KAMPALA, Uganda
KUELEKEA Januari 15, 2026, ambayo ndiyo siku ya Uchaguzi Mkuu wa Uganda, Serikali nchini humo inayoongozwa na Rais Yoweri Museveni imeagiza kuzimwa kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUTOKA maisha ya 'kuungaunga' katika makazi ya watu wa kipato cha chini mjini Kampala, na sasa ni mwanasiasa maarufu na anayempa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAGOMBEA wa vyama vya upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) uliofanyika hivi karibuni wameyakataa matokeo yaliyotangazwa...
CARACAS, Venezuela
DELCY Rodríguez ameapishwa kuwa rais wa mpito wa Venezuela katika kikao cha Bunge kilichoanza kwa wito wa kumwachilia huru rais aliyeondolewa madarakani na...
WASHINGTON DC, Marekani
BAADA ya miezi mingi ya Marekani kuzishambulia kwa risasi na mabonu boti za Venezuela kwa madai ya kusafirisha dawa za kulevya, hatimaye...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HAKIKA ulikuwa ni mwaka wa kashikashi nyingi katika uga wa siasa barani Afrika. Ndiyo, ni mwaka 2025.Ni yapi matukio yaliyoacha alama...
Na mwandishi wetu, Gazetini
JENERALI wa jeshi, Mamady Doumbouya, ametangazwa kuwa mshindi wa kinyang'anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni nchini Guinea.
Kwa mujibu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UCHAGUZI Mkuu wa Uganda unatarajiwa kufanyika Januari 15, mwakani, ambapo Rais Yoweri Museveni anawania muhula wake wa saba madarakani.
Wakati Rais Museveni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
LICHA ya mataifa mengi duniani kutambua na Serikali zake kuendeshwa kwa misingi ya demokrasia, yapo baadhi yasiyotambua utaratibu huo.
Kwa takwimu za...
DARFUR, Sudan
MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imemuhukumu kifungo cha miaka 20 aliyekuwa kiongozi wa kikundi cha kijeshi cha Janjaweed nchini Sudan.
Ali Muhammad Ali...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kumpa presha mwenzake wa Venezuela, Nicolas Maduro.Hivi karibuni, utawala wa Trump ulitangaza kuongeza mara mbili zawadi...