TEHRAN, Iran
HABARI kubwa kwa sasa katika siasa za ulimwengu ni hatua ya Marekani na Israel kuishambulia kwa mabomu nchi ya Iran.
Kubwa zaidi, ni mashambulizi...
GENEVA, Uswis
MAZUNGUMZO yanayoendelea kati ya Ukraine, Urusi na Marekani mjini Geneva yamemalizika, ingawa hakuna mwafaka uliofikiwa.
Marekani ikiwa msuluhishi, inajaribu kumaliza vita vilivyodumu kwa miaka...
MOSCOW, Urusi
UINGEREZA na washirika wake imedai kuwa sumu itokanayo na chura ndiyo iliyotumika kumuua kiongozi wa upinzani nchini Urusi, Alexei Navalny.
Navalny alipoteza maisha akiwa...
MUNICH, Ujerumani
OFISI ya aliyekuwa Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, imekanusha taarifa zinazodai kuwa mwanamama huyo atagombea kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Kuelekea Uchaguzi...
HARARE, Zimbabwe
WANANCHI wa Zimbabwe wameonesha kutokuvutiwa na mpango wa Baraza la Mawaziri wa kuongeza muda wa rais kukaa madarakani.
Kwa mujibu wa Katiba ya sasa,...
CARACAS, Venezuela
MWANASIASA wa upinzani na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Nicolas Maduro, Juan Pablo Guanipa, ameachiwa huru baada ya kushikiliwa na vyombo vya dola...
LOS ANGELES, Marekani
WA sasa, siasa za dunia zinatikiswa na kile kinachoitwa 'mafaili ya Epstein'. Ni taarifa za siri zilizoibuka baada ya Jeffrey Epstein kufariki...
NAIROBI, Kenya
RIGATHI Gachagua, ambaye ni mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Kenya, amedai kuponea chupuchupu katika jaribio la kuuawa.
Kwa mujibu wa Gachagua, polisi walivamia kanisa...
KAMPALA, Uganda
HALI ya afya ya mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, imeripotiwa kuwa mbaya wakati huu akiendelea kusota gerezani.
Kwa mujibu wa kile...
WELLINGTON, New Zealand
WAZIRI Mkuu wa New Zealand, Christopher Luxon, ametangaza kuwa Uchaguzi Mkuu nchini humo utafanyika Novemba 7, 2026.
Akizungumza na waandishi wa habari leo...
TOKYO, Japan
WAZIRI Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi, Jumatatu ametangaza kuitisha uchaguzi mkuu wa ghafla, akiahidi kusimamisha kwa miaka miwili ushuru wa matumizi wa asilimia...
KAMPALA, Uganda
YOWERI Museveni anayewania muhula wake wa saba madaakani anaongoza katika majibu ya awali ya Uchaguzi Mkuu wa Uganda uliofanyika jana.
Kwa mujibu wa matokeo...