DUBAI, UAEMAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imelaani kinachoendelea mjini Darfur, Sudan, ikieleza kuwa kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.Tangu...
NAIROBI, KenyaWAKATI maandamano ya raia wanaoipinga Serikali yakiendelea, Rais wa Kenya, William Ruto, ameagiza waandamanaji wapigwe risasi za miguu.Agizo hilo linakuja wakati huu jumuhiya...
KYIV, UkraineWATU wawili wameripotiwa kufariki katika shambulizi la Urusi mjini Kyiv, Ukraine.Ndege isiyo na rubani iliishambulia Kyiv, ikielezwa pia watu 13 wamejeruhiwa katika tukio...
MANCHESTER, EnglandKLABU ya Manchester United imeingia mazima katika mbio za kumsajili kiungo wa Real Madrid, Aurelien Tchouameni.Kwa taarifa zilizopo, Man United imeshatenga dau nono...
LONDON, EnglandMATAJIRI wa Al Hilal ya Saudi Arabia nao wamejitosa kuiwania saini ya mshambuliaji wa RB Leipzig, Benjamin Sesko.Aidha, hiyo inaweza kuwa habari mbaya...
MOSCOW, UrusiALIYEKUWA Waziri wa Uchukuzi wa Urusi, Roman Starovoit, amefariki, huku mwili wake ukikutwa na jeraha la risasi.Wakati huo huo, kile kilichoelezwa na Kamati...
BERKANE, MoroccoFAINALI za Mataifa Afrika kwa soka la Wanawake zilianza kutimua vumbi Julai 5, mwaka huu, zikifanyika kwa msimu wa pili mfululizo nchini Morocco.Je,...
MILAN, ItaliaKOCHA wa AC Milan, Massimiliano Allegri, amefichua kuwa kiungo aliyeaga Real Madrid, Luka Modric, atajiunga na klabu hiyo ya Italia.Kwa mujibu wa Allegri,...
CATALUNYA, HispaniaBARCELONA wamempa mkataba mpya wa miaka miwili mlinda mlango wake raia wa Poland, Wojciech Szczesny.Szczesny (35), alistaafu soka mwaka jana, kabla ya Barca...