Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Featured

Joto lasababisha vifo 1,000 nchini Hispania

MADRID, Hispania WATU zaidi ya 1,000 wamepoteza maisha kutokana na magonjwa yanayohusiana na kuongezeka kwa joto nchini Hispania. Taarifa hiyo inakuja wakati Hispania ikiwa imepata ongezeko...

Mafuriko yatikisa Ghana, yaua watu 12

ACCRA, Ghana WATU 12 wameripotiwa kupoteza maisha katika mafuriko yaliyotokea katika maeneo mbalimbali nchini Ghana, ukiwamo Mji Mkuu wa Accra. Mvua iliyonyesha ni ya kiwango cha...

Mashabiki wafariki wakishangilia ushindi Mexico

MEXICO CITY, Mexico MASHABIKI wawili wa kandanda wamepoteza maisha nchini Mexico wakati wakishangilia ushindi wa timu yao ya Taifa. Tukio hilo limetokea baada ya Mexico kupata...

Drogba aibuka, alia na VAR

MIAMI, Marekani LEJENDARI wa timu ya soka ya Taifa ya Ivory Coast, Didier Drogba, ameeleza kusikitishwa na uamuzi wa VAR kuwanyima penalti. Drogba anazungumzia mchezo wao...

Kane avunja rekodi ya Pele, DRC yang’oka

MIAMI, Marekani NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya England, Harry Kane, amempiku mkongwe wa soka la Brazil, Pele, kwa idadi ya mabao kwenye...

Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya kuitangaza Tanzania Duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dk. Jim Yonazi, amesema maandalizi ya Michuano ya Kombe...

Mshukiwa mauaji ya Rwanda akamatwa Ujerumani

MUNICH, Ujerumani WAENDESHA mashitaka wa Ujerumani wamethibitisha kukamatwa kwa mwanaume anayehusishwa na mauaji ya halaiki yaliyotokea Rwanda mwaka 1994. Mwaka huo, Rwanda iliingia kwenye machafuko ya...

Fei Toto na maumivu yake, wageni na ubabe wao ufungaji bora

Na Hassan Mwasha DAKIKA 90 tu za mchezo kati ya Fountain Gate na Singida Black Stars ndizo zilizopeperusha ndoto ya Feisal Salum 'Fei Toto' kuwa...

Soma hapa kama unatumia WhatsApp

LOS ANGELES, Marekani WHATSAPP ni miongoni mwa mitandao ya kijamii yenye ushawishi mkubwa, ukitajwa kuwa na watumiaji zaidi ya bilioni tatu duniani kote. Sasa, imezoeleka kuona...

FBI ilivyonasa ‘drone’ zilizolenga kutibua Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zikiendelea, moja ya vipaumbele katika nchi wenyeji - Marekani, Mexico na Canada...

Unaifahamu Siku ya Mitandao ya Kijamii duniani?

LOS ANGELES, Marekani JUNI 30 ya kila mwaka ni Siku ya Mitandao ya Kijamii duniani. Ni siku iliyoasisiwa mwaka 2010 na tovuti ya Mashable kwa...

Mtibwa yaelekea maisha mapya Championship

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKONGWE wa soka la Morogoro, Mtibwa Sugar, wameiaga rasmi michuano ya Ligi Kuu Bara, hivyo msimu ujao watacheza Ligi Daraja la...

Recent articles