ADIS ABABA, Ethiopia
RAIA wa Ethiopia wameingia kwenye Uchaguzi Mkuu Juni Mosi, 2026, huku mambo matatu yakiteka mijadala mingi katika siasa za nchi hiyo.
Ifahamike kuwa...
Na Hassan Mwasha,Gazetini
KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa, amesema kuimarika kwa Chama hicho chini ya Mwenyekiti Tundu Lisu ndiyo...
MAPUTO, Msumbiji
KWA siku za hivi karibuni, yamezuka matukio ya wanasiasa wa upinzani nchini Msumbiji kuuawa kwa kupigwa risasi.
Mei 9, 2026, Anselmo Vicente, ambaye ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MWISHONI mwa mwaka 2025, Madagascar ilitikiswa na maandamano makubwa ya vijana wa Gen-Z walioingia barabarani wakipinga hali mbaya ya kiuchumi, wakati...
MADRID, Hispania
WAZIRI Mkuu wa Hispania, Pedro Sanchez, ametimiza miaka nane tangu alipoingia madarakani, huku skendo za rushwa zikichukua nafasi kubwa katika uongozi wake kwa...
CARACAS, Venezuela
ALIYEWAHI kuwa mgombea wa urais wa upinzani nchini Venezuela, Edmundo Gonzalez Urrutia, ametaka kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu ikiwa ni miezi mitano imepita tangu...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KUONDOKA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) haikutosha kwa Mchungaji Peter Msigwa. Akahamia kwa washindani wao wakubwa katika siasa za Tanzania,...
DAKAR, Senegal
IJUMAA ya wiki hii, Mei 22, 2026, Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, alimfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, hatua iliyoambatana na...
DAKAR, Senegal
RAIS WA Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, sambamba na kulivunja Baraza la Mawaziri.
Aidha, taarifa za Waziri Mkuu...
BEIJING, China
ZIARA ya Vladmir Putin nchini China inakuja zikiwa ni siku chache tu tangu Donald Trump wa Marekani alipomaliza mkutano wake na Rais Xi...
TEHRAN, Iran
KABLA na hata wiki chache chache za mwanzoni mwa vita, Rais Donald Trump aliamini kuizima Iran na kuondosha uongozi ulioko madarakani ingechukua siku...