30.4 C
Dar es Salaam

Siasa

Kuelekea Uchaguzi, Museveni azima mitandao

KAMPALA, Uganda KUELEKEA Januari 15, 2026, ambayo ndiyo siku ya Uchaguzi Mkuu wa Uganda, Serikali nchini humo inayoongozwa na Rais Yoweri Museveni imeagiza kuzimwa kwa...

Bobi Wine; Nguvu ya ‘Gen Z’ itampeleka Ikulu?

Na mwandishi wetu, Gazetini KUTOKA maisha ya 'kuungaunga' katika makazi ya watu wa kipato cha chini mjini Kampala, na sasa ni mwanasiasa maarufu na anayempa...

Wapinzani wagomea matokeo Uchaguzi Mkuu CAR

Na mwandishi wetu, Gazetini WAGOMBEA wa vyama vya upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) uliofanyika hivi karibuni wameyakataa matokeo yaliyotangazwa...

Delcy Rodríguez aapishwa rais wa mpito, aitaka Marekani imwachilie Maduro

CARACAS, Venezuela DELCY Rodríguez ameapishwa kuwa rais wa mpito wa Venezuela katika kikao cha Bunge kilichoanza kwa wito wa kumwachilia huru rais aliyeondolewa madarakani na...

Siku 34 za msako wa Maduro, hatimaye Marekani imemtia mkononi

WASHINGTON DC, Marekani BAADA ya miezi mingi ya Marekani kuzishambulia kwa risasi na mabonu boti za Venezuela kwa madai ya kusafirisha dawa za kulevya, hatimaye...

Matukio muhimu siasa za Afrika 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini HAKIKA ulikuwa ni mwaka wa kashikashi nyingi katika uga wa siasa barani Afrika. Ndiyo, ni mwaka 2025.Ni yapi matukio yaliyoacha alama...

Kiongozi wa jeshi atangazwa rais mpya Guinea

Na mwandishi wetu, Gazetini JENERALI wa jeshi, Mamady Doumbouya, ametangazwa kuwa mshindi wa kinyang'anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni nchini Guinea. Kwa mujibu...

Kuelekea Uchaguzi Mkuu Uganda 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini UCHAGUZI Mkuu wa Uganda unatarajiwa kufanyika Januari 15, mwakani, ambapo Rais Yoweri Museveni anawania muhula wake wa saba madarakani. Wakati Rais Museveni...

Tofauti ya umri wa kupiga kura duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mujibu wa Wikipedia, bado umri wa kuanza kupiga kura kwa mataifa mengi duniani ni miaka 18, ingawa kwa baadhi ya...

Mataifa 7 yasiyotambua demokrasia

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya mataifa mengi duniani kutambua na Serikali zake kuendeshwa kwa misingi ya demokrasia, yapo baadhi yasiyotambua utaratibu huo. Kwa takwimu za...

ICC yamfunga miaka 20 kiongozi wa jeshi Sudan

DARFUR, Sudan MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imemuhukumu kifungo cha miaka 20 aliyekuwa kiongozi wa kikundi cha kijeshi cha Janjaweed nchini Sudan. Ali Muhammad Ali...

Nyuma ya pazia ugomvi wa Rais Trump, Maduro

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kumpa presha mwenzake wa Venezuela, Nicolas Maduro.Hivi karibuni, utawala wa Trump ulitangaza kuongeza mara mbili zawadi...

Recent articles

spot_img