Ads: info@gazetini.co.tz |
27.2 C
Dar es Salaam

Siasa

Mfalme wa Norway afariki akiwa na miaka 89

OSLO, Norway MFALME wa Norway, Harald V, amefariki akiwa na umri wa miaka 89, zikiwa ni siku chache zimepita tangu alipopelekwa hospitali kwa ajili ya...

‘Uchawa’, fitina vyatajwa Dk. Nchimbi kujiuzulu, kufutwa CCM

Na Hassan Mwasha, Gazetini HATUA ya Dk. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais, na kisha kuvulishwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imemuibua...

Safari ya Ndejembi kurithi mikoba ya Dk. Nchimbi

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE kiatu cha Dk. Emmanuel Nchimbi katika nafasi ya Makamu wa Rais kimevaliwa na Deogratius John Ndejembi. Ni uamuzi uliotangazwa jana...

Sekta nyeti ‘walizofunga’ Marekani uchumi wa Iran

TEHRAN, Iran KATIBU Mkuu wa Hazina ya Marekani, Scott Bessent, amesema si tu Iran, bali hata nchi, taasisi na mashirika yatakayofanya biashara na Iran yataingia...

China inavyoua biashara ya magari Ujerumani

BERLIN, Ujerumani BMW imekuwa kampuni ya tano ya utengenezaji magari nchini Ujerumani kutangaza kupunguza wafanyakazi. Kampuni zilizotangulia kuchukua hatua hiyo ni VW, Porsche na Mercedes-Benz. Hatua...

Nchi zenye ‘sura ya ugaidi’ mbele ya Marekani

LOS ANGELES, Marekani MAREKANI imeiondoa Syria katika orodha ya nchi inazoamini zinafadhili vitendo vya kigaidi (SSOT). Hatua hiyo ni mwendelezo wa uhusiano mzuri wa mataifa...

Nchi zinazoongoza kwa uzalishaji wa dhahabu duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini CHINA ndiyo nchi inayoongoza kwa uzalishaji wa madini ya dhahabu duniani. Uzalishaji wake umeongezeka kwa asilimia 9 kutoka tani 351 mwaka...

DK. Nchimbi afutwa uanachama CCM

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Asharose Migiro, amesema Halmashauri Kuu ya CCM imeamua kumfukuza uanachama aliyekuwa Makamu wa...

Siasa zinawahitaji Kikwete, Mbowe na Heche

Na Hassan Mwasha, Gazetini HISTORA inaweza kuzitaja skendo za ufisadi za ESCROW na RICHMOND kama nyakati mbaya zaidi katika utawala wa Serikali ya Awamu ya...

Nchi zilizo hatarini kwa kufanya biashara na Iran

WASHINGTON DC, Marekani HIVI karibuni, Marekani ilizitangazia ‘kiama’ nchi zinazofanya biashara na Iran, ikisema nazo zitakumbana na vikwazo vya kiuchumi. Iran imekuwa kwenye vikwazo vya...

Serikali, M23 na safari ya kutafuta amani DRC

KINSHASA, DRC WAWAKILISHI wa Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Kundi la waasi la M23 wamekutana mjini Geneva, Uswis, na kukubaliana kuweka...

Siku 14 za Rais Samia kufanya uamuzi, ‘utata’ wa Dk. Nchimbi

Na Hassan Mwasha, Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ana siku 14, kwa mujibu wa Ibara ya 50(4) ya...

Recent articles