwa kuitikisa sekta ya nishati nchini humo. Waliotangaza kuachia ngazi ni...

Simba v Atletico; Pantev ana kwa ana na kocha Barcelona

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI Simba ya kocha Dimitar Pantev dhidi ya Petro Atletico katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi unaotarajiwa kuchezwa Novemba...

Afrika Kusini kuondoshwa G20?

Na mwandishi wetu, GazetiniUHUSIANO wa Marekani na Afrika Kusini umezidi kudorora kwa siku za hivi karibuni na tayari Rais Donald Trump ametaka nchi hiyo...

Endrick; Alitabiriwa makubwa Brazil, sasa anasugua benchi Madrid

MADRID, HispaniaALIWAHI kutabiriwa kuwa staa mpya wa soka la Brazil, akitajwa kufuata nyayo za mastaa wengi waliwahi kupiga katika ardhi ya nchi hiyo, wakiwamo...

Slot ashauriwa ‘kumpotezea’ Salah

MERSEYSIDE, UingerezaMKONGWE wa Liverpool, Steve Nicol, anaamini ni wakati sasa kwa kocha Arne Slot kuacha kumpa nafasi staa wa timu hiyo, Mohamed Salah.Kwa mujibu...

Wachezaji Nigeria wagomea mazoezi wakidai posho

LAGOS, NigeriaMAANDALIZI ya timu ya soka ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles' kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Gabon yameingia mdudu baada ya wachezaji...

Vinicius ataka mshahara wa Mbappe

MADRID, HispaniaKWA mujibu wa kile kilichoripotiwa na Gazeti la Sport la Hispania, Vinicius Jr anataka alipwe mshahara sawa na Kylian Mbappe ili kubaki Real...

Mainoo kuondoka United, anukia Napoli

MANCHESTER, UingerezaNAPOLI imeendelea kumfuatilia kiungo wa Manchester United, Kobbie Mainoo, ikipanga kumsajili kwa mkopo ifikapo Januari, mwakani.Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, nyota huyo...

Recent articles

spot_img