Ads: info@gazetini.co.tz |
27.2 C
Dar es Salaam

Siasa

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya kwanza, tuliona mwandishi wa habari wa Marekani, Miller, akimuuliza Osama kilichomsukuma kuacha utajiri wake na kuingia kwenye uwanja...

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini MWANDISHI wa habari wa kituo cha televisheni cha ABC cha Marekani, John Miller, anasimulia mahojiano aliyofanya Mei, 1998, na aliyekuwa kiongozi...

Marais ‘wazee’ waliogoma kuachia madaraka Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini PAUL Biya wa Cameroon ana umri wa miaka 93. Amekuwa Ikulu tangu mwaka 1982 na sasa anatumikia muhula wake wa nane...

Mkataba wa mafuta na Marekani; faida au hasara kwa Venezuela?

WASHINGTON DC, Marekani MAREKANI imeuita kuwa ni ‘mkataba bora zaidi wa mafuta katika historia ya dunia’. Ni mkataba unaoipa Marekani sehemu ya akiba ya mafuta...

Mtaka afichua urafiki wake na Makamu wa Rais

Na Mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, amefichua historia ya urafiki wake wa muda mrefu na Makamu wa Rais wa Jamhuri...

Kwanini bado Afrika inaagiza vyakula kutoka nje?

CAIRO, Misri AFRIKA hutumia zaidi ya Dola za Marekani bilioni 100 kila mwaka kuagiza vyakula kutoka nje, huku wataalamu wakihimiza juhudi za makusudi za kupunguza...

Rais wa Ecuador atupwa jela kwa rushwa

QUITO, Ecuador RAIS wa zamani wa Ecuador, Lenín Moreno, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya rushwa. Mwanasiasa huyo...

Kesi ya uhaini inavyowatesa wanasiasa wa upinzani Afrika

LUSAKA, Zambia KIONGOZI wa siasa za upinzani nchini Zambia, Brian Mundubile, na mgombea mwenzake wake katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni, Makebi Zulu, wameshikiliwa na...

Kivuli cha Lungu kinamfuata Rais Hichilema?

LUSAKA, Zambia LICHA ya kutangazwa mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa hivi karibuni, Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, anakabiliwa na presha kubwa ya ‘kumtuliza’ mpinzani wake,...

Rais Trump atangaza hatua mpya Venezuela

WASHINGTON DC, Marekani RAIS Donald Trump amesema Marekani imefikia makubaliano ya kudhibiti mapipa zaidi ya bilioni 65 ya mafuta ghafi kutoka Venezuela. Kwa mujibu wa Rais...

Milio ya risasi, mabomu yarindima Niger

NIAMEY, Niger WANANCHI wa Niger wamelala usiku wa kuamkia leo wakiwa na hofu baada ya milio ya risasi na risasi na bunduki kusikika mjini Niamey. Washambuliaji...

Haiti yarejesha raia 200,000 waliokimbia wahalifu

NEW YORK, Marekani RAIA wa Haiti takribani 200,000 wameUmoja rejea nchini humo baada ya kukimbia mapigano ya magenge ya uhalifu yaliyotamalaki nchini humo. Takwimu hizo ni...

Recent articles