22.9 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Utafiti| Mataifa yanayoongoza kwa watu wake kuaminiana

Na mwandishi wetu, Gazetini NI kwa mujibu wa utafiti uliofanywa mwaka 2022 na kuchapishwa mwaka 2024, ukionesha kuwa Denmark, Norway, Finland, Sweden na Iceland ndiyo...

Chelsea yasajili kinda wa miaka 16

LONDON, UingerezaKLABU ya Chelsea imeinasa saini ya kinda mwenye umri wa miaka 16 kutoka katika kikosi cha Independiente del Valle ya Ecuador, Deinner Ordonez.Independiente...

Wezi wanavyowanyima raha wanasoka Ulaya

LONDON, UingerezaTUKIO la Raheem Sterling kuvamiwa na majambazi akiwa na familia yake nyumbani limetikisa vyombo vya habari barani Ulaya, ikiwa ni mara ya pili...

Korea ya Kaskazini na mafanikio soka la wanawake

Na mwandishi wetu, GazetiniSOKA la wanawake nchini Korea ya Kaskazini limepata mafanikio makubwa katika miaka ya hivi karibuni, ambapo timu yake ya vijana wenye...

Mastaa wanaopatikana bure soko la usajili Ulaya

LONDON, UingerezaLICHA ya kwamba dirisha dogo halitafunguliwa hadi Januari, mwakani, kwa sasa klabu za soka barani Ulaya zinaruhusiwa kusajili wachezaji huru (waliomaliza mikataba).Makala haya...

Osimhen anavyoibeba Nigeria kufuzu Kombe la Dunia 2026

LAGOS, NigeriaTIMU ya Taifa ya Nigeria 'Super Eagles' imeingia fainali ya hatua ya mtoano (playoffs) ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani...

United imejipata au bado inajitafuta?

MANCHESTER, UingerezaMANCHESTER United chini ya kocha Ruben Amorim iliuanza vibaya msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL).Kati ya mechi sita za mwanzo, ilishinda...

Nini kinaikwamisha Liverpool, itatetea ubingwa EPL?

MERSEYSIDE, UingerezaLIVERPOOL iko taabani. Vipigo vitano katika mechi 11 walizocheza hivi karibuni. Kwa mujibu wa kocha wake, Arne Slot, bado ni mapema kuitoa Liverpool...

Wanasoka hawa hawajastaafu, wanapiga pesa Qatar

DOHA, QatarLIGI Kuu ya Qatar kwa sasa ni nyumbani kwa mastaa wengi wa soka waliowahi kutamba katika soka la Ulaya wakiwa na klabu mbalimbali,...

Hii hapa ratiba ya fainali za EURO 2028

LONDON, UingerezaSHIRIKISHO la Soka la Ulaya (UEFA) limeshatangaza ratiba ya fainali zijazo za Mataifa ya Ulaya, maarufu kwa jina la 'Euro 2028'.Ratiba inaonesha kuwa...

Mashabiki waziponza Al Ahly, Zamalek

CAIRO, MisriVURUGU za mashabiki wa Al Ahly na Zamalek katika 'derby' ya Super Cup zimesababisha klabu hizo kutozwa faini ya LE 100,000 (zaidi ya...

Kane aingia rada za mabosi Barcelona

CATALUNYA, HispaniaMATAJIRI wa klabu ya Barcelona wanaangalia uwezekano wa kuinasa huduma ya mpachikaji mabao wa Bayern Munich, Harry Kane.Mpango wa kumsajili Muingereza huyo umelenga...

Recent articles

spot_img