DHAKAN, BangladeshALIYEKUWA Waziri Mkuu waBangladesh, Sheikh Hasina, amehukumiwa kifo kutokana na mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu.Sheikh Hasina anatajwa kuamrisha vyombo vya dola kutekeleza...
Na mwandishi wetu, GazetiniTANGU kuanzishwa kwake mwaka 1901, Tuzo ya Amani ya Nobel imekuwa ikiheshimiwa duniani kote, ikitambua jitihada za watu au taasisi katika...
Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI mpya umeitaja Afrika Kusini kuwa ndiyo nchi ambayo wananchi wake wanatumia muda mwingi mitandaoni.Ripoti ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya...
MADRID, HispaniaKABLA ya kusajiliwa na Real Madrid, Kylian Mbappe alishafunga mabao 329 na kutwaa mataji 17 katika maisha yake ya soka.Ikumbukwe, Mbappe bado ni...
MEXICO City, MexicoBADO maelfu ya raia wa Mexico wameendelea kuingia barabarani wakishinikiza mabadiliko makubwa kwenye vyombo vya usalama.Ikumbukwe, hasira za waandamanaji, ambao wengi wao...
MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amewataka mabosi wa klabu hiyo kufanikisha usajili wa kiungo wa Nottingham Forest, Elliot Anderson.Awali, Man United walikuwa...
RIO, BrazilKOCHA wa timu ya taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amesema beki wake, Gabriel, atafanyiwa vipimo baada ya majeraha aliyopata katika mchezo dhidi ya...
DOHA, QatarSERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imesaini mkataba wa amani na wapiganaji wa Kundi la waasi la M23 mjini Doha, Qatar.Ifahamike...
CAIRO, Misri
MSIMU huu wa fainali za Mataifa Afrika (AFCON) utaanza Desemba 21, mwaka huu, na kumalizika Januari 18, mwakani.
Kama ilivyo kawaida, fainali hizo huzipa...
New York, MAREKANI
MICHELLE Obama ambaye ni mke wa Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amesema katika mahojiano ya hivi karibuni kwamba bado Marekani...
LAGOS, Nigeria
KAMA ilivyo duniani kote, tasnia ya burudani, likiwamo soko la muziki, imeendelea kuwa chanzo kikubwa cha utajiri kwa mastaa nchini Nigeria. Kwa wanamuziki,...