Ads: info@gazetini.co.tz |
21.5 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Makocha wazawa Afrika watakaotamba Kombe la Dunia 2026

CAIRO, MisriKWA mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Dunia, fainali za mwakani zitazihuhudia timu nyingi za Afrika zikiwa chini ya makocha wazawa.Kati...

Antoine Semenyo; Mkali wa mabao anayegombewa Ligi Kuu ya England

LONDON, UingerezaWINGA wa Bournemouth raia wa Ghana, Antoine Semenyo, atauzwa endapo tu klabu zinazomtaka zitaweka mezani kitita cha Pauni milioni 65.Semenyo (25), alikuwa kwenye...

Marekani: Tumefikia pazuri kumaliza vita Urusi-Ukraine

WASHINGTON, Marekani SERIKALI ya Marekani kupitia kwa Katibu Mkuu wake, Marco Rubio, imeeleza kufikia pazuri katika jitihada za kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine....

Wanafunzi 50 wawatoroka waasi Nigeria

LAGOS, NigeriaTUKIO la kikundi cha waasi nchini Nigeria kuvamia moja ya shule na kuteka wanafunzi 315 limechukua sura mpya.Wanafunzi hao walivamiwa Ijumaa ya wiki...

Israel yamuua kiongozi wa Hezbollah

JARUSALEM, IsraelIMERIPOTIWA kuwa kiongozi mwandamizi wa Kundi la Hezbollah la Lebanon, Haitham Ali al-Tabtabai, ameuawa katika shambulizi lililofanywa na vikosi vya Israel.Kwa mujibu wa...

Casemiro aombwa kupunguza mshahara United

MANCHESTER. UingerezaMABOSI wa Manchester United wameanza harakati za kumshawishi kiungo wake, Casemiro, asaini mkataba mpya klabuni hapo.Hata hivyo, ushawishi huo unaenda sambamba na mabosi...

Konate kulamba mkataba mpya Liverpool

MERSEYSIDE, UingerezaMABOSI wa Liverpool wamempa ofa ya mkataba mpya beki wake wa kati raia wa Ufaransa, Ibrahima Konate.Hatua hiyo ya Liverpool inakuja wakati huu...

Bellingham aiokoa Madrid, yarudi kileleni

MADRID, HispaniaUSIKU wa kuamkia leo, kiungo wa Real Madrid, Jude Bellingham, alifunga bao moja na kutoa 'asisti' katika mchezo dhidi ya Elche.Mchezo huo wa...

Waasi wavamia shule, wateka watu 300

LAGOS, NigeriaWATU wenye silaha waliodhaniwa kuwa ni miongoni mwa vikundi vya waasi wameteka watu 300, wakiwamo wanafunzi, baada ya kuvamia shule ya Kikatoliki.Idadi hiyo...

Mafuriko yaua watu 90

HANOI, VietnamWATU takribani 90 wamepoteza maisha na wengine 12 hawajulikana walipo kutokana na mvua kubwa iliyosababisha mafuriko nchini Vietnam.Kwa mujibu wa taarifa ya Serikali,...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Ivory Coast (42)

ABIDJAN, Ivory CoastTAIFA hilo la Afrika ya Magharibi linashika nafasi ya 42 katika viwango vya ubora wa soka duniani. Ivory Coast iliwahi kuwa ya...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Korea ya Kusini (41)

SEOUL, Korea ya KusiniKWA sasa, Korea Kusini inashika nafasi ya 22 katika viwango vya ubora wa soka duniani. Iliwahi kupanda hadi nafasi ya 17...

Recent articles