Ads: info@gazetini.co.tz |
23.8 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

IWPG names Jeon Na Yeong as new Chairwoman

Seoul, South Korea The International Women’s Peace Group (IWPG) officially appointed Jeon Na Yeong as its new chairwoman during a farewell and inaugural ceremony held...

Frimpong kuziba pengo la Salah

MERSEYSIDE, EnglandKOCHA wa Liverpool, Arne Slot, amefichua kuwa atamtumia mchezaji wake mpya, Jeremie Frimpong, katika eneo analocheza staa wa timu hiyo, Mohamed Salah.Salah raia...

Ndidi rasmi ajiunga na Besiktas

ISTANBUL, UturukiVIGOGO wa Ligi Kuu ya Uturuki, Besiktas, wamethibitisha kuinasa saini ya kiungo wa kimataifa wa Nigeria, Wilfred Ndidi.Ndindi aliyeitumikia Leicester kwa miaka nane,...

Rais Ruto aendelea kumwaga fedha Harambee Stars

NAIROBI, KenyaILE ahadi ya Rais wa Kenya, William Ruto, kuwapa kitita cha fedha katika kila ushindi imeendelea kuwatajirisha wachezaji wa Harambee Stars.Rais Ruto aliahidi...

Bayern Munich yatema ubalozi Rwanda

MUNICH, UjerumaniKLABU ya Bayern Munich imesitisha mkataba wa kuitangaza sekta ya utalii ya Rwanda kupitia ujumbe wa ‘Visit Rwanda’ kwenye jezi zake.Hatua hiyo ya...

Nabi apata majanga, arudi Tunisia

PRETORIA, Afrika KusiniKOCHA wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi, atakosa mechi ya ufunguzi ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini baada ya mkewe...

Madrid wajitosa kumsajili Ter Stegen

MADRID, HispaniaKLABU ya Real Madrid imeanza harakati za kuinasa huduma ya mlinda mlango wa Barcelona, Marc-Andre Ter Stegen.Ripoti zinaeleza kuwa kocha wa Madrid, Xabi...

CAF yaipanga Simba ya tano, Yanga ya 12 viwango vya ubora Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Klabu ya Simba SC imepanda hadi nafasi ya tano katika viwango vipya vya ubora vya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF),...

Nani kati ya mastaa hawa kuibeba Ballon d’Or 2025?

LONDON, Uingereza MSIMU uliopita, tuzo maarufu ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya jarida la France Football, Ballon d'Or, ilitua mikononi mwa kiungo wa Manchester City...

Kocha Nigeria aweka rekodi Ballon d’Or

LAGOS, NigeriaKOCHA wa timu ya soka ya wanawake ya Nigeria (Super Falcons), Justine Madugu, ameandika historia baada ya kuingia kwenye kinyang'anyiro cha tuzo za...

Zamalek yachukua winga Brazil

CAIRO, MisriVIGOGO wa soka Misri, Zamalek, wamekamilisha usajili wa kiungo wa pembeni wa kimataifa wa Brazil, Juan Alvina.Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22,...

Bosi Spurs kumrudisha Kane?

LONDON, England MWENYEKITI wa Tottenham, Daniel Levy, amefichua kuwa mkataba wa Harry Kane una kipengele kinachowaruhusu kumsajili kwa mara nyingine. Kane, nahodha wa timu ya...

Recent articles