Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Siasa

Trump aitishia kuiangamiza Iran ikiwa Hormuz haitafunguliwa

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa inaweza “kuangamizwa ndani ya usiku mmoja” endapo haitafikia makubaliano kabla ya muda wa mwisho...

Ripoti: Trump anaweza kusitisha mashambulizi dhidi ya Iran

WASHINGTON, Marekani JARIDA la Wall Street Journal linaripoti kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, amewaambia wasaidizi wake kuwa yuko tayari kusitisha operesheni ya kijeshi dhidi...

Uingereza: “Hii sio vita yetu, hatutajiingiza”

LONDON, Uingereza Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema wazi kuwa nchi yake haitapeleka wanajeshi nchini Iran, akisisitiza kuwa Uingereza haitajiingiza moja kwa moja katika...

Pete Hegseth: Mtaalamu wa vita anayempa jeuri Donald Trump

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA sasa ndiye 'Katibu wa Vita', jina ambalo amepewa na Rais Donald Trump. Kiuhalisia, Pete Hegseth ni Katibu wa Wizara ya...

Vita ya Iran yatikisa Serikali ya Trump

Washington, D.C. MKUU wa Kituo cha Taifa cha Kupambana na Ugaidi nchini Marekani, Joseph Kent, amejiuzulu wadhifa wake akipinga vikali vita vinavyoendelea dhidi ya Iran,...

Visual| Marais ving’ang’anizi wa madaraka duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini FEBRUARI 28, 2026 imeingia kwenye kumbukumbu baada ya kuwa ndiyo siku aliyouawa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika ...

Kwa nini Urusi haiingilii kati kuisaidia Iran dhidi ya Marekani, Israel?

TEHRAN, Iran SAA chache baada ya Iran kuanza kushambuliwa makombora ya Marekani na Israel, Serikali ya Urusi ilitoa tamko zito. Mwakilishi wa Urusi ndani ya Umoja...

Uingereza yatoa msimamo wake vita ya Iran

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Sir Keir Starmer, amesema serikali yake itashirikiana kwa karibu na sekta zilizoathirika pamoja na washirika wa kimataifa ili kukabiliana...

Israel: Kiongozi yeyote wa Iran atauawa

TEL AVIV, Israel SERIKALI ya Israel imeweka wazi kuwa itamshambulia kijeshi, ikiwamo kumuua, kiongozi yeyote atakayeingia madarakani kuiongoza Iran. Ujumbe huo wa tishio unalenga kiongozi atakayechukua...

Clinton akana kuyajua ‘madudu’ ya Epstein

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa zamani wa Marekani, Bill Clinton, amesema hakuwahi kujua maovu ya Jeffrey Epstein hadi pale aliposikia mashitaka yake. Epstein, mmoja ya matajiri...

Ayatollah Ali Khamenei; Maisha, mamlaka na migogoro ya Iran

TEHRAN, Iran HABARI kubwa kwa sasa katika siasa za ulimwengu ni hatua ya Marekani na Israel kuishambulia kwa mabomu nchi ya Iran. Kubwa zaidi, ni mashambulizi...

Ukraine, Urusi hakijaeleweka mazungumzo ya kumaliza vita

GENEVA, Uswis MAZUNGUMZO yanayoendelea kati ya Ukraine, Urusi na Marekani mjini Geneva yamemalizika, ingawa hakuna mwafaka uliofikiwa. Marekani ikiwa msuluhishi, inajaribu kumaliza vita vilivyodumu kwa miaka...

Recent articles