Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Kocha Chelsea hofu tupu

LONDON, EnglandKOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca, amesema timu yake si miongoni mwa zinazoweza kutwaa taji la Kombe la Dunia kwa ngazi ya Klabu.Maresca ameyasema...

Napoli na ubabe kwa vigogo Serie A

NAPOLI, ItaliaTANGU iliponunuliwa na bilionea De Laurentiis na kurejea Serie A mwaka 2017, Napoli imekuwa tishio kwa vigogo wa Ligi Kuu hiyo ya Italia.Msimu...

Staa Hip hop ajiua

LOS ANGELES, MarekaniRAPA mkongwe wa Marekani ambaye ni memba wa Kundi wa Outlawz, Young Noble, amejiua, akiwa na umri wa miaka 47.Aliyefichua kifo cha...

Wizkid, Tems watikisa Afrika

LAGOS, NigeriaWANAMUZIKI wa Afrobeat, Wizkid na Tems, ni wasanii pekee wa Afrika walioingia kwenye 'Top 500' ya Apple Music kwa upande wa nyimbo zilizosikilizwa...

Timaya: Sijaacha muziki, nimepumzika

LAGOS, NigeriaSTAA wa muziki wa Afrobeat, Timaya, ameweka wazi kuwa ukimya wake kwenye 'gemu' haumaanishi kuwa amestaafu.Timaya alianza kuchomoza kwenye soko la muziki mwaka...

Durant aondoka Phoenix, atua Houston

LOS ANGELES, MarekaniSTAA wa Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA), Kevin Durant, amejiunga na Houston Rockets akitokea Phoenix Suns.Durant ameiacha Phoenix baada ya...

Mambo 10 kuhusu Zubimendi wa Arsenal

LONDON, EnglandARSENAL wamekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Hispania, Martin Zubimendi, aliyetua klabuni hapo akitokea Real Sociedad kwa ada ya Pauni milioni 60.Makala...

Bayern: Musiala bado sana kurudi uwanjani

MUNICH, UjerumaniKLABU ya Bayern Munich imethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Jamal Musiala, atakuwa nje ya dimba kwa muda mrefu.Musiala alivunjika mguu wikiendi iliyopita, wakati Bayern...

Musk, Trump; nini hatima vita ya fedha, mamlaka?

NA HASSAN DAUDIHATUA ya bilionea wa teknolojia, Elon Musk, kuanzisha Chama cha siasa cha 'America Party' mwishoni mwa wiki hii kimekoleza uhusiano wake mbaya...

Balotelli awindwa Marekani, Mexico

LOS ANGELES, MarekaniKLABU za Ligi Kuu ya Marekani (MLS) na zile za Mexico (Liga MX) zinapigana vikunbo kuiwania saini ya mpachikaji mabao wa zamani...

Trump akiri kushindwa vita Urusi-Ukraine

NEW YORK, MarekaniRAIS wa Marekani, Donald Trump, amekiri kuwa haoni kama atafanikiwa kuimaliza vita inayoendelea kati ya mataifa ya Ulaya Mashariki, Urusi na Ukraine.Hata...

Polisi wavamia mazishi ya Jota

MERSEYSIDE, EnglandPOLISI wamelazimika kuingilia kati na kuzuia kundi la mashabiki waliokuwa wakipiga picha katika kaburi la staa wa Liverpool na timu ya taifa ya...

Recent articles