Ads: info@gazetini.co.tz |
23.8 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Ajali yaua waliotoka msibani

NAIROBI, Kenya WATU 25 waliokuwa wakirejea kutoka msibani wamefariki baada ya basi walilokuwa wamepanda kupata ajali huko Magharibi mwa Kenya. Kwa mujibu wa taarifa ya...

Bondia afariki baada ya kupigwa ‘KO’

TOKYO, JapanBONDIA raia wa Japan, Hiromasa Urakawa, amepoteza maisha ikiwa ni wiki moja tu tangu alipopoteza pambano lake kwa 'KO' mbele ya Yoji Saito.Pambano...

Rasheedat Ajibade: Staa Nigeria anayeitoa udenda PSG

PARIS, UfaransaKWA misimu minne mfululizo, Rasheedat Ajibade amekuwa mchezaji muhimu katika safu ya ushambuliaji ya Atletico Madrid na sasa PSG wanajaribu kuinasa saini ya...

Arsenal, City, Chelsea nani kuivua ubingwa Liverpool?

LONDON, EnglandMARA ya mwisho kwa Liverpool kuchukua mara mbili mfululizo taji la Ligi Kuu ya England (EPL) ni mwaka 1984. Je, watarudia maajabu hayo...

Kivuli cha rais kinavyoitesa Togo

LOME, TogoMIEZI mitatu iliyopita, siasa za Taifa la Togo zilitikiswa na hatua ya Rais Faure Gnassingbe kutangaza kujiuzulu. Tangu hapo, wadhifa huo umekuwa chini...

IWPG names Jeon Na Yeong as new Chairwoman

Seoul, South Korea The International Women’s Peace Group (IWPG) officially appointed Jeon Na Yeong as its new chairwoman during a farewell and inaugural ceremony held...

Frimpong kuziba pengo la Salah

MERSEYSIDE, EnglandKOCHA wa Liverpool, Arne Slot, amefichua kuwa atamtumia mchezaji wake mpya, Jeremie Frimpong, katika eneo analocheza staa wa timu hiyo, Mohamed Salah.Salah raia...

Ndidi rasmi ajiunga na Besiktas

ISTANBUL, UturukiVIGOGO wa Ligi Kuu ya Uturuki, Besiktas, wamethibitisha kuinasa saini ya kiungo wa kimataifa wa Nigeria, Wilfred Ndidi.Ndindi aliyeitumikia Leicester kwa miaka nane,...

Rais Ruto aendelea kumwaga fedha Harambee Stars

NAIROBI, KenyaILE ahadi ya Rais wa Kenya, William Ruto, kuwapa kitita cha fedha katika kila ushindi imeendelea kuwatajirisha wachezaji wa Harambee Stars.Rais Ruto aliahidi...

Bayern Munich yatema ubalozi Rwanda

MUNICH, UjerumaniKLABU ya Bayern Munich imesitisha mkataba wa kuitangaza sekta ya utalii ya Rwanda kupitia ujumbe wa ‘Visit Rwanda’ kwenye jezi zake.Hatua hiyo ya...

Nabi apata majanga, arudi Tunisia

PRETORIA, Afrika KusiniKOCHA wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi, atakosa mechi ya ufunguzi ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini baada ya mkewe...

Madrid wajitosa kumsajili Ter Stegen

MADRID, HispaniaKLABU ya Real Madrid imeanza harakati za kuinasa huduma ya mlinda mlango wa Barcelona, Marc-Andre Ter Stegen.Ripoti zinaeleza kuwa kocha wa Madrid, Xabi...

Recent articles