Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

Infographics

Dk. Yonazi ateta na bosi mpya TACAIDS, Tanzania yaendelea kudhibiti UKWIMWI

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, amekutana na kufanya...

Ripoti: Tanzania kitovu kikuu cha uwekezaji wa madini duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imeendelea kuimarisha nafasi yake kama kivutio kikubwa cha uwekezaji wa kimataifa katika sekta ya madini, baada ya kuorodheshwa miongoni mwa...

Je, wewe unatumia teknolojia gani ya mtandao; 2G, 3G, 4G au 5G?

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA inaendelea kupiga hatua katika upatikanaji wa huduma za mawasiliano kupitia teknolojia mbalimbali za mitandao ya simu. Kwa mujibu wa ripoti ya...

Visual| Marais ving’ang’anizi wa madaraka duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini FEBRUARI 28, 2026 imeingia kwenye kumbukumbu baada ya kuwa ndiyo siku aliyouawa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika ...

Lebo zilivyogeuka ‘jeneza’ la Bongo Fleva

Na mwandishi wetu, Gazetini MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao. Mfano wa hivi karibuni ni...

Jay Z; Kutoka ‘uswazi’, kukimbizana na polisi hadi bilionea wa Hip hop

Na mwandishi wetu, Gazetini NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia...

Biashara haramu ya dawa tiba za kulevya, kengele mpya ya tahadhari

Na mwandishi wetu, Gazetini KUKAMATWA kwa chupa 1,795 za dawa tiba zenye asili ya kulevya katika basi la abiria lililokuwa likitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

Tsavorite; Hazina ya kijani na fahari ya Tanzania isiyojulikana

Na Wizara ya Madini, Dodoma KATIKA safu ya madini adimu ya vito yanayotambulika katika masoko ya kimataifa, Tsavorite ya Tanzania imeendelea kujijengea nafasi ya kipekee,...

Yanga, Simba zafikisha sare ya 44 ‘derby’ ya Kariakoo

Na mwandishi wetu, Gazetini ACHANA na tambo za mashabiki, sare ya kutokufungana ndiyo iliyohitimisha dakika 90 za mchezo wa 'derby' ya Kariakoo kati ya wenyeji...

Ayatollah Ali Khamenei; Maisha, mamlaka na migogoro ya Iran

TEHRAN, Iran HABARI kubwa kwa sasa katika siasa za ulimwengu ni hatua ya Marekani na Israel kuishambulia kwa mabomu nchi ya Iran. Kubwa zaidi, ni mashambulizi...

Sekta ya anga Tanzania yavutia mashirika mapya ya ndege, abiria waongezeka

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imeendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika sekta ya usafiri wa anga kwa kuimarisha miundombinu ya viwanja vya ndege, hatua iliyochangia...

Kim Kardashian na wanaume 14 aliotoka nao kimapenzi

LOS ANGELES, Marekani STORI inayobamba kwa sasa kwenye tasnia ya burudani nchini Marekani ni hii ya mrembo Kim Kardashian kuanika penzi lake jipya na staa...

Recent articles