27.2 C
Dar es Salaam

Siasa

Kiongozi wa upinzani akamatwa, kufungwa miaka mitano

TUNIS, Tunisia MWANASIASA maarufu wa upinzani nchini Tunisia, Ayachi Hammami, amekamatwa na polisi ili kwenda kutumikia kifungo cha miaka mitano gerezani. Hammami ni miongoni mwa...

Familia yahofia Khan amefariki gerezani

ISLAMABAD, Pakistan KWA sasa, familia ya Imran Khan inahofia kuwa huenda Waziri Mkuu huyo wa zamani wa Pakistan amefariki akiwa gerezani. Khan alikuwa Waziri Mkuu...

Trump amtoa gerezani rais aliyehukumiwa miaka 45

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa zamani wa Honduras, Juan Orlando Hernandez, ametoka gerezani kwa msamaha wa Rais wa Marekani, Donald Trump. Orlando Hernandez alikuwa akitumikia...

Mwanasiasa upinzani afariki akiwa kizuizini

YOUNDE, Cameroon TAHARUKI imetawala nchini Cameroon baada ya mwanasiasa mkongwe wa upinzani, Anicet Ekane, kufariki akiwa anashikiliwa na vyombo vya dola, ikiwa ni wiki tano...

ICC yagoma kumwachia Duterte

MANILA, Ufilipino MAHAKAMA ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) itaendelea kumshikilia Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, baada ya ombi lake kugonga mwamba. Duterte amekuwa kizuizini...

Vijana na mitazamo tofauti juu ya Waziri Mkuu mpya

TOKYO, JapanKWA mara ya kwanza katika historia ya siasa za Japan, Sanae Takaichi amekuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi nyeti ya Waziri Mkuu.Wakati huo...

Kampuni ya Apple na utata wa madini, vita DRC

Na mwandishi wetu, GazetiniKAMPUNI maarufu ya teknolojia ya Apple inakabiliwa na kashfa nzito ikitajwa kunufaika na mgogoro wa muda mrefu unaoendelea Jamhuri ya Kidemokrasia...

Guinea-Bissau na historia ya mapinduzi ya kijeshi

Na mwandishi wetu, GazetiniSIKU chache zilizopita, maofisa waandamizi wa jeshi nchini Guinea-Bissau walitangaza kuipindua Serikali ya Rais Umaro Sissoco Embalo. Ni hatua iliyofuatiwa na...

Ridhiwani:Niko tayari kuhojiwa kuhusu tuhuma za Lake Oil

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema yuko tayari kuitwa na Sekretarieti...

Rais wa zamani Peru atupwa jela miaka 11

LIMA, PeruMAHAKAMA Kuu nchini Peru imemuhukumu kifungo cha miaka 11 gerezani rais wa zamani, Pedro Castillo, akituhumiwa kwa uasi.Mashitaka yaliyokuwa yakimkabili Castillo ni jaribio...

Polisi wapekua nyumba ya rais wakitafuta mbwa walioibiwa

LILONGWE, MalawiPOLISI nchini Malawi wameanza uchunguzi juu ya tukio la mbwa wake wanne kupotea katika makazi ya rais mjini Lilongwe.Ni katika uchunguzi huo, polisi...

Baada ya kupindua Serikali, Jenerali aingia Ikulu Guinea-Bisau

BISSAU, Guinea-BissauNI rasmi sasa Jenerali wa jeshi nchini Guinea-Bissau ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo, ikiwa ni siku moja tu baada ya mapinduzi.Jenerali Horta...

Recent articles

spot_img