Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

ICC yainyooshea kidole Sudan

DUBAI, UAEMAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imelaani kinachoendelea mjini Darfur, Sudan, ikieleza kuwa kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.Tangu...

PSG v CHELSEA; Fainali ya historia Kombe la Dunia

NEW JERSEY, Marekani JUMAPILI ya wiki hii, PSG watashuka dimbani kumenyana na Chelsea katika fainali ya kukata na shoka ya Kombe la Dunia kwa ngazi...

Ruto: Waandamanaji wapigwe risasi za miguu

NAIROBI, KenyaWAKATI maandamano ya raia wanaoipinga Serikali yakiendelea, Rais wa Kenya, William Ruto, ameagiza waandamanaji wapigwe risasi za miguu.Agizo hilo linakuja wakati huu jumuhiya...

Urusi yaishambulia Kyiv, yaua wawili

KYIV, UkraineWATU wawili wameripotiwa kufariki katika shambulizi la Urusi mjini Kyiv, Ukraine.Ndege isiyo na rubani iliishambulia Kyiv, ikielezwa pia watu 13 wamejeruhiwa katika tukio...

Marekani yambana mbavu mjumbe UN

NEW YORK, MarekaniSERIKALI ya Marekani chini ya Rais Donald Trump imemwekea vikazo mjumbe wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UN),...

Man United macho kwa Tchouameni

MANCHESTER, EnglandKLABU ya Manchester United imeingia mazima katika mbio za kumsajili kiungo wa Real Madrid, Aurelien Tchouameni.Kwa taarifa zilizopo, Man United imeshatenga dau nono...

Waarabu waivamia Arsenal kwa Sesko

LONDON, EnglandMATAJIRI wa Al Hilal ya Saudi Arabia nao wamejitosa kuiwania saini ya mshambuliaji wa RB Leipzig, Benjamin Sesko.Aidha, hiyo inaweza kuwa habari mbaya...

Waziri ‘aliyetumbuliwa’ atajwa kujiua

MOSCOW, UrusiALIYEKUWA Waziri wa Uchukuzi wa Urusi, Roman Starovoit, amefariki, huku mwili wake ukikutwa na jeraha la risasi.Wakati huo huo, kile kilichoelezwa na Kamati...

Mastaa wa kuchungwa WAFCON 2025

BERKANE, MoroccoFAINALI za Mataifa Afrika kwa soka la Wanawake zilianza kutimua vumbi Julai 5, mwaka huu, zikifanyika kwa msimu wa pili mfululizo nchini Morocco.Je,...

Twiga Stars yaanza vibaya WAFCON

BERKANE, MoroccoTIMU ya soka ya Wanawake ya Tanzania (Twiga Stars) imepoteza kwa kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Mali katika mchezo wa fainali za...

Modric, Milan dili limeiva

MILAN, ItaliaKOCHA wa AC Milan, Massimiliano Allegri, amefichua kuwa kiungo aliyeaga Real Madrid, Luka Modric, atajiunga na klabu hiyo ya Italia.Kwa mujibu wa Allegri,...

Szczesny asaini miwili Barcelona

CATALUNYA, HispaniaBARCELONA wamempa mkataba mpya wa miaka miwili mlinda mlango wake raia wa Poland, Wojciech Szczesny.Szczesny (35), alistaafu soka mwaka jana, kabla ya Barca...

Recent articles