30.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Jonathan Barnett; Wakala wa soka na kashfa ya ubakaji

LONDON, UingerezaUPEPO unavuma vibaya kwa Jonathan Barnett, ambapo wakala huyo wa soka anakabiliwa na mashitaka ya ubakaji mjini London.Kwa mujibu wa kile kilichoelezwa mahakamani,...

Ripoti| Kisonono kinazidi kuwa sugu; WHO yaonya kuongezeka kwa usugu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari kali kuhusu kuongezeka kwa usugu wa bakteria wanaosababisha kisonono dhidi ya dawa muhimu zinazotumika...

Neymar kuibukia England Januari?

RIO, BrazilMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Brazil, Neymar, atakuwa mchezaji huru katika usajili wa dirisha dogo la usajili hapo Januari, mwakani. Mkataba wake na Santos...

Super Eagles ilivyokwama kufuzu Kombe la Dunia

LAGOS, NigeriaLICHA ya kuwa na kikosi chenye mastaa Victor Osimhen, Ademola Lookman na Alex Iwobi, timu ya soka ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles'...

Hivi hapa vyuo vikuu 10 bora Afrika

PRETORIA, Afrika KusiniAFRIKA, kama ilivyo kwa mabara mengine duniani, imeendelea kuwekeza katika elimu ya juu, ikishuhudia mamilioni ya wahitimu wa vyuo vikuu wakiingia kwenye...

Joshua, Paul nani kupigwa ‘KO’?

LONDON, UingerezaBAADA ya tetesi nyingi na za muda mrefu, sasa ni rasmi kuwa Anthony Joshua na Jake Paul watapanda ulingoni kurushiana makonde.Ni pambano la...

Haaland na safari yake ya kwanza Kombe la Dunia 2026

MANCHESTER CITY, UingerezaNDOTO imetimia! Mshambuliaji wa kati wa Manchester City, Erling Haaland, atacheza kwa mara ya kwanza Kombe la Dunia wakati timu yake ya...

Usichokijua mazungumzo ya Rais Trump, Mfalme wa Saudi Arabia

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA mara ya kwanza tangu kusitishwa kwa mapigano kati ya Israel na Palestina katika Ukanda wa Gaza, Mfalme wa Saudi Arabia,...

Kilichomponza Waziri Mkuu aliyehukumiwa kifo

Na mwandishi wetu, GazetiniWAZIRI Mkuu wa zamani wa Bangladesh, Sheikh Hasina, amehukumiwa kifo baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya uhalifu dhidi ya...

Ukiacha Messi, hawa nao wanakipiga Ligi Kuu ya Marekani

LONDON, UingerezaKWA miaka mingi ya hivi karibuni, Ligi Kuu ya Marekani (MLS) imekuwa ikipokea wachezaji wenye majina makubwa kutoka katika klabu za barani Ulaya,...

Kocha Nigeria: DRC walitumia uchawi kutufunga

RABAT, MoroccoBAADA ya timu ya soka ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles' kufungwa na DRC, kocha wake, Eric Chelle, ameibua shutuma nzito dhidi ya...

Waziri Mkuu Bangladesh ahukumiwa kifo

DHAKAN, BangladeshALIYEKUWA Waziri Mkuu waBangladesh, Sheikh Hasina, amehukumiwa kifo kutokana na mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu.Sheikh Hasina anatajwa kuamrisha vyombo vya dola kutekeleza...

Recent articles

spot_img