MANILA, Ufilipino
MAHAKAMA ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) itaendelea kumshikilia Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, baada ya ombi lake kugonga mwamba.
Duterte amekuwa kizuizini...
LAGOS, NigeriaZIPO taarifa zinazodai kuwa kwa sasa mama mzazi hataendelea kuwa meneja wa staa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy.Minong'ono ya Burna Boy kumsitishia...
MEXICO City, MexicoBEKI wa zamani wa Real Madrid, Sergio Ramos, ameachana na klabu yake ya Rayados inayoshiriki Ligi Kuu ya Mexico.Ramos, ambaye pia alikuwa...
MANCHESTER, EnglandMABOSI wa Manchester City wamemuweka kwenye rada zao kiungo wa kimataifa wa England, Elliot Anderson.Kwa mujibu wa taarifa, Man City inavutiwa na mchezaji...
MERSEYSIDE, UingerezaMSHAMBULIAJI mpya wa Liverpool, Florian Wirtz, huenda akatimka klabuni hapo ifikapo Januari, mwakani.Licha ya feha nyingi zilizotumika kumng'oa Bayern Leverkusen, Wirtz ameshindwa kung'ara...
LONDON, UingerezaCHELSEA watakuwa nyumbani Stamford Bridge kesho kuwaalika Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu, ambao ni 'derby' Jiji la London.Arsenal wanaongoza Ligi wakiwa na...
TOKYO, JapanKWA mara ya kwanza katika historia ya siasa za Japan, Sanae Takaichi amekuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi nyeti ya Waziri Mkuu.Wakati huo...
MUNICH, UjerumaniTANGU aliyojiunga na Bayern Munich akitokea Tottenham, mshambuliaji wa kimataifa wa England, Harry Kane, amefungia timu hiyo tangu Bundesliga jumla ya mabao 109...
Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI wa Taasisi ya Teknolojia ya Massachusetts (MIT) umebaini kuwa Kenya kwa sasa ndilo taifa linaloagiza kwa kiasi kikubwa zaidi nguo...
Na mwandishi wetu, GazetiniKAMPUNI maarufu ya teknolojia ya Apple inakabiliwa na kashfa nzito ikitajwa kunufaika na mgogoro wa muda mrefu unaoendelea Jamhuri ya Kidemokrasia...
Na mwandishi wetu, GazetiniSIKU chache zilizopita, maofisa waandamizi wa jeshi nchini Guinea-Bissau walitangaza kuipindua Serikali ya Rais Umaro Sissoco Embalo. Ni hatua iliyofuatiwa na...