TUNIS, Tunisia
MWANASIASA maarufu wa upinzani nchini Tunisia, Ayachi Hammami, amekamatwa na polisi ili kwenda kutumikia kifungo cha miaka mitano gerezani.
Hammami ni miongoni mwa...
ISLAMABAD, Pakistan
KWA sasa, familia ya Imran Khan inahofia kuwa huenda Waziri Mkuu huyo wa zamani wa Pakistan amefariki akiwa gerezani. Khan alikuwa Waziri Mkuu...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa zamani wa Honduras, Juan Orlando Hernandez, ametoka gerezani kwa msamaha wa Rais wa Marekani, Donald Trump. Orlando Hernandez alikuwa akitumikia...
YOUNDE, Cameroon
TAHARUKI imetawala nchini Cameroon baada ya mwanasiasa mkongwe wa upinzani, Anicet Ekane, kufariki akiwa anashikiliwa na vyombo vya dola, ikiwa ni wiki tano...
MANILA, Ufilipino
MAHAKAMA ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) itaendelea kumshikilia Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, baada ya ombi lake kugonga mwamba.
Duterte amekuwa kizuizini...
TOKYO, JapanKWA mara ya kwanza katika historia ya siasa za Japan, Sanae Takaichi amekuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi nyeti ya Waziri Mkuu.Wakati huo...
Na mwandishi wetu, GazetiniKAMPUNI maarufu ya teknolojia ya Apple inakabiliwa na kashfa nzito ikitajwa kunufaika na mgogoro wa muda mrefu unaoendelea Jamhuri ya Kidemokrasia...
Na mwandishi wetu, GazetiniSIKU chache zilizopita, maofisa waandamizi wa jeshi nchini Guinea-Bissau walitangaza kuipindua Serikali ya Rais Umaro Sissoco Embalo. Ni hatua iliyofuatiwa na...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema yuko tayari kuitwa na Sekretarieti...
LIMA, PeruMAHAKAMA Kuu nchini Peru imemuhukumu kifungo cha miaka 11 gerezani rais wa zamani, Pedro Castillo, akituhumiwa kwa uasi.Mashitaka yaliyokuwa yakimkabili Castillo ni jaribio...
LILONGWE, MalawiPOLISI nchini Malawi wameanza uchunguzi juu ya tukio la mbwa wake wanne kupotea katika makazi ya rais mjini Lilongwe.Ni katika uchunguzi huo, polisi...
BISSAU, Guinea-BissauNI rasmi sasa Jenerali wa jeshi nchini Guinea-Bissau ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo, ikiwa ni siku moja tu baada ya mapinduzi.Jenerali Horta...