Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

Infographics

Waliondoka Simba, Yanga wakatwaa ubingwa wa CAF

Na Hassan Mwasha, Gazetini MC Alger kutwaa taji la michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika wikiendi iliyopita, ambapo iliifunga Zamalek kwa penalti 8-7, ni stori...

Maeneo 9 ya kujivunia Wizara ya Maliasili na Utalii

Na Hassan Mwasha, Gazetini BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jumatatu, Mei 18, 2026 limepitisha Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka...

‘Kasi ya mapambano dhidi ya Ukimwi imepungua duniani’

NEW YORK, Marekani NI kwa mujibu wa Mpango wa Ukimwi wa Umoja wa Mataifa (UNAIDS), ikielezwa kuwa vita dhidi ya Ukimwi imepungua duniani kutokana na...

Usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa Ebola unaoitesa DRC

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limetangaza hali ya dharura inayohitaji uangalizi wa kimataifa baada ya mlipuko wa ugonjwa...

Ufalme wa Chama: Jinsi alivyotawala soka la Bongo

Na Hassan Mwasha, Gazetini MJADALA mkubwa kwa sasa katika soka la Tanzania, hasa Ligi Kuu Bara, ni kiwango bora alichonacho kiungo wa kimataifa wa Zambia,...

Yanga, Simba kama Arsenal, Man City tu hesabu za ubingwa

Na Hassan Mwasha,Gazetini KWA mashabiki wa soka wa Tanzania, macho na masikio yao yameelekezwa katika vita mbili kubwa. Ubingwa wa Ligi Kuu Bara na ile...

Mafanikio sekta ya afya nchini 2021-26

Na Hassan Mwasha, Gazetini KATIKA moja ya nukuu zake maarufu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kutaja maradhi kuwa ni moja ya maadui watatu wa Taifa...

Mapinduzi ya sekta ya reli nchini Tanzania

Na Hassan Mwasha, Gazetini MOJA ya hatua kubwa zilizopigwa na Shirika la Reli nchini (TRC) ni kuondokana na utegemezi kwa Serikali, ambapo katika Mwaka wa...

Mafanikio na maboresho sekta ya bandari nchini

Na Hassan Mwasha, Gazetini KASI kubwa ya maendeleo imeshuhudiwa katika bandari za mwambao wa Bahari ya Hindi na Maziwa Makuu, ikiwamo uboreshaji wa miundombinu unaochagiza...

Makubwa ya kufahamu kuelekea Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza NI takribani mwezi mmoja umebaki kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu. Michuano hiyo itaanza Juni 11, 2026,...

Museveni amekana kivuli chake akiwa amesahau au makusudi?

Na Hassan Mwasha, Gazetini RAIS Yoweri Museveni ameapishwa kuanza awamu yake ya saba baada ya ushindi katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Januari, 2026, akiandika historia ya...

Tunachofahamu kuhusu matumizi ya gesi asilia Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KWA mujibu wa Serikali hadi Aprili 2026 jumla ya nyumba 2,512 zimeunganishwa na huduma ya gesi asilia katika mikoa ya Mtwara,...

Recent articles