BOGOTA, Colombia
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa Mei 31, 2026, Colombia imekuwa kwenye mfululizo wa matukio ya vurugu, yakihusisha pia kutekwa na hata kuuawa kwa wanasiasa.
Hali...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS Donald Trump ameendelea kuwashutumu wapiganaji wa jamii ya Wakurdi akidai kuwa walificha silaha walizopewa na Marekani wakati wa maandamano makubwa ya...
HAVANA, Cuba
SERIKALI ya Cuba imeagiza ndege zisizo na rubani (drones) zaidi ya 300 wakati huu uhusiano wake na Marekani ukiwa kwenye hali mbaya.
Mataifa hayo...
PRETORIA, Afrika Kusini
KWA sasa, Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini anakabiliwa na tishio la kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na rais. Amekuwa madarakani tangu...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
RAIS Yoweri Museveni ameapishwa kuanza awamu yake ya saba baada ya ushindi katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Januari, 2026, akiandika historia ya...
BUJUMBURA, Burundi
MVUTANO wa kisiasa umeanza kuongezeka nchini Burundi baada ya vyama vikuu vya upinzani kutangaza kusitisha ushiriki wao katika uchaguzi wa rais wa mwaka...
JOHANNESBURG, Afrika Kusini
RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, anakabiliwa na presha mpya ya kisiasa baada ya Mahakama ya Katiba kuamua kuwa Bunge lilikosea kisheria...
LAGOS, Nigeria
NIGERIA itafanya Uchaguzi Mkuu wake mwaka 2027, huku suala la usalama likiendelea kuwa 'pasua kichwa' katika maeneo mengi ya Taifa hilo.
Pia, utawala wa...
JERUSALEM, Israel
WAZIRI Mkuu wa Israel, Banjamin Netanyahu, anakabiliwa na upinzani mkali katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika mwishoni mwa Oktoba, 2026.
Ni baada ya vyama vikubwa...
WASHINGTON DC, Marekani
SAKATA la mtuhumiwa wa tukio la kufyatua risasi katika halfa aliyokuwemo Rais Donald Trump limechukua sura mpya.
Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka...
WASHINGTON, Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema wawakilishi wa nchi hiyo wanaelekea Islamabad kwa ajili ya mazungumzo yanayolenga kupunguza mvutano kati ya Marekani na...