30.4 C
Dar es Salaam

Siasa

Ayatollah Ali Khamenei; Maisha, mamlaka na migogoro ya Iran

TEHRAN, Iran HABARI kubwa kwa sasa katika siasa za ulimwengu ni hatua ya Marekani na Israel kuishambulia kwa mabomu nchi ya Iran. Kubwa zaidi, ni mashambulizi...

Ukraine, Urusi hakijaeleweka mazungumzo ya kumaliza vita

GENEVA, Uswis MAZUNGUMZO yanayoendelea kati ya Ukraine, Urusi na Marekani mjini Geneva yamemalizika, ingawa hakuna mwafaka uliofikiwa. Marekani ikiwa msuluhishi, inajaribu kumaliza vita vilivyodumu kwa miaka...

Sumu ya chura iliyomuua kiongozi wa upinzani Urusi

MOSCOW, Urusi UINGEREZA na washirika wake imedai kuwa sumu itokanayo na chura ndiyo iliyotumika kumuua kiongozi wa upinzani nchini Urusi, Alexei Navalny. Navalny alipoteza maisha akiwa...

Merkel akanusha kutaka urais Ujerumani

MUNICH, Ujerumani OFISI ya aliyekuwa Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, imekanusha taarifa zinazodai kuwa mwanamama huyo atagombea kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu ujao. Kuelekea Uchaguzi...

Rais kuongezewa muda yazua jambo Zimbabwe

HARARE, Zimbabwe WANANCHI wa Zimbabwe wameonesha kutokuvutiwa na mpango wa Baraza la Mawaziri wa kuongeza muda wa rais kukaa madarakani. Kwa mujibu wa Katiba ya sasa,...

Mpinzani wa Maduro atoka jela

CARACAS, Venezuela MWANASIASA wa upinzani na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Nicolas Maduro, Juan Pablo Guanipa, ameachiwa huru baada ya kushikiliwa na vyombo vya dola...

Jeffrey Epstein; Mwalimu wa Hisabati aliyewaingiza matatani akina Trump

LOS ANGELES, Marekani WA sasa, siasa za dunia zinatikiswa na kile kinachoitwa 'mafaili ya Epstein'. Ni taarifa za siri zilizoibuka baada ya Jeffrey Epstein kufariki...

Mwanasiasa wa upinzani anusurika kuuawa

NAIROBI, Kenya RIGATHI Gachagua, ambaye ni mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Kenya, amedai kuponea chupuchupu katika jaribio la kuuawa. Kwa mujibu wa Gachagua, polisi walivamia kanisa...

Afya ya Besigye yazua hofu Uganda

KAMPALA, Uganda HALI ya afya ya mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, imeripotiwa kuwa mbaya wakati huu akiendelea kusota gerezani. Kwa mujibu wa kile...

Waziri Mkuu atangaza Uchaguzi New Zealand

WELLINGTON, New Zealand WAZIRI Mkuu wa New Zealand, Christopher Luxon, ametangaza kuwa Uchaguzi Mkuu nchini humo utafanyika Novemba 7, 2026. Akizungumza na waandishi wa habari leo...

Japan kuvunja bunge, kusimamisha kodi ya chakula kwa miaka miwili

TOKYO, Japan WAZIRI Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi, Jumatatu ametangaza kuitisha uchaguzi mkuu wa ghafla, akiahidi kusimamisha kwa miaka miwili ushuru wa matumizi wa asilimia...

Museveni aongoza matokeo ya awali uchaguzi mkuu Uganda

KAMPALA, Uganda YOWERI Museveni anayewania muhula wake wa saba madaakani anaongoza katika majibu ya awali ya Uchaguzi Mkuu wa Uganda uliofanyika jana. Kwa mujibu wa matokeo...

Recent articles

spot_img