Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Siasa

Yanayotikisa Uchaguzi Mkuu wa Ethiopia ukifanyika

ADIS ABABA, Ethiopia RAIA wa Ethiopia wameingia kwenye Uchaguzi Mkuu Juni Mosi, 2026, huku mambo matatu yakiteka mijadala mingi katika siasa za nchi hiyo. Ifahamike kuwa...

Msigwa: Sikufuata cheo CCM, Lisu amenirudisha CHADEMA

Na Hassan Mwasha,Gazetini KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa, amesema kuimarika kwa Chama hicho chini ya Mwenyekiti Tundu Lisu ndiyo...

Sintofahamu mauaji ya wanasiasa wa upinzani Msumbiji

MAPUTO, Msumbiji KWA siku za hivi karibuni, yamezuka matukio ya wanasiasa wa upinzani nchini Msumbiji kuuawa kwa kupigwa risasi. Mei 9, 2026, Anselmo Vicente, ambaye ni...

Sura mpya siasa za Madagascar baada ya maandamano ya Gen-Z

Na mwandishi wetu, Gazetini MWISHONI mwa mwaka 2025, Madagascar ilitikiswa na maandamano makubwa ya vijana wa Gen-Z walioingia barabarani wakipinga hali mbaya ya kiuchumi, wakati...

Ndugu, ‘washikaji’ wanavyomfelisha Waziri Mkuu Hispania

MADRID, Hispania WAZIRI Mkuu wa Hispania, Pedro Sanchez, ametimiza miaka nane tangu alipoingia madarakani, huku skendo za rushwa zikichukua nafasi kubwa katika uongozi wake kwa...

Mgombea urais wa zamani Venezuela ataka Uchaguzi Mkuu

CARACAS, Venezuela ALIYEWAHI kuwa mgombea wa urais wa upinzani nchini Venezuela, Edmundo Gonzalez Urrutia, ametaka kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu ikiwa ni miezi mitano imepita tangu...

Historia inavyomuuliza maswali Mchungaji Msigwa

Na Hassan Mwasha, Gazetini KUONDOKA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) haikutosha kwa Mchungaji Peter Msigwa. Akahamia kwa washindani wao wakubwa katika siasa za Tanzania,...

Urafiki uliogeuka uadui kati ya Rais, Waziri Mkuu Senegal

DAKAR, Senegal IJUMAA ya wiki hii, Mei 22, 2026, Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, alimfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, hatua iliyoambatana na...

Rais wa Senegal ‘amtumbua’ Waziri Mkuu

DAKAR, Senegal RAIS WA Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, sambamba na kulivunja Baraza la Mawaziri. Aidha, taarifa za Waziri Mkuu...

Kwa nini Putin, Trump wanapishana angani kuikimbilia China?

BEIJING, China ZIARA ya Vladmir Putin nchini China inakuja zikiwa ni siku chache tu tangu Donald Trump wa Marekani alipomaliza mkutano wake na Rais Xi...

Nani Rais mpya wa Marekani baada ya Trump kutoka 2028?

WASHINGTON DC, Marekani MJADALA wa nani atakuwa Rais ajaye wa Marekani umepamba moto si tu nje, bali hata ndani ya korido za Ikuku ya Marekani....

Huyu ndiye injini ya Iran anayeinyima usingizi Marekani

TEHRAN, Iran KABLA na hata wiki chache chache za mwanzoni mwa vita, Rais Donald Trump aliamini kuizima Iran na kuondosha uongozi ulioko madarakani ingechukua siku...

Recent articles