WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa inaweza “kuangamizwa ndani ya usiku mmoja” endapo haitafikia makubaliano kabla ya muda wa mwisho...
LYON, Ufaransa
MAMEYA na wawakilishi waandamizi wa Serikali za mitaa kutoka sehemu mbalimbali duniani Aprili6, 2026 wamekutana jijini Lyon nchini Ufaransa na kuzindua muungano wa...
LONDON, Uingereza
ARSENAL wanaangalia uwezekano wa kuanza na mshambuliaji wa Barcelona, Dani Olmo, pindi tu dirisha kubwa la usajili la kiangazi litakapofunguliwa.
Ripoti zinaeleza kuwa Arsenal...
LONDON, Uingereza
WAANDAAJI wa Tamasha la Wireless wametangaza kufutwa kwa tamasha la mwaka huu kufuatia uamuzi wa serikali ya Uingereza kumzuia msanii maarufu YE, anayejulikana...
KAMPALA, Uganda
SERIKALI ya Marekani imewahamishia nchini Uganda wahamiaji haramu nane, ukiwa ni utekelezaji wa mkataba uliosaniwa mwaka jana kati ya mataifa hayo.
Wizara ya Mambo...
LONDON, Uingereza
WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanapewa nafasi kubwa ya kumsajili mshambuliaji wa RB Leipzig ya Bundesliga, licha ya Liverpool nao kumtolea macho.
Nyota huyo...
MANCHESTER, Uingereza
MANCHESTER United imetenga kitita cha Pauni milioni 39 ili kufanikisha usajili wa kiungo wa Villarreal, Pape Gueye.
Gueye amekuwa na msimu mzuri, ambapo amefunga...
MERSEYSIDE, Uingereza
KLABU ya Liverpool iko katika hatua nzuri ya kumsainisha mkataba mpya beki wake wa kati raia wa Ufaransa, Ibrahima Konate.
Konate alijiunga na Liverpool...
MANCHESTER, Uingereza
PEP Guardiola na vijana wake wa Manchester City wameandika historia ya aina yake baada ya ushindi wa mabao 4-0 walioupata dhidi ya Liverpool.
Erling...
MADRID, Hispania
NEWCASTLE United imeingia kwenye harakati za kumsajili straika wa Real Madrid, Gonzalo Garcia.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, amecheza mechi 32 za...
Na Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) wa Dk. James...
LONDON, Uingereza
KLABU za Manchester City, Liverpool na Chelsea zinapigana vikumbo kuiwania huduma ya beki wa Barcelona raia wa Ufaransa, Jules Kounde.
Kounde alitua Barcelona mwaka...